Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Unanitesa sana
Unanitesa sana
Just go her...
Just go her...
sio kwa mahaba haya ya wazi unayomwonyesha, angalau unidanganye danganye kamoyo kasipate jerahaPunguza wivu basi LOL
hahahahahahahahah mimi siwezi maana haya mambo ya zamu duuuh acha nisimalizie
Mbona kawaida tu?hahahahahahahahah mimi siwezi maana haya mambo ya zamu duuuh acha nisimalizie
kawaida kwa wengine na si kwangu aisee najijua kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaMbona kawaida tu?
![]()
Hahahasio kwa mahaba haya ya wazi unayomwonyesha, angalau unidanganye danganye kamoyo kasipate jeraha
Kumbe eehMbona kawaida tu?
![]()
Khaaaaa!Hahaha
Mie simtaki tena
duuuh sijui niseme nini hapa maana hata ukiondoka sio kwamba atabaki tu na mimi bali ataweza ongeza ambao ni matata zaidi. hebu fikiria fikiria tenaHahaha
Mie simtaki tena
NdioKhaaaaa!
Hahahaduuuh sijui niseme nini hapa maana hata ukiondoka sio kwamba atabaki tu na mimi bali ataweza ongeza ambao ni matata zaidi. hebu fikiria fikiria tena
teh teh
Khaaaa!Hahaha
Huyo mie ananiumiza kila leo... Wakati kakufuata Arusha mie alinizimia simu kabisaaa!!!!
duuuh hapo maneno halafu hata hakufika kwangu, sijui aliishia wapi ila mpe tena nafasi huenda akabadilika.Hahaha
Huyo mie ananiumiza kila leo... Wakati kakufuata Arusha mie alinizimia simu kabisaaa!!!!