Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 1,077
- 1,041
Kha! Ukikaa na demu mzee ukamponda hivi, utakujamwita aje tena kweli?Huyo mdada Jamaa kamkuta Bikra au??
Sio unalipia mahari 4mil then Demu ashatoa mimba za mijamaa hata 10, hajui hata we ni wa ngapi katika awaliokwishampitia na isitoshe hapo alipo ana Michepuko 10 kiboko.
Unalipa mahari 4mil wakati Demu shapeless, akisimama hujui hata mbele wapi na nyuma wapi, uso umekomaa kwa mkorogo huku Miguuni ni mweusi.
wa used is not an issue ishue unakuta mke mwenyewe papuche ya hovyo hovyo mchafu hajui kupika akili yake kama mwajuma ndala ndefu basi tafran tupuUnalipia "mahali" yote hiyo halafu machine yenyewe labda ni "USED".
karibu, nimeona wengi wanaandika mahali nikajua kiswahili kinaanza kubadilishwa polepole
teh teh
hivi aliye zaa ni wajomba au wazazi maana kama mifugo unayo wewe hapange bei dalaliNiko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.
NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..
Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Tunaomba picha ya huy mlipiwa mahar mkuu
Picha ya nn?
Nisingetoa hata millioni mbiliNiko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.
NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..
Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Niko maeneo kumpa kampani rafiki wa karibu Erick anafunga ndoa mwezi 5 mwishoni. Sasa nimepata na mshangao tulivyoingia ndani kaambiwa mil5 baada ya kulialia katoa milioni 4 cash katika 5 milioni.
Wajomba wamekomaa hawakupunguza.. Jamani mimi naoa wiki ijayo nimelipa 70,000/= tu.
NB: Wajomba muwe na huruma.... Maisha magumu sana..
Pole ndugu yangu najua unanisoma hapa.
Unalipia "mahali" yote hiyo halafu machine yenyewe labda ni "USED".
eona tu nikajisogeza mwenyeweNimekutenga
Astaghafirulilah... Tema mate chini.nim
eona tu nikajisogeza mwenyewe
kisa cha kuumiza kamoyo kangu haka kadogo ni nini?
ila siwezi kukutoa kwa kamoyo kangu haka, kuna wakati kanaanza kuita jina lako kenyewe
nakaambia stop wewe kamoyo ka Jje's maana umetengwa.
basi tu tunasogeza siku na maisha yanaenda.
hahahahhahaha kisa cha kunitenga hivyo kwani ni nini? ukiniaminisha ukweli nitatema mate chini.Astaghafirulilah... Tema mate chini.
Nimekuja Arusha nikakutafuta ukanichunia. Mi namwachia Mungu tu.hahahahhahaha kisa cha kunitenga hivyo kwani ni nini? ukiniaminisha ukweli nitatema mate chini.
shida yangu nisikie tu kutoka kwako
Kapole. .??Bikra sina uhakika cz wao ndio wanajua@ bt kwa ninavyomjua itakuwa bikra kapole SNA hana izo
haaaa ile namba yangu haishii 6 bhana, nilisikia ulikuwa unanipigia kwa namba inayoishia 6Nimekuja Arusha nikakutafuta ukanichunia. Mi namwachia Mungu tu.
Arusha nimejaa tele hata ukiuliza muuza genge yeyote kuwa unamtafuta jje's unanipata bila shida yeyote.Nimekuja Arusha nikakutafuta ukanichunia. Mi namwachia Mungu tu.
We nitenge tu... mi ntamuachia Mungu.haaaa ile namba yangu haishii 6 bhana, nilisikia ulikuwa unanipigia kwa namba inayoishia 6
teh teh umenikumbusha mbali sana ujue teh