ndingi mwana nzeki
Member
- May 18, 2015
- 83
- 93
Wadau,
Nina mchepuko ambae miezi michache iliyopita alipata matatizo kazini, kabla ya matatizo hayo hakua anaomba hela kabisa, kitu ambacho kilinivutia sana, Nina majukumu mengi nyumbani kwangu yanayohitaji pesa, Hivyo sitaki mwanamke wa kunipiga mizinga, zaidi ya yote hatukua tunaenda guest, bali kwake nilipenda pia hilo.
Sasa hivi hali ya huyu mwanamke si hali, kila siku ni mizinga, mimi ndio nageuzwa kuwa baba wa hiyo familia yake, Mara nimchangie ada ya mtoto wake, sasa hivi anadai nimsaidie kodi ya nyumba, in other words hii inageuka kuwa familia yangu ya pili, sasa kwa hela gani niliyonayo ya ziada ya kuendesha nyumba mbili?
Kwa hali hii nitakua nimeshindwa mimi
Yeye arudi tu kijijni kwao akapumzike hadi akipata kazi nyingine ndo aje tena mjini
Nina mchepuko ambae miezi michache iliyopita alipata matatizo kazini, kabla ya matatizo hayo hakua anaomba hela kabisa, kitu ambacho kilinivutia sana, Nina majukumu mengi nyumbani kwangu yanayohitaji pesa, Hivyo sitaki mwanamke wa kunipiga mizinga, zaidi ya yote hatukua tunaenda guest, bali kwake nilipenda pia hilo.
Sasa hivi hali ya huyu mwanamke si hali, kila siku ni mizinga, mimi ndio nageuzwa kuwa baba wa hiyo familia yake, Mara nimchangie ada ya mtoto wake, sasa hivi anadai nimsaidie kodi ya nyumba, in other words hii inageuka kuwa familia yangu ya pili, sasa kwa hela gani niliyonayo ya ziada ya kuendesha nyumba mbili?
Kwa hali hii nitakua nimeshindwa mimi
Yeye arudi tu kijijni kwao akapumzike hadi akipata kazi nyingine ndo aje tena mjini