Amebadilika baada ya kumpa penzi

Nahic ulikuwa na harufu alishindwa kivumilia....kiufupi hii ishu ishawai nitokea kuna Mdada nilipata Papuchi yake lakini nilichokumbana nacho...tangu siku hiyo...nilimfungia tinted...ananitafuta kila saa mi nakula kona mpaka sasa haelewi kitu gani alinikwaza...niliamua nisimwambie coz naweza mnyima amani
 
Ushauri huu ni mzuri ila moja kati ya mitihani migumu inayotushinda wanadamu wengi ni huu ulioupendekeza wa kuvumilia pindi tumeumizwa. Mara nyingi wengi wetu baada ya kuumizwa upenda kufanya mambo kwa pupa ili waumizaji waone kuwa waumizwaji wanaweza. Mara nyingi hii upelekea muumizwaji kuumia zaidi.
 
Mwendeee kwa mganga,mana haiwezekani akuchezeee then akuache.
Kuna waganga wanakosea dawa yao inashika mtu mwenyewe aliyeenda kuganga. Usiendekeze uganga, kubali tu ya kwamba majanga yanawapata watu, na watu wenyewe ndiyo sisi hivyo ukipatwa hacha lipite kwa mapenzi ya Mungu hata kama ni kwa maumivu na always remember you are never the first to encounter difficulties.
 
Maumbile huwa yanatofautiana,alichokitegemea imekuwa tofauti lakini kosa si lako;utampata atakayeendana na wewe.
 
Mwanaume ameumbwa kutamani so ukiona kaludia jua kaelewa mzigo
 
Hakuna kitu chenye manufaa na tulizo la moyo kama kuwa calm ikitokea tatizo kwenye maisha yako. Inakupa muda wa kuichunguza tatizo na kuichunguza wewe binafsi kujua umekosea wapi na kurekebisha
 
😎😎
si ushasikia kwa Diamond,ifinyie kwa ndani??basi ana maana ukiona maumbile yako ni makubwa wakati wa ku do unabana na kuachia kibibi kama wanavyofanya kwenye kegel exercise (Google)...lol...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…