Amebadilika baada ya kumpa penzi

Amebadilika baada ya kumpa penzi

Alichotegemea sicho alichokikuta

Hata mimi ikitokea hivyo nakua busy ghafla
 
Bwawa linavumilika hata kurudi kuogelea ni possible

Ilaa smell damn no
 
Hizi ndiyo nyuzi mnazotaka kuziona baadhi ya wanaume wa JF, za wanaume kupiga na kusepa basi ndiyo mnafurahi wenyewe ila nyuzi za wanawake kutapeli nauli za wanaume hamtaki kuziona na zinawatoa mapovu.
Hatufanani mkuu na haitokaa iwe hvyo, kwahiyo kwa hali kama hii unataka kuhalalisha uovu uendelee? Haiwez kuwa hvyo kwa sababu ya wachache.
 
Husijisikie vibaya dear wala husione una kasoro yoyote, Yeye ndio mwenye matatizo tena ana kasoro za kiakili. Wakaka wengi wanaona sifa kuwa na wanawake wengi kiasi kwamba ukifanyiwa hivyo unajihisi labda una upungufu kwenye mwili wako au pengine we sio mzuri na kujiona huna thamani tena. No your beautiful in your way na husiruhusu mtu akufanye ujihisi you lack something as a woman.
Yupo ambaye atakupenda na kukuthamini the way you are.
Jipende kwanza kwa sababu hakuna atakayekupenda kama wewe hujipendi.
Na punguza kuwa mrahisi kwa wanaume kwa sababu nahisi huyo mwanaume hata miezi miwili hamjafikisha na kakupiga kakuacha.
Jithamini, work hard na utampata anayekupenda.
 
trust me. KUM+MA yako INANUKA , au mdomo, nishawai mpotezea dem kwa sababu iyoiyo,

angalia ku ma yako vizuri

huo ndo ukweli

na iyo harufu haitamuondoka kichwani mwake mpaka ipite miezi 6
 
Ni Kweli Hivi Karibu Nilikuwa Busy Naomba Univumilie Japo Hata Mimic Naumia Nilijua Utahisi Kama Nimebadirika.


Ila Umenishangaza Kumbe Na Wewe Upo Huku Shikamoo
 
Siku hizi mademu mna mashimo sana yaani balaa tupu,kuna mmoja hata mm nilipiga Mara moja tu maana demu ana bonge la shimo hakuna radha kabisa..
Sasa sifa ya mwanamke si shimo?ulitaka ukute uwalaza alafu ungetombaje? Mnakwama wapi mabaharia au ndo vibar100???
 
Mimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.

Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.

Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.

Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.

Naombeni ushauri nifanyeje
Jiangalie usiwe unanuka k
 
Habari yako inafanana na habari hii

2 Samweli 13
1 Ikawa baada ya hayo, Absalomu, mwana wa Daudi, alikuwa na umbu mzuri, jina lake akiitwa Tamari, naye Amnoni, mwana wa Daudi, akampenda.

2 Akasononeka Amnoni, hata akaugua, kwa ajili ya umbu lake Tamari, maana huyu msichana alikuwa mwanamwali, Amnoni akaona ni vigumu kumtendea neno lo lote.

3 Lakini Amnoni alikuwa na rafiki, jina lake Yonadabu, mwana wa Shama, nduguye Daudi; naye Yonadabu alikuwa mtu mwerevu sana.

4 Naye akamwambia, Kwa nini, Ee mwana wa mfalme, unakonda hivi siku kwa siku? Hutaki kuniambia? Amnoni akamwambia, Nampenda Tamari, umbu la ndugu yangu, Absalomu.

5 Yonadabu akamwambia, Lala kitandani mwako ujifanye mgonjwa na babako atakapokuja kukutazama, umwambie, Mwache ndugu yangu, Tamari, aje, nakusihi, anipe mkate nile, akaandae chakula machoni pangu nikione, nikakile mkononi mwake.

6 Basi Amnoni akalala, akajifanya mgonjwa; na mfalme alipokuja kumtazama, Amnoni akamwambia mfalme Mwache ndugu yangu, Tamari, aje, nakusihi, aniandalie mikate miwili machoni pangu, nipate kula mkononi mwake.

7 Basi Daudi akatuma mjumbe aende nyumbani kwa Tamari, akasema, Nenda sasa nyumbani kwa Amnoni, ndugu yako, ukamwandalie chakula.

8 Akaenda Tamari nyumbani kwa nduguye Amnoni; naye alikuwa amelala. Akachukua unga, akaukanda, akaiandaa mikate machoni pake, akaioka mikate.

9 Akalitwaa kaango, akaisongeza mbele yake; lakini alikataa kula. Naye Amnoni akasema, Toeni watu wote kwangu. Wakatoka kila mtu kwake.

10 Amnoni akamwambia Tamari, Kilete chakula chumbani, nipate kula mkononi mwako. Basi Tamari akaitwaa mikate aliyoifanyiza, akamletea Amnoni nduguye mle chumbani.

11 Naye alipokwisha kuileta karibu naye, ili ale, Amnoni akamkamata, akamwambia, Njoo ulale nami, ndugu yangu.

12 Naye akamjibu, La, sivyo, ndugu yangu, usinitenze nguvu; kwani haifai kutendeka hivi katika Israeli; usitende upumbavu huu.

13 Nami nichukue wapi aibu yangu? Wewe nawe utakuwa kama mmoja wa wapumbavu wa Israeli. Basi, sasa, nakusihi, useme na mfalme; kwa maana hatakukataza kunioa.

14 Walakini yeye hakukubali kusikiliza sauti yake; naye akiwa na nguvu kuliko yeye, akamtenza nguvu, akalala naye.

15 Kisha Amnoni akamchukia machukio makuu sana; kwa kuwa machukio aliyomchukia yakawa makuu kuliko yale mapenzi aliyokuwa amempenda kwanza. Amnoni akamwambia, Ondoka, nenda zako.

Jambo la msingi ni kufanya mapatano na Mungu wako kwa kuanguka kwako ktk dhambi ya uzinzi na uamue kwa dhati kutojihusisha na mapenzi nje ya ndoa maana baada tu mapenzi kwa watu wasiyo wana ndoa chuki inakuja maana anajihisi hatia maana shetani aliyewashawishi anakuwa amewaacha baada ya kufanikisha lengo lake la kuwashusha
mbona havihusiani, Tamari alibakwa, huyu mleta mada walikubaliana
 
Mimi ni binti nina miaka 24, nilikuwa na mahusiano ya kirafiki na kaka mmoja ambaye ni mfanyakazi wa benki moja hivi, baadaye tukawa wapenzi, akaniuliza kama nampenda kwa dhati au nina mtu mwingine, nilimjibu kuwa sina mtu mwingine zaidi yake.

Siku zikapita, kuna siku moja alinipigia simu majira ya saa moja usiku na kuomba nikaonane naye, sikuwa na wasiwasi nilifunga safari hadi nyumbani kwake.

Tuliendelea na mazungumzo ya kawaida ikafika sehemu akaniambia kuwa ana hamu ya kufanya mapenzi na mimi, kwa kuwa nilimpenda sikukataa, nikamkubalia tukaingia kwenye uwanja wa masumbwi.

Lakini tangu siku hiyo nilipompa penzi langu mara moja akawa haeleweki, kila nikimtafuta anasema yuko bize hata kama nikimwambia nina hamu ya kukutana naye faragha anasema kuwa nisubiri kwanza yeye yuko bize akipata nafasi atanitafuta.

Naombeni ushauri nifanyeje
The deed is done, move on. Ukweli ni kwamba;
1) Either kuna gap between expectation na reality
2) U were meant for once only use
3) Alikua anapambana kwengine na akafanikiwa after
4) Amejihisi hastahili kuwa na wewe kutokana na experience aliyoipata

Don't stress over it, just pick a reason that will make you sleep at night then move on.
Next time jitahidi kutafuta mtu ambaye anakuthamini as a human being first and then as a woman before atake mwili wako. That will help you be respected.
 
Pole mdogo wangu, usijistress japo ni vigumu kutokumuwaza hasa kama umempenda ila jipe moyo, hakuna kisicho na mwisho jitahidi kuanza kumsahau na hata namba zake futa usiendelee kumtafuta wala kumuuliza na kumbembeleza manake kwa tabia za wanaume anaweza kuja kukutamkia maneno mabaya ambayo for the rest of your life utajichukia au anaweza kuamua kuendelea kukutumia vibaya mpaka ujione huna thamani tena. Na usiwaze kwamba una kasoro hapana, huyo hakuwa na nia ya kuwa na mahusiano na wewe bali baada ya kuona wewe unaonyesha kumpenda akaamua ku take advantage tena ukute ana mpenzi wake permanent kwako alitaka kupita tu mana wanaume wana hizo sana. Kingine cha mwisho usiwe mrahisi kusex na wanaume na usiwe mwepesi kujirahisi kwao mama mana mabazazi ni mengi mno dunia ya leo
 
Back
Top Bottom