Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,319
- 16,487
Bei yake ipoje kwa kilo moja?Ndio huo!!dar kwenyewe ukienda kwenye masoko kama ya kisutu, ndio upo, lakini huuwezi kuupata kwa buza, mbagala
Bei yake ipoje kwa kilo moja?Ndio huo!!dar kwenyewe ukienda kwenye masoko kama ya kisutu, ndio upo, lakini huuwezi kuupata kwa buza, mbagala
Huaanzia 2500-3000, ila ni mchele kweliBei yake ipoje kwa kilo moja?
Mayai hapana ndg.. zenji kuna wafugaji wa kuku had vijijin kabisa msee.. wanafuga hao layer kwa wingi.. may be ya kienyeji.Niko katika mchakato wa kuangalia fursa za kibiashara maeneo tofauti tofauti ila nimefikia muda wa tathmini ya biashara Zenji.
Nina hamu ya kujua biashara ambazo zinashamiri za kutoka Dar kwenda Zanzibar hasa za vyakula. Naomba ushirikiano wenu ili niweze kupata tathmini halisi ya mambo ya changamoto, gharama na kodi ikibidi kwa wazoefu.
Biashara nayolenga mojawapo ni ya kusafirisha mayai ya jumla. Kutoka Dar to Zenji. Karibuni.
Dah, we jamaa nimuongo mno, cjui inakusaidia kusema uongo kiasi hicho, mchana zaid ya asilimia 90 nyumba zote utakazopita ni wali, nyamaza wazanzibar wenywe tumo humu
UtaliiPombe tena.!!!! Kule si zimepigwa marufuku?
Sasa hv sio kyela tena ni Kamsamba ndio wana mchele mzur ila kyela inatumika kuibrand tu ila kwa watu wa mbeya ndio wanaulizia hyo kamsamba ndio unanukia sana alaf mtamu sana mdomoni.Ni kweli mkuu ata wa shinyanga ni mzuri Ila wa kyela ni special, ule ukipika nyumba nzima inanukia wali, tofauti kidogo na mchele mwingine mtu kujua kama Unatoa hashimu lungwe hadi aone umepalia Moto juu ya mfuniko
Sent using Jamii Forums mobile app