rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,189
- 20,156
kuna msimu wa machungwa, mihogo na hata mayai sema wapemba wajanja wakiona kuna fursa hawakawii kuja bara na kuikamatia hiyo fursa.
Ila kuna wazanzibar wananunua vitu bara wanaenda kuuza Comoro hivyo vyote vinahitajika.
Ila kuna wazanzibar wananunua vitu bara wanaenda kuuza Comoro hivyo vyote vinahitajika.