Amani yetu ndiyo maendeleo yetu, tutailinda daima

Amani yetu ndiyo maendeleo yetu, tutailinda daima

Wasiotaka amani ni hao walioshika mpini. Kukiwa na haki hakuna atakayewaza kupambana wala kuandamana. Mbona nchi za jirani nyingi tu zinakuwa na democratic elections, civil liberties and all kinds of human rights sometimes vyama vinavytwala vinashindwa kwa haki kabisa na maisha yanaendelea, kung'olewa kwa CCM si tu kwamba itakuwa furaha ya wengi lakini pia ndipo watu wataamini kuwa sanduku la kura lina maana(democracy at it's best) kama tunavyojionea baadhi ya nchi.
Kama English terms zinakupa shida kueleweka kwako sidhani kama hilo ni tatizo langu.
Basi tuma hao waandamanaji ila hakikisha hawafiki tena kwenye biashara zetu,safari hii tutawang'oa kende.Hatutakubali tena kumdi la watu kudhuia shughuli za wengine kwa maslahi yao ya kisiasa.
Binafsi nitaendelea kuwa balozi mtiifu wa Amani maana najua madhara yaliyotokana na maandamano Yale kwenye KAZI zangu.
 
Basi tuma hao waandamanaji ila hakikisha hawafiki tena kwenye biashara zetu,safari hii tutawang'oa kende.Hatutakubali tena kumdi la watu kudhuia shughuli za wengine kwa maslahi yao ya kisiasa.
Binafsi nitaendelea kuwa balozi mtiifu wa Amani maana najua madhara yaliyotokana na maandamano Yale kwenye KAZI zangu.
Maandamano yatafika kila sehemu, wewe na chawa wenzio jiandaeni tu kung'oa hizo kende mnazotamani kuzing'oa na pia mkae mkao wa kivita msijekujikuta kuwa badala ya kung'oa kende hizo mkang'olewa nyie. Chawa mwenzenu amedai yeye hatang'oa kende bali atatairi Watanganyika bila ya ganzi.
 
Maandamano yatafika kila sehemu, wewe na chawa wenzio jiandaeni tu kung'oa hizo kende mnazotamani kuzing'oa na pia mkae mkao wa kivita msijekujikuta kuwa badala ya kung'oa kende hizo mkang'olewa nyie. Chawa mwenzenu amedai yeye hatang'oa kende bali atatairi Watanganyika bila ya ganzi.
Hakuna atakayeandamana.Labda kama ni maandamano ya kutoka hapo kwa shemeji yako ukajitegemee.Unashindwa kujishughulisha,unalala mpaka saa nne asubuhi,unaamka kuelekea kijiwe cha kahawai mpaka saa kumi kusubiri mpira utakumbuka kufanyakazi saa ngapi.Amka Acha hayo mawazo,toka ndotoni utajinyea bure
 
Tufafanulia wale watoto waliowawa kwenye banda umiza october 29 wanavyonufaika na hiyo amani?
 
Hakuna atakayeandamana.Labda kama ni maandamano ya kutoka hapo kwa shemeji yako ukajitegemee.Unashindwa kujishughulisha,unalala mpaka saa nne asubuhi,unaamka kuelekea kijiwe cha kahawai mpaka saa kumi kusubiri mpira utakumbuka kufanyakazi saa ngapi.Amka Acha hayo mawazo,toka ndotoni utajinyea bure
Unafi*rwa, nyie chawa uchwara mnadhani kila mtu anaishi kwa handout za buku saba kama mlivyozoeshwa hapo Lumumba huku kikojozi wa Kizimkazi akizidi kuwageuza misukule.
Oct last year you were saying the same crap but you were shown what the Gen Z are made of, this time around it's gonna be tenfold.
 
Angalizo...!

Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018.

Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na viongozi Sina maana kulingana na shughuli zangu ni ngumu kuonana nao,lakini nimechagua amani.

Kuna watu wanafikri kutukana Kila kitu humu jukwaani, wakifikri Kuna faida ya hayo,l akini kumbe wanapoteza muda bila kujua kuwa kundi kubwa la wananchi linapenda utulivu,nikiwemo na Mimi.

Bila amani na utulivu kwenye taifa, hakuna usafiri,hakuna shule,hakuna hospitali na hakuna biashara Wala internet inayowawezesha kutukana watu majukwaani Kila wakati.

Tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu ili tujenge maendeleo yetu. Wale mnaoishi Kwa mashemeji zenu mtusamehe tuna majukumu ya msingi ya kutafutia mkate familia zetu.Kwa hiyo tunahitaji utulivu na ustaarabu katika kutimiza hayo.
Ukiwa na haki ,amani wala hutumii nguvu kuiita huwa inakuja yenyewe ,kilichopo tanzania sio amani bali ni hofu sio amani muwe mnaweka sawa hili kwenye mijadala yenu
 
Unafi*rwa, nyie chawa uchwara mnadhani kila mtu anaishi kwa handout za buku saba kama mlivyozoeshwa hapo Lumumba huku kikojozi wa Kizimkazi akizidi kuwageuza misukule.
Oct last year you were saying the same crap but you were shown what the Gen Z are made of, this time around it's gonna be tenfold.
Nimekwambia amka ndotoni utajinyea bure...! Hapa Tayari umeshaandamana.Hakuna anayehitaji hayo maandamano.Mfanya biashara mwenye Duka kariakoo yatamlipia chumba miezi mingapi? Baba mwenye watoto wawili shule yatamchangia Karo kiasi gani? Mwanafunzi wa kidato cha nne yatamsaidia kujibu maswali mangapi ya hesabu nectar?
Wewe uliyeko hapo kwa shemeji yako yatakufanya upate akili ya kuondoka sasa ukajitegemee??
Mnapokuwa nyuma ya keyboard mnakuwa mashujaa kweli kumbe hamna kila kitu.Wewe mwenyewe huwezi kuandamana dada yako atakuonya.Pole sana
 
Nimekwambia amka ndotoni utajinyea bure...! Hapa Tayari umeshaandamana.Hakuna anayehitaji hayo maandamano.Mfanya biashara mwenye Duka kariakoo yatamlipia chumba miezi mingapi? Baba mwenye watoto wawili shule yatamchangia Karo kiasi gani? Mwanafunzi wa kidato cha nne yatamsaidia kujibu maswali mangapi ya hesabu nectar?
Wewe uliyeko hapo kwa shemeji yako yatakufanya upate akili ya kuondoka sasa ukajitegemee??
Mnapokuwa nyuma ya keyboard mnakuwa mashujaa kweli kumbe hamna kila kitu.Wewe mwenyewe huwezi kuandamana dada yako atakuonya.Pole sana
Wewe unadhani kila mtu ni chawa na anaishi kwa handouts? We'll keep on fighting by whatever means na secondly kwa kuwa mna utaratibu wa kujinyea usidhani kila jamii hujinyea kama nyinyi chawa kwani tunajua fika kuwa most of the time huwa mnabokolewa, you can't be supporting tyrants if you ain't their bitch.
Huyo bibi mnuka kiwapa either aachie democracy i-prevail au yeye pamoja na nyinyi useless chawa muelewe kuwa we ain't stopping. Wengi ambao tume-experience civil liberties we know how it feels to be living without fear of being either abducted or killed just simply you have different opinions.
 
Inatakiwa ujue amani ni matunda ya haki.. huwezi kuvuna amani bila kupanda mti ambao ni haki.. elewa hivyo
Ameongea maneno mengii bila neno haki ambalo ndilo msingi wa amani,anajenga nyumba bila msingi
 
Back
Top Bottom