Amani yetu ndiyo maendeleo yetu, tutailinda daima

Amani yetu ndiyo maendeleo yetu, tutailinda daima

nkoge

Member
Joined
Jun 7, 2018
Posts
53
Reaction score
90
Angalizo...!

Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018.

Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na viongozi Sina maana kulingana na shughuli zangu ni ngumu kuonana nao,lakini nimechagua amani.

Kuna watu wanafikri kutukana Kila kitu humu jukwaani, wakifikri Kuna faida ya hayo,l akini kumbe wanapoteza muda bila kujua kuwa kundi kubwa la wananchi linapenda utulivu,nikiwemo na Mimi.

Bila amani na utulivu kwenye taifa, hakuna usafiri,hakuna shule,hakuna hospitali na hakuna biashara Wala internet inayowawezesha kutukana watu majukwaani Kila wakati.

Tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu ili tujenge maendeleo yetu. Wale mnaoishi Kwa mashemeji zenu mtusamehe tuna majukumu ya msingi ya kutafutia mkate familia zetu.Kwa hiyo tunahitaji utulivu na ustaarabu katika kutimiza hayo.
 
Angalizo...!
Hii siyo Id mpya kama wajinga wachache wasiofikri vyema,ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018.

Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea.Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na viongozi Sina maana kulingana na shughuli zangu ni ngumu kuonana nao,lakini nimechagua amani.
Kuna watu wanafikri kutukana Kila kitu humu jukwaani,wakifikri Kuna faida ya hayo,lakini kumbe wanapoteza muda bila kujua kuwa kundi kubwa la wananchi linapenda utulivu,nikiwemo na Mimi.

Bila amani na utulivu kwenye taifa,hakuna usafiri,hakuna shule,hakuna hospitali na hakuna biashara Wala internet inayowawezesha kutukana watu majukwaani Kila wakati.

Tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu ili tujenge maendeleo yetu.Wale mnaoishi Kwa mashemeji zenu mtusamehe tuna majukumu ya msingi ya kutafutia mkate familia zetu.Kwa hiyo tunahitaji utulivu na ustaarabu katika kutimiza hayo.
Wewe ni chawa na kuanza kwa cheap defensive strategy hakukukingi na kubainika, we've seen y'all in all forms and kinds.
Seriously amani inaanza kwa kuwepo haki katika mifumo yote na hautasikia malalamiko, it's easy to smell your kinds from miles away so cut your cheap crap. You're 💩.
 
Angalizo...!

Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018.

Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na viongozi Sina maana kulingana na shughuli zangu ni ngumu kuonana nao,lakini nimechagua amani.

Kuna watu wanafikri kutukana Kila kitu humu jukwaani, wakifikri Kuna faida ya hayo,l akini kumbe wanapoteza muda bila kujua kuwa kundi kubwa la wananchi linapenda utulivu,nikiwemo na Mimi.

Bila amani na utulivu kwenye taifa, hakuna usafiri,hakuna shule,hakuna hospitali na hakuna biashara Wala internet inayowawezesha kutukana watu majukwaani Kila wakati.

Tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu ili tujenge maendeleo yetu. Wale mnaoishi Kwa mashemeji zenu mtusamehe tuna majukumu ya msingi ya kutafutia mkate familia zetu.Kwa hiyo tunahitaji utulivu na ustaarabu katika kutimiza hayo.
Inatakiwa ujue amani ni matunda ya haki.. huwezi kuvuna amani bila kupanda mti ambao ni haki.. elewa hivyo
 
Amani bila haki haiwezekani.kama hakuna haki hakyna maana ya kuishi duniani ndiyo maana madikteta ka Adolf hitler na wengine wakishughulikiwa kisawasawa na nguvu ya umma sababu ya kuminya haki.Watanganyika tusiogopebkukinukisha 77 ili nchi yetu iwe huru na haki
 
Umekoga lakini bado unaandika uchafu hapa jukwaani.
 
Huwezi kupata haki yako katika hali ya kutokuwa na amani
Amani kwanza halafu ndio uanze kudai haki yako, na mifano ipo mingi duniani.
Tuanze na Angola na Mozambique, UNITA na RENAMO waliiamua kudai haki kwa njia ya vita
Lakini wote walishindwa ni mpaka walipo weka silaha chini na nchi zao kupata amani, ndio mchakato wa kudai haki ulipoanza
Kwa UNITA, Savimbi aliwahi kuwa Makamu wa Raisi, lakini inaonekana alikuwa na uchu wa madaraka na kurudia vita, wakamuulia mbali
Kwa Mozambique, juzujuzi RENAMO walishinda mpaka uchaguzi wakafinyiwa zengwe na FRELIMO, lakini hawakurudi kwenye vita, na sasa inaonekana watachukua nchi uchaguzi ujao.
Na Ivory Coast, Didier Drogba aliiomba amani kwanza, kwenye vita, leo hali shwari

1782637240240.png


Amani kwanza
 
Wewe ni chawa na kuanza kwa cheap defensive strategy hakukukingi na kubainika, we've seen y'all in all forms and kinds.
Seriously amani inaanza kwa kuwepo haki katika mifumo yote na hautasikia malalamiko, it's easy to smell your kinds from miles away so cut your cheap crap. You're 💩.
Unaweza kupata amani katikati ya mapigano?? .Kiingereza kingi siyo uelewa.Tudumishe kwanza amani halafu mijadala ya haki itakuwemo.
 
Huwezi kupata haki yako katika hali ya kutokuwa na amani
Amani kwanza halafu ndio uanze kudai haki yako, na mifano ipo mingi duniani.
Tuanze na Angola na Mozambique, UNITA na RENAMO waliiamua kudai haki kwa njia ya vita
Lakini wote walishindwa ni mpaka walipo weka silaha chini na nchi zao kupata amani, ndio mchakato wa kudai haki ulipoanza
Kwa UNITA, Savimbi aliwahi kuwa Makamu wa Raisi, lakini inaonekana alikuwa na uchu wa madaraka na kurudia vita, wakamuulia mbali
Kwa Mozambique, juzujuzi RENAMO walishinda mpaka uchaguzi wakafinyiwa zengwe na FRELIMO, lakini hawakurudi kwenye vita, na sasa inaonekana watachukua nchi uchaguzi ujao.
Na Ivory Coast, Didier Drogba aliiomba amani kwanza, kwenye vita, leo hali shwari

Huwezi kupata haki yako katika hali ya kutokuwa na amani
Amani kwanza halafu ndio uanze kudai haki yako, na mifano ipo mingi duniani.
Tuanze na Angola na Mozambique, UNITA na RENAMO waliiamua kudai haki kwa njia ya vita
Lakini wote walishindwa ni mpaka walipo weka silaha chini na nchi zao kupata amani, ndio mchakato wa kudai haki ulipoanza
Kwa UNITA, Savimbi aliwahi kuwa Makamu wa Raisi, lakini inaonekana alikuwa na uchu wa madaraka na kurudia vita, wakamuulia mbali
Kwa Mozambique, juzujuzi RENAMO walishinda mpaka uchaguzi wakafinyiwa zengwe na FRELIMO, lakini hawakurudi kwenye vita, na sasa inaonekana watachukua nchi uchaguzi ujao.
Na Ivory Coast, Didier Drogba aliiomba amani kwanza, kwenye vita, leo hali shwari

View attachment 3617381
 
Angalizo...!

Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018.

Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na viongozi Sina maana kulingana na shughuli zangu ni ngumu kuonana nao,lakini nimechagua amani.

Kuna watu wanafikri kutukana Kila kitu humu jukwaani, wakifikri Kuna faida ya hayo,l akini kumbe wanapoteza muda bila kujua kuwa kundi kubwa la wananchi linapenda utulivu,nikiwemo na Mimi.

Bila amani na utulivu kwenye taifa, hakuna usafiri,hakuna shule,hakuna hospitali na hakuna biashara Wala internet inayowawezesha kutukana watu majukwaani Kila wakati.

Tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu ili tujenge maendeleo yetu. Wale mnaoishi Kwa mashemeji zenu mtusamehe tuna majukumu ya msingi ya kutafutia mkate familia zetu.Kwa hiyo tunahitaji utulivu na ustaarabu katika kutimiza hayo.
0_0Z7rzeZzrNHEtuoJ.png
 
Angalizo...!

Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018.

Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na viongozi Sina maana kulingana na shughuli zangu ni ngumu kuonana nao,lakini nimechagua amani.

Kuna watu wanafikri kutukana Kila kitu humu jukwaani, wakifikri Kuna faida ya hayo,l akini kumbe wanapoteza muda bila kujua kuwa kundi kubwa la wananchi linapenda utulivu,nikiwemo na Mimi.

Bila amani na utulivu kwenye taifa, hakuna usafiri,hakuna shule,hakuna hospitali na hakuna biashara Wala internet inayowawezesha kutukana watu majukwaani Kila wakati.

Tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu ili tujenge maendeleo yetu. Wale mnaoishi Kwa mashemeji zenu mtusamehe tuna majukumu ya msingi ya kutafutia mkate familia zetu.Kwa hiyo tunahitaji utulivu na ustaarabu katika kutimiza hayo.
Amani inalindwa kwa kutenda haki.
Vyama vya siasa vina haki ya kufanya mikutano ya hadhara.

Raia tuna haki ya kuishi.
Raia tuna haki ya kulindwa na vyombo vya ulinzi na usalama na kujilinda wenyewe.

Raia tuna haki ya kuandamana
 
Amani inalindwa kwa kutenda haki.
Vyama vya siasa vina haki ya kufanya mikutano ya hadhara.

Raia tuna haki ya kuishi.
Raia tuna haki ya kulindwa na vyombo vya ulinzi na usalama na kujilinda wenyewe.

Raia tuna haki ya kuandamana
Unaandamana ili uibe maduka ya watu,maandamano gani hayo?
 
Wajinga ni ninyi wachache ambao mnaona furaha,tukichomewa maduka yetu na waandamanaji uchwara.Fanyeni kazi,huwezi kuwa na biashara yako mhimu unaitegemea ukaendekeza ujinga wa kushadadia fujo.
0_0Z7rzeZzrNHEtuoJ.png
 
Wajinga ni ninyi wachache ambao mnaona furaha,tukichomewa maduka yetu na waandamanaji uchwara.Fanyeni kazi,huwezi kuwa na biashara yako mhimu unaitegemea ukaendekeza ujinga wa kushadadia fujo.
IMG_20200901_023949_876.JPG
 
Unaweza kupata amani katikati ya mapigano?? .Kiingereza kingi siyo uelewa.Tudumishe kwanza amani halafu mijadala ya haki itakuwemo.
Wasiotaka amani ni hao walioshika mpini. Kukiwa na haki hakuna atakayewaza kupambana wala kuandamana. Mbona nchi za jirani nyingi tu zinakuwa na democratic elections, civil liberties and all kinds of human rights sometimes vyama vinavytwala vinashindwa kwa haki kabisa na maisha yanaendelea, kung'olewa kwa CCM si tu kwamba itakuwa furaha ya wengi lakini pia ndipo watu wataamini kuwa sanduku la kura lina maana(democracy at it's best) kama tunavyojionea baadhi ya nchi.
Kama English terms zinakupa shida kueleweka kwako sidhani kama hilo ni tatizo langu.
 
Back
Top Bottom