Angalizo...!
Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018.
Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na viongozi Sina maana kulingana na shughuli zangu ni ngumu kuonana nao,lakini nimechagua amani.
Kuna watu wanafikri kutukana Kila kitu humu jukwaani, wakifikri Kuna faida ya hayo,l akini kumbe wanapoteza muda bila kujua kuwa kundi kubwa la wananchi linapenda utulivu,nikiwemo na Mimi.
Bila amani na utulivu kwenye taifa, hakuna usafiri,hakuna shule,hakuna hospitali na hakuna biashara Wala internet inayowawezesha kutukana watu majukwaani Kila wakati.
Tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu ili tujenge maendeleo yetu. Wale mnaoishi Kwa mashemeji zenu mtusamehe tuna majukumu ya msingi ya kutafutia mkate familia zetu.Kwa hiyo tunahitaji utulivu na ustaarabu katika kutimiza hayo.
Hii siyo Id mpya kama wachache wasiofikri vyema, ambao yeyote kwao anayeongelea amani na utulivu kwenye jamii wanamgeuza kuwa adui. Niko hapa tangu 2018.
Binafsi nimechagua kuwa balozi wa amani wa kujitegemea. Sijawahi kupewa chochote na kiongozi yeyote na hata mahusiano na viongozi Sina maana kulingana na shughuli zangu ni ngumu kuonana nao,lakini nimechagua amani.
Kuna watu wanafikri kutukana Kila kitu humu jukwaani, wakifikri Kuna faida ya hayo,l akini kumbe wanapoteza muda bila kujua kuwa kundi kubwa la wananchi linapenda utulivu,nikiwemo na Mimi.
Bila amani na utulivu kwenye taifa, hakuna usafiri,hakuna shule,hakuna hospitali na hakuna biashara Wala internet inayowawezesha kutukana watu majukwaani Kila wakati.
Tuendelee kudumisha amani na utulivu wetu ili tujenge maendeleo yetu. Wale mnaoishi Kwa mashemeji zenu mtusamehe tuna majukumu ya msingi ya kutafutia mkate familia zetu.Kwa hiyo tunahitaji utulivu na ustaarabu katika kutimiza hayo.