Slave njuluku muhimu bana we muulize king mswati Arushaone na Erickb52 nini kinawapa jeuri ni njuluku mkuu. Bila hizo heshima hakuna hakuna na ukiwa nazo akina Preta, Arabela, Madame B, Blaki Womani, sweetlady, snowhite, Evelyn Salt, Amyner, Mamndenyi , Dena Amsi Paloma, ladyfurahia, marejesho watakupa heshima mjini aise
Zisake mkuu ukipata njoo mjini kutumia sasa@
Wasalaam wana chit-chat natumai mu wazima wenye siha njema.
Majukumu yamenifanya niwatenge kwa muda kwakuwa nimekuwa naingia kwa beep,
Lakini muda si mrefu kuanzia tarehe 20-03 tutakuwa wote.
Najua mshenga wangu watu8 utakuwa unajiuliza nipo wapi siku zote hizo,ukweli ni kwamba nisipo kaza buti mke wangu Evelyn Salt atanikimbia maana anapenda vitu vya bei juu na nikiwa sina yeye hanitaki,hivyo nipo huku kwa Rich women napiga day worker ili nitunishe mfuko kidogo na baadae mambo yaende.
Pia napenda kutoa pole kwa familia yaBaba V nawengine wote walokuwa chini ya ulinzi halali wa moderator .
Ok… sasa niwatakie peace and love Erickb52, mkaguzi Asprin, shemeji zangu wa ukwenhe Madame B C6 ,
Ndugu na jamaa zangu
Filipo, marejesho, Bishanga, KakaKiiza, Nivea, Chimbuvu, ThinkPad, Yegomasika, Lucas, gfsonwin
measkron, sweetlady WiseLady, ladyfurahia, FirstLady, Davie S.M, Elizabeth Dominic, Mtambuzi, Arushaone, Jiwe Linaloishi, Paloma, amu, Mr Rocky, Asnam, Zion Daughter, , cacico, snowhite
mwisho dada zangu King'asti, Arabela, nawapenda sana:A S-heart-2: amani sana:bange::bange:
Arushaone nisam`ehe nita kuwa nimekukwaza
ladyfurahia jamani sasa hiyo ndiyo amani gani ya mpaka mtu uwe nazo?Mimi nitakuwa wa kwanza kumpa heshima akiwa nazo
ladyfurahia huku kijiweni kwetu hujui kuwa ndo ofisini kwetu? Donn anatumia pesa unajua zinatoka wapi???yaani uko kukaa kijiweni unasema kuwa ulikuwa bize na kazi nyingi sasa watu8 naye atasemaje kama wewe unasema hivyo? na Mtambuzi naye asemeje huko alikokuwa, mwanza na Nicas Mtei naye atasemaje wewe ukisema hivyo? hebu njoo huku mjengoni acha fiksi hizo ondoka huko kijiwe cha Donn
Passion Ladyviroba stumii
labda kitu cha arusha kidogo
na jack daniel single baaas!
ladyfurahia huku kijiweni kwetu hujui kuwa ndo ofisini kwetu? Donn anatumia pesa unajua zinatoka wapi???
Mr Rocky huyu mtoto Passion Lady inaonekana hapendi mtu ila pochi kwanza,sasa mie wa hivyo hamnaga kama ninamatatizo yangu bora niende kuleee jukwaa la chini naweza pata tiba asilia bila gharama kubwa huko ni mwendo wa jero jero tuSlave umeona Passion Lady alivyokuruka
We endelea kuwaambia mambo ya ulanzi na mbege kama watakusikiliza
Arabela pesa mpango mzima bana bila hiyo hakuna heshima mjini
yaani uko kukaa kijiweni unasema kuwa ulikuwa bize na kazi nyingi sasa watu8 naye atasemaje kama wewe unasema hivyo? na Mtambuzi naye asemeje huko alikokuwa, mwanza na Nicas Mtei naye atasemaje wewe ukisema hivyo? hebu njoo huku mjengoni acha fiksi hizo ondoka huko kijiwe cha Donn
ladyfurahiasiwezi jua zinapotokea ndugu kwani siku mapateli wako wengi tena wana lugha laini kama asali ya nyuki wadogo
Hujambo mpendwa, nimesikia sauti yako ikiita jina langu!!
mimi sijambo buheri wa afya sijui wewe uliyembali na upeo awa macho yangu, nimekuita hapa ili uweze kumsaidia huyu mtu anayejifanya kuwa yeye yuko bize sana na kazi na kumbe si lolote si chochote mpendwa, msaidie hapo si aende kwa donn kule ndo kunamfaa
Bishanga huyo nduguyo Ruttashobolwa kalaza blood mpaka Rev. manoah kawafungisha ndoa Tonykp na Passion Lady, tushakula ndafu siku nyingi. . . !
Passion Lady
nitakufundisha kutumia