ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
Nitakuja lakini sipajui ni wapi nipe mwelekeo basi
ladyfurahia
njoo leo ututembelee uone
ladyfurahia
njoo leo ututembelee uone
unatafuta makombora saa hizi
niachie ndoa yangu na loya bana!
nini?mbichwa ule!
mimisa ana harufu yake ya asiri inanikosha yani sitakagi hata akae mbali na mimi, Lips zake duh! acha tu ni pekee aniwezae
ndio umwage sifa kwa mtt
mi shemejio bana!
Ngoja nifanye kazi, naona kuna li mtu hapa linanitazama kwa wivu
liambie hilo limtu
p.l nimelitukana liache wivu!
afu wewe Passion Lady sema tu uzee unanisumbua enzi zangu weye !!!!!!!akha!vinazeesha mi staki
rutta kanizoesha vitu vitamu
vya bei ghali!
wewe nyoosha tu njia hii ukifika kule mbele kata kusho hapo utatembea kidogo kama hatua 4 hivi utaona ki njia kina chepukia kusini kifuate hicho hicho ki njia mpaka mbele kabisa kuna jengo kubwa limeandikwa watu8Nitakuja lakini sipajui ni wapi nipe mwelekeo basi
ah ah ah! nimemuambia ajichagulie tusi
am gud swr!
Hivi weweeeeee???????????