amani iwe nanyi wana chit-chat

Hapo Mapipa kuna lori la pesa limeanguka...watu wanaokota lakini hawazimalizi, kama vipi jimuvuzishe maeneo hayo.
he mshenga tafadhari bwana migo migo hii hii niijuayo mie?? embu ngoja nifike eneo la tukio kwanza.
 
Amani kwako pia Slave .Endelea kutafuta kwani mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe....tumia na akili lkn
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom