amani iwe nanyi wana chit-chat

amani iwe nanyi wana chit-chat

Kwanza naomba ujue kuwa sijawahi kupigwa BAN kabisa!! Slave naomba sana edit pale ulipoandika kuwa nimepigwa ban. Kama kuna member kaniandika hivyo alikuwa amemaanisha kuwa ingekuwa vipi kama ningepigwa ban?

Rudia kusoma ile thread tena!
daaah!! mkuu Arushaone samahani sana ndo taabu ya kuingia kwa ku beep niasoma haraka haraka ile post roho ikaniuma sana kumbe haikuwa hivyo??
 
Last edited by a moderator:
Slave amani iwe pia nawe aise. Ukabarikiwe sana mkuu
Saka hizo njuluku aise
 
Last edited by a moderator:
Slave amani iwe pia nawe aise. Ukabarikiwe sana mkuu
Saka hizo njuluku aise
kaka Mr Rocky naamini maneno yako njuluku ina leta heshima bana hata kama mtu uwe na sura mbaya kama zombie lakini kama una mawe heshima itatawala
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Slave njuluku muhimu bana we muulize king mswati Arushaone na Erickb52 nini kinawapa jeuri ni njuluku mkuu. Bila hizo heshima hakuna hakuna na ukiwa nazo akina Preta, Arabela, Madame B, Blaki Womani, sweetlady, snowhite, Evelyn Salt, Amyner, Mamndenyi , Dena Amsi Paloma, ladyfurahia, marejesho watakupa heshima mjini aise
Zisake mkuu ukipata njoo mjini kutumia sasa@
dah Mr Rocky kuja mjini haiwezekani. hao watoto wa mjini wanavyo jua kutafuna noti namna hiyo
, watoto wanatafuna noti kama mchwa hata ukienga na burungutu kubwa kama furushi la pamba wanateketeza ndani ya masaa mawili tu ........
 
Last edited by a moderator:
Slave sasa unataka ukatumie njuluku kwa kunywa ulanzi na mbege aise
Ahhh kwa mpango huo sahau watoto wazuri kama Madame B na Preta utakuwa unawasikia tuu kwenye media
Njuluku lazima zitumike mjini kwenye hoteli nzuri na club za uhakika
 
Last edited by a moderator:
watu8 kwa macheni juu ama chini?????? nipe full ramani iseeeeeeeee!!!!
Sio huko kwa Macheni...
Hapo barabarani kabisa wanapotifua barabara karibia na huo msikiti...gari lilishindwa kukata kona.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom