KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Nikajua ulikutana na mchuchu then mkatemana after 21 years zikabamba Tena kumbe..🤣Kwahiyo mkuu, unamaanisha mimi ni ❤️boy...??!!
Nikajua ulikutana na mchuchu then mkatemana after 21 years zikabamba Tena kumbe..🤣Kwahiyo mkuu, unamaanisha mimi ni ❤️boy...??!!
Sioni Cha kufutia..🤣Mkuu, ebu futa hii komenti kabla waifu hajapita upande huu...🤣🤣
Hapana mkuu...muazishe ligi nyingine
Sina baba dizaini yako wa kuweka kiwele juu ya kiwele.. nb situmii app.Mkuu, hua naona jf app kwenye sim ya kijana wangu....🤔
Isije ikawa ndio wewe...🙄🙄
Ha ha! Hili litakuwa gumzo.. sikuhizi tatizo nyie wazee wetu mmeanza hadi kutuchukulia vimwali vyetu! Mkeka mlishaanza kuuchana nyie wenyewe..😂Hauna adabu kabisa mwanangu...☹️☹️
Ndo kama unavyoona hivi mkuu ...!Changamkia fursa!