Ama kweli ndoa ndoano

Ama kweli ndoa ndoano

Mwambie hayo ya kawaida hawa wanawake tunaokutana nao tukiwa na ajira,mimi nilifukuzwa kazi nikauza gari nililonunua milioni7kwa shsmilioni moja na laki tano!Na vitu vingine baada ya kuuza vitu vingi nikawa tena sina kitu cha kuuza hapo ndipo kipengere kikaanza na figisu kibao;Hadi nikapelekwa gereza la Isanga baada ya kukosa mdhamini!Mwambie asiwaza apambane Mungu ni mwema ndoa ya kweli ni ya mkulima tuu!
Ndoa ya mkulima ipo vip1😅
 
Mwambie hayo ya kawaida hawa wanawake tunaokutana nao tukiwa na ajira,mimi nilifukuzwa kazi nikauza gari nililonunua milioni7kwa shsmilioni moja na laki tano!Na vitu vingine baada ya kuuza vitu vingi nikawa tena sina kitu cha kuuza hapo ndipo kipengere kikaanza na figisu kibao;Hadi nikapelekwa gereza la Isanga baada ya kukosa mdhamini!Mwambie asiwaza apambane Mungu ni mwema ndoa ya kweli ni ya mkulima tuu!
Mkuu ningetamani kujua hasa mkasa wako ulikuwaje na mwisho wake
 
Rafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,

Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yangu halafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.

Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Sanduku la Ndoa

Watu wengi hufunga ndoa wakiwa na imani potofu kwamba ndoa ni sanduku zuri lililojaa vitu vyote walivyotamani: urafiki, mpenzi, ukaribu n.k. Ukweli ni kwamba ndoa mwanzoni ni sanduku tupu. Lazima uweke kitu ndani kabla ya kutoa chochote nje. Hakuna mapenzi kwenye ndoa. Upendo upo ndani ya watu. Na watu huweka upendo katika ndoa. Hakuna mapenzi katika ndoa. Unapaswa kuiingiza kwenye ndoa yako. Wanandoa lazima wajifunze sanaa na kuunda mazoea ya kutoa, kupenda, kutumikia, kusifu kujaza sanduku. Ikiwa utatoa zaidi ya uliyoweka, sanduku litakuwa tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu baada ya hapo nikakomaa mahakama ya kazi!Miaka 8nikawa nauza maji ya bombani kwa wenyeji wa kitopeni,Mungu saidia nikashinda kesi na kulipwa!Alivyosikia!Kaja kama mwewe na mahaba kibao.Ila sisi wanaume sio wote,tusimcheke Samson wa kwenye bible.
we jamaa umezingua sana.. sema tutengenezee uzi wa hii story insonekan ina madini sana
 
Rafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,

Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yangu halafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.

Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Mwambie ampe talaka,atakuja kufa huko mbele

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Mwambia jamaa yako asifeli kwa kufanya yafuatayo
1 . Aache kujiona dhaifu ndo anachochea moto(hapa kuna nguvu anaitoa bila kufahamu)
2 . Hata kama hana pesa kwa sasa ATAMBUE YEYE NI KICHWA CHA FAMILIA apambane mwanamke yupo chini tu.
3 . Hawa wanawake baadhi [wapumbavu] ukionesha udhaifu kdg tu lazima washike usukani asiruhusu hicho kitu(rejea 1)
4 . Aanze kujinenea mema iwe dozi asubuhi mapema na kabla ya kulala awapo na utulivu wa akili.
5 . Asibague kazi kwa sasa na azidishe ubunifu ili amudu majukumu ya familia ambayo kwa sasa yawezekana mke wake ndo anawajibika.
6 . Akae kibusara azungumze na mkewe ikibidi hawausishe wazazi wao kwani hakuna kitu kibaya na kinachovunja moyo kama mke wako,mwandani wako kukupinga. Dah! inavunja moyo mno pale unapotarajia tulizo hupati jamaa apambane.
kwa sasa akianza na haya itamrudisha njiani...
 
Mwambie hayo ya kawaida hawa wanawake tunaokutana nao tukiwa na ajira,mimi nilifukuzwa kazi nikauza gari nililonunua milioni7kwa shsmilioni moja na laki tano!Na vitu vingine baada ya kuuza vitu vingi nikawa tena sina kitu cha kuuza hapo ndipo kipengere kikaanza na figisu kibao;Hadi nikapelekwa gereza la Isanga baada ya kukosa mdhamini!Mwambie asiwaza apambane Mungu ni mwema ndoa ya kweli ni ya mkulima tuu!
Kwa nn mkulima mkuu?? 🤣
 
Rafiki yangu wa karibu alikuwa ananisimulia changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ambayo ina umri wa miaka mitatu anasema hivi karibuni mambo yake ya kiuchumi yameenda mraba sasa imepelekea dharau kubwa kuibuka kutoka kwa mke wake ambaye yeye ana kipato cha uhakika kwakuwa ni muajiriwa ,

Anasema wakigombana kidogo anamtolea kauli za kukera " sio bure nilikubalije kuolewa na mwanaume kama wewe lazma uliniroga haikuwa akili yangu halafu mwanamke anaanika habari zao kwa ndugu zake.

Jamaa anasema alikuwa tu anasikia ndoa ni ndoano lakini amejionea mwenyewe na pia anaona utofauti akilinganisha na kipindi cha uchumba jinsi mahaba yalivyokuwa mazito.
Ukiona hivyo jua ana mwanaume mwingine pembeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom