Ama kweli maisha kuwahiana

Ama kweli maisha kuwahiana

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
9,761
Reaction score
15,575
Umekaa zako tu hivi unawaza nikimtoa kafara mzazi vip, maisha yawe mepesi unasema hapana.
Kumbe mzazi nae anawaza sina nguvu za kutafuta ndoto sijafikia.. ngoja niamakiza tu watoto unamaliziwa dadeki

Mke kumbe hakundi anakumaliza anaolewa na mwingine daaaa ni noma.

Sema Tanzania tunaenda kuikomboa wazee, Hatutaki viongozi wajinga wauwaji.
 
Back
Top Bottom