Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,579
- 3,925
- Thread starter
- #81
Sawa boss wangu ila limekuwa lapeke yang muda mrefu nikaona nibora nikashea kidogo nawadau.Hivi mkuu umesoma mada au umejibu tu? Si kasema alijitoa kuwa yeye hakusikia chochote??? Huku kukosa umakini ndio kunatuponza watanzania wengi.
Tukirudi kwa mtoa mada. Kwa maana hiyo ulidanganya mahakama? Maana kama ni kweli mshua alitishia maisha ungesimamia ukweli huo hata kama utakuponza. Na kitu cha pili ulifanya maamuzi sahihi pia kwa wakati huo na inakubidi usimamie maamuzi yako. Ndo ukubwa huo kila kitu tunachofanya duniani kina consequences na unapoamua kitu kiwe kizuri au kibaya uwe tayari kwa matokeo yake. Aidha mazuri au mabaya pia,ishi kwa amani kubali ukweli tengeneza ya kesho hayo ya miaka 9 iliyopita achana nayo huwezi kuyabadili