Am sorry to all men.................!!!

Am sorry to all men.................!!!

my wee nini tena?

uliwafanyeje?

Huu ujumbe una mahali pake....si bure!

Nini kilotokea..
Kuna thread alianzisha hapa JF ilikuwa hatari sana! ... yaani ile kuanza tu kuandika alianza na matusi kuwatukana wanaume wote kuwa hawafai & hawana maana!

Yaani paragraph moja ilikuwa na matusi/kasha maneno karibu yote. Sasa sisi wengine tukasema hapa kwa hasira hizi huyu si bure ... tayari kashatendwa sehemu so anakuja kutuliza hasira zake hapa JF. Bahati nzuri ule uzi ulifutwa muda si mrefu.

Ila wagombanao ndo wapatanao! - mambo ya kawaida tu hapa duniani.

sakapal siku nyingine mtu akikupandisha hasira jaribu kuwa na subira, tulia & tafakari kabla ya ku-react as unaweza kuja kufanya maamuzi mengine ukaja ukayajutia baadae.

Ila apology accepted!
 
Ndio maana nilisema una mahali pake....! kumbe inawezekana alitendwa, anyway mara nyingi hawa ndugu zetu huwa wanatabia ya ku-conclude wanaume wote wako sawa! Kumbe tumejumuishwa, haya sakapal i do understand you....move on...
 
haya wanaume wote mumsamehe mdada bureeeeee kabisa!!!
pole sana sakapal
 
Last edited by a moderator:
Kuna thread alianzisha hapa JF ilikuwa hatari sana! ... yaani ile kuanza tu kuandika alianza na matusi kuwatukana wanaume wote kuwa hawafai & hawana maana!

Yaani paragraph moja ilikuwa na matusi/kasha maneno karibu yote. Sasa sisi wengine tukasema hapa kwa hasira hizi huyu si bure ... tayari kashatendwa sehemu so anakuja kutuliza hasira zake hapa JF. Bahati nzuri ule uzi ulifutwa muda si mrefu.

Ila wagombanao ndo wapatanao! - mambo ya kawaida tu hapa duniani.

sakapal siku nyingine mtu akikupandisha hasira jaribu kuwa na subira, tulia & tafakari kabla ya ku-react as unaweza kuja kufanya maamuzi mengine ukaja ukayajutia baadae.

Ila apology accepted!

Thanks Dotworld you said it well and u r very right, next time i'll try my best to controll my temper. Peace and love to all who have forgiven me.:smiling:
 
Last edited by a moderator:
Wee snowhite we acha tuu hasira zangu ziliniponza, nikawasema vibaya wanaume wote niliporudi kawaida baada ya hasira kuisha ndo nikaona nilichofanya sicho. Kwa waliosoma watanielewa.

Mi sikusamehi hivi hivi, had tuonane faragha...
 
Amazing!!!!!!!! Dotworld a true man is the one who accepts an apology.Big up.
Kuna thread alianzisha hapa JF ilikuwa hatari sana! ... yaani ile kuanza tu kuandika alianza na matusi kuwatukana wanaume wote kuwa hawafai & hawana maana!

Yaani paragraph moja ilikuwa na matusi/kasha maneno karibu yote. Sasa sisi wengine tukasema hapa kwa hasira hizi huyu si bure ... tayari kashatendwa sehemu so anakuja kutuliza hasira zake hapa JF. Bahati nzuri ule uzi ulifutwa muda si mrefu.

Ila wagombanao ndo wapatanao! - mambo ya kawaida tu hapa duniani.

sakapal siku nyingine mtu akikupandisha hasira jaribu kuwa na subira, tulia & tafakari kabla ya ku-react as unaweza kuja kufanya maamuzi mengine ukaja ukayajutia baadae.

Ila apology accepted!
 
Last edited by a moderator:
Mi sikusamehi hivi hivi, had tuonane faragha...

hheheheeeeee !@Tuko maadam ushasema mipaka ya msamaha wako najua utanisamehe na wewe hasira yako ikiisha kama mie hahahaaaa, thanks in advance :smiling:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom