Am sorry to all men.................!!!

Am sorry to all men.................!!!

Its okay ku-vent out when you are angry, labda usingepata fursa ya kutoa hasira zako hapa jf ungem'kanumba' mhusika aliyekutia hasira

Sioni tatizo, nimekukubali kwa kuchukua hatua ya kuomba msamaha

Si wote tunaweza hii

Asante kunikubali na kuelewa hatua niliyokuwa nayo kiukweli inawezekana saa hizi ningekuwa nyuma ya kizimba kwa kumkanumba mtu. peace and love :smiling:
 
Pole sna...hata mie nimekusamehe.! Vpi lkn muheshimiwa mwanasiasa una mawasiliano naye.?

Asante Kobe, hapana mheshimiwa si mwanasiasa na mawasiliano yapo.
 
Last edited by a moderator:
One mistake is allowed,repetition is forbidden
Toria angalia hayo maneno na wewe yatakufunga, kumbuka kuwa sie wote ni wana wa adam tuna damu na nyama na sio malaika, hakuna anayependa kufanya makosa kama wapo basi mie sipendi huwa inatokea, ukisma repitition is forbidden je ile samehe saba mara sabini inakuweje? ila pia haimaanishi ukose ili upate nafasi sabini za kusamehewa la! ni kuwa makini tuu. Asante kwa kunisamehe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom