Am happily married but feeling so lonely inside

Am happily married but feeling so lonely inside

Haya let's assume hakupendi kama mpnz wake wa kwanza, which is good at least hutakaa uwe reminder ya maumivu, but a new thing, a beautiful relationship which resulted into a Beautiful family. Mshukuru Mungu kwa ulicho nacho, kidumishe, kipende kidumu, mie sitaki kabisa mapnz ya kutaka kufa kwa ajili yangu wala kwa ajili yake, nataka kupendwa, kuthaminiwa, kufurahi na nimpendaye, kumheshimu,na kumpenda yeye tu, sasa hizo hadithi za zilipendwa hazina nafasi ila kama umekosa kazi ya kujenga familia yako, iwe familia bora, endelea, badala ya yeye utakuwa wewe this time. Ahahaha, i know am bringing sarcasm while you're serious, but chill out girl, life is beautiful and Love is the most beautiful it supposed to be enjoyed.
 
Wewe unatatizo kubwa sana la kisaikolojia na mtu wa kulitibu ni wewe mwenyewe. Tokea uzi wako uliopita ni kulalamika juu ya udhaifu wa kutokujikubali.

Tatizo lako kuu kitaalamu linaitwa "Inferiority complex", yani ile hali ya kujistukia stukia mbele ya binadamu wenzako huku hisia zako zikikwambia kwamba hauna ubora kama wengine.

Dalili zake ni kama hizi:
1.Kudhani kwamba EX wa mume wako ni mzuri kushinda wewe aliekulipia mahari na kukuoa huku akikupa mtoto juu.

2.Kudhani kwamba humridhishi mumeo kama EX wake mpaka ukaja kuleta uzi humu ufundishwe kukatika viuno ilihali mpo miaka miwili ndoani na hajapunguza upendo kwako wala kubadilika.

3.Kujisifia kwamba umeolewa na unaishi uarabuni ilihali hilo ni jambo dogo na la kawaida kwa binadamu yeyote kuhama mahali alipozaliwa na kukulia.

MPENDE SANA MUMEO DADA zen MAANA ALIKUAMINI SANA KWAMBA UNAWEZA KUMFITI VYEMA MAISHANI NA ZAIDI AMEAMUA KUKUFANYA NAMBA ONE WAKE NA KUKUZAWADIA TUNU YA NDOA BILA KUSAHAU MTOTO MZURI WA KUONGEZA FARAJA KATIKA MAISHA YENU. USIMUANGUSHE NAWE JIAMINI SANA TAFAKARI NI KIASI GANI AMEJITOLEA KWAKO ILI AHAKIKISHE KUWA NA WEWE MILELE. ITS ONLY YOU! HAKUNA MWINGINE ZEN. JIVUNIE KUWA NAE NA UKIZINGATIA HAYA MANENO YANGU UTAISHI MAISHA YA RAHA MUSTAREHE BILA STRESS.
Lingine ni historia yake, ameishi kwa kukandamizwa kwahiyo ameshaambiwa hafai it seems ova and ova, sasa anaanza kuamini kabisa, Kama unaimani dada unahitaji kusali alilosema Extrovert ni kweli hako ni kaugonjwa na kanahitaji tiba, unaanza wewe, unashirikisha mume, ikizidi nenda sipitali unapata madaktari mpk madawa, ni rahisi sisi kusema jiamini, ni kazi ngumu mno kama kunyanyua gunia la kilo 200, kwa wewe kufanya tu hapo hapo ikatokea. Anza na therapy ndogo ndogo, pika chakula na amini kuwa umepika vyema, evaluate mambo, kama ww si bora asingekuoa, asingekujali, asingezaa nawe, orodhesha tu, itakusaidia kuanza kujifunza kujithamini, mshirikishe mwambie kuna wakati napata mashaka, naomba unisaidie, ninaamini utanielewa na kunisaidia kushinda hili, hiyo ndio ndoa, kubebana madhaifu yenu. Mungu akubariki
 
I mean they say there is no love except for the first love
Probably yes, it depend on how you look like (in term of thinking and the way you handle your husband) compared to his ex girl friend. You can make him crazy over you and forget everything about the past.

But, the way you have expressed yourself, it seems that you are not a confident woman. Please, play your part, acha kulalamika hovyo, kurudi alikotoka kifikra na kimwili kutategemea na uzembe wako.
 
Wewe umewekwa ndani hlf bado unalia lia, kuna wengine wanalilia hiyo chance kila kukicha ooh! shauri lako.
 
You have been in love 2years before marriage,
The marriage is 2 and a half years,
Sasa hv ndio unawaza X,
Acha kufukunyua vitu visivyo na umuhimu
 
Acha kumfikiria sana huyo ex wa mume wako. Jitihada zako zote zielekeze katika kuboresha upendo wenu
 
Hala JF,

Natumai wazima wote, ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi ni hivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja, sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage.

Sasa ikatokea nikasikia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake, Iam crying all the time feeling so lonely feeeling Iam with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahidi kumove on. Please nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
Mpaka ameamua kumove on basi ujue ameshamdelete huyo ex wake! Kuna wanawake kibao ambao watu hutaka kujiua kwa ajili yao...kumbe hawakuwa wakistahili upendo huo na baadae huja kugundua walikuwa wanataka kufanya makosa! Hivyo, kuwa na imani dada yangu...huyo ni wako pekee, umtunze na kumheshimu sana maana mtu mwenye upendo wa namna hiyo si wa kumuudhi na kumkosesha amani!! Be happy, smile...he is all yours!!!
 
Muonyeshe mapenzi asahau ex.acha kulialia.
 
acha ubwege,chepuka ukatoe machungu,utakufa kihoro bure...
Si busara kutoa ushauri huu...hata kama wataka kufurahisha baraza!
Hebu fikiria ikiwa mkeo atashauriwa hivi na watu...ni ushauri tu!!!
 
Hala JF,

Natumai wazima wote, ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi ni hivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja, sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage.

Sasa ikatokea nikasikia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake, Iam crying all the time feeling so lonely feeeling Iam with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahidi kumove on. Please nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
Mbona hujiamini kua wewe ni mwanamke na mapenzi yako ndio yatamfanya asahau huyo X wake na pia a wish kwanini asingekutana na wewe mwanzo? unahisi huna vigezo vya kumfikia X wake? was wasi wako ndio maradhi yako na ndio yatakayo mfanya amfikirie na hata huyo mwanamke akitaka kurudi ataweza kurudi sababu unafikiria yasio kuhusu,wewe hukua na X kwani sahau sijui first true love hukua nae? na kama ulikua nae kwa nini yeye asifikirie kama unaweza kua bado mnakutana? JIAMINI na zidisha mapenzi kwa mumeo ule raha ....
 
Hala JF,

Natumai wazima wote, ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi ni hivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja, sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage.

Sasa ikatokea nikasikia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake, Iam crying all the time feeling so lonely feeeling Iam with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahidi kumove on. Please nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
Kua na nae karibu sanaaa....not in a forceful way tho. Trust me it will fade away slowly. Been thru that experience myself.
 
Mpaka ameamua kumove on basi ujue ameshamdelete huyo ex wake! Kuna wanawake kibao ambao watu hutaka kujiua kwa ajili yao...kumbe hawakuwa wakistahili upendo huo na baadae huja kugundua walikuwa wanataka kufanya makosa! Hivyo, kuwa na imani dada yangu...huyo ni wako pekee, umtunze na kumheshimu sana maana mtu mwenye upendo wa namna hiyo si wa kumuudhi na kumkosesha amani!! Be happy, smile...he is all yours!!!

Thanks
 
Lingine ni historia yake, ameishi kwa kukandamizwa kwahiyo ameshaambiwa hafai it seems ova and ova, sasa anaanza kuamini kabisa, Kama unaimani dada unahitaji kusali alilosema Extrovert ni kweli hako ni kaugonjwa na kanahitaji tiba, unaanza wewe, unashirikisha mume, ikizidi nenda sipitali unapata madaktari mpk madawa, ni rahisi sisi kusema jiamini, ni kazi ngumu mno kama kunyanyua gunia la kilo 200, kwa wewe kufanya tu hapo hapo ikatokea. Anza na therapy ndogo ndogo, pika chakula na amini kuwa umepika vyema, evaluate mambo, kama ww si bora asingekuoa, asingekujali, asingezaa nawe, orodhesha tu, itakusaidia kuanza kujifunza kujithamini, mshirikishe mwambie kuna wakati napata mashaka, naomba unisaidie, ninaamini utanielewa na kunisaidia kushinda hili, hiyo ndio ndoa, kubebana madhaifu yenu. Mungu akubariki

Asante kwa kunifahamu
 
Take it from...he loves u, achana na his past...mi mwenyewe i dont ask past ya mtu,sitaki ugonjwa wa moyo...kile kitendo cha kutaka kujiua kwa sababu ya ex kitamfanya akae mbali sana na huyo dada...coz he was hurt,and may humiliated,anajua that girl hampendi,anagopa kuumizwa tena...inawezekana akimkumbuka ht huyo demu anakumbuka machungu & all the humiliation...then anakukumbuka ww faraja yake...its u who keep him goin & make him happy & unamfanya asahau his past.

Gobole basi fanya Heshima Na Lugha.
Kama Kiingereza Au Kiswahili andika vizuri.
Coz
U
HT
WW
Goin
Samahani Kama nimekukwaza
 
Haya let's assume hakupendi kama mpnz wake wa kwanza, which is good at least hutakaa uwe reminder ya maumivu, but a new thing, a beautiful relationship which resulted into a Beautiful family. Mshukuru Mungu kwa ulicho nacho, kidumishe, kipende kidumu, mie sitaki kabisa mapnz ya kutaka kufa kwa ajili yangu wala kwa ajili yake, nataka kupendwa, kuthaminiwa, kufurahi na nimpendaye, kumheshimu,na kumpenda yeye tu, sasa hizo hadithi za zilipendwa hazina nafasi ila kama umekosa kazi ya kujenga familia yako, iwe familia bora, endelea, badala ya yeye utakuwa wewe this time. Ahahaha, i know am bringing sarcasm while you're serious, but chill out girl, life is beautiful and Love is the most beautiful it supposed to be enjoyed.

Thanks dear
 
Angekuwa unampenda kiukweli,asingekuoa,kwan wewe humkumbukagi ex wako?tulia muimbe Mungu akupe amani ya moyo juu ya hili wazo,kwani unaweza kuivunja ndoa yako dada,pole
 
Back
Top Bottom