Am happily married but feeling so lonely inside

Am happily married but feeling so lonely inside

Wewe unatatizo kubwa sana la kisaikolojia na mtu wa kulitibu ni wewe mwenyewe. Tokea uzi wako uliopita ni kulalamika juu ya udhaifu wa kutokujikubali.

Tatizo lako kuu kitaalamu linaitwa "Inferiority complex", yani ile hali ya kujistukia stukia mbele ya binadamu wenzako huku hisia zako zikikwambia kwamba hauna ubora kama wengine.

Dalili zake ni kama hizi:
1.Kudhani kwamba EX wa mume wako ni mzuri kushinda wewe aliekulipia mahari na kukuoa huku akikupa mtoto juu.

2.Kudhani kwamba humridhishi mumeo kama EX wake mpaka ukaja kuleta uzi humu ufundishwe kukatika viuno ilihali mpo miaka miwili ndoani na hajapunguza upendo kwako wala kubadilika.

3.Kujisifia kwamba umeolewa na unaishi uarabuni ilihali hilo ni jambo dogo na la kawaida kwa binadamu yeyote kuhama mahali alipozaliwa na kukulia.

MPENDE SANA MUMEO DADA zen MAANA ALIKUAMINI SANA KWAMBA UNAWEZA KUMFITI VYEMA MAISHANI NA ZAIDI AMEAMUA KUKUFANYA NAMBA ONE WAKE NA KUKUZAWADIA TUNU YA NDOA BILA KUSAHAU MTOTO MZURI WA KUONGEZA FARAJA KATIKA MAISHA YENU. USIMUANGUSHE NAWE JIAMINI SANA TAFAKARI NI KIASI GANI AMEJITOLEA KWAKO ILI AHAKIKISHE KUWA NA WEWE MILELE. ITS ONLY YOU! HAKUNA MWINGINE ZEN. JIVUNIE KUWA NAE NA UKIZINGATIA HAYA MANENO YANGU UTAISHI MAISHA YA RAHA MUSTAREHE BILA STRESS.
 
Sasa wajipa stress na tumbo joto vya nn wakati mwanaume yupo na wewe na weye ndie chaguo lake......
 
Wewe unatatizo kubwa sana la kisaikolojia na mtu wa kulitibu ni wewe mwenyewe. Tokea uzi wako uliopita ni kulalamika juu ya udhaifu wa kutokujikubali.

Tatizo lako kuu kitaalamu linaitwa "Inferiority complex", yani ile hali ya kujistukia stukia mbele ya binadamu wenzako huku hisia zako zikikwambia kwamba hauna ubora kama wengine.

Dalili zake ni kama hizi:
1.Kudhani kwamba EX wa mume wako ni mzuri kushinda wewe aliekulipia mahari na kukuoa huku akikupa mtoto juu.

2.Kudhani kwamba humridhishi mumeo kama EX wake mpaka ukaja kuleta uzi humu ufundishwe kukatika viuno ilihali mpo miaka miwili ndoani na hajapunguza upendo kwako wala kubadilika.

3.Kujisifia kwamba umeolewa na unaishi uarabuni ilihali hilo ni jambo dogo na la kawaida kwa binadamu yeyote kuhama mahali alipozaliwa na kukulia.

MPENDE SANA MUMEO DADA zen MAANA ALIKUAMINI SANA KWAMBA UNAWEZA KUMFITI VYEMA MAISHANI NA ZAIDI AMEAMUA KUKUFANYA NAMBA ONE WAKE NA KUKUZAWADIA TUNU YA NDOA BILA KUSAHAU MTOTO MZURI WA KUONGEZA FARAJA KATIKA MAISHA YENU. USIMUANGUSHE NAWE JIAMINI SANA TAFAKARI NI KIASI GANI AMEJITOLEA KWAKO ILI AHAKIKISHE KUWA NA WEWE MILELE. ITS ONLY YOU! HAKUNA MWINGINE ZEN. JIVUNIE KUWA NAE NA UKIZINGATIA HAYA MANENO YANGU UTAISHI MAISHA YA RAHA MUSTAREHE BILA STRESS.

Asante sana kaka wewe ndo umenifahamu hadi sasa
 
kaz ipo, badala ya kumsaulisha ya zamani & focus on the future, unamuwaza ex wake
 
Kwani yeye ameonyesha dalili za kurudi kwa ex we unafikir wote wangekuwa na wasiwasi wa kwamba mwenzake wake anawwzabrudi kwa ex ndoa zingefyngika?
 
So inazidi kuniuma kama ana mapenzi ya dhaati ilikuwa kwa his ex ivi inawezekana kuwa ya dhati na mimi au sababu ameshakua lazima aowe na kuzaa
Hayo unayoyawaza yanasababishwa na nini? Hajakuonesha dalili zozote zile. Uwe mwangalifu, kama ulivyosema alitaka kujiua kwa ajili ya mpenzi wa kwanza, sasa akijua mkewe unamkwaza kwa mambo ya kusadikika kichwani mwako unaweza ukamuua kabisa, akajihisi hana bahati na wapenzi wake.
 
Yeah coz I really love him with my whole heart na wasi wasi isije kuwa moyo wake upo kwa ex wake lakini anaishi na mimi vizuri but i wnt to be the only women he is thinking of
I can hear Celine Deon singing. Please, she was just singing those songs and made millions of dollars, but was happily married to her old man. Live your really life, don't dwell on fantasies of love songs! Stop hallucinating!
 
Nilikutaka ukanikataa kuwa tayari ulishapendwa lkn nilikwambia yupo anayempenda zaidi. Tulia tu upate vidonda vya tumbo na pressure.
 
Hala JF,

Natumai wazima wote, ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi ni hivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja, sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage.

Sasa ikatokea nikasikia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake, Iam crying all the time feeling so lonely feeeling Iam with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahidi kumove on. Please nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
Most people get the same some points in their life...

Sio wewe tu na wala sio kitu kipya... its very normal.

Although there might be differences in how people get to this... there is a common solution; doing nothing and letting time do the healing.

Kwa hiyo na wewe don't do anything stupid. ... lia kama unalia... huzunika kama unahuzunika... but keep calm... miezi 3 mingi... itabaki stori na maisha yatakuwa bien tena...
 
Nauza dawa za nguvu za kiume bei sh 15000..dawa ni za mitishamba asili..zinatibu uhanithi ..kuwah kupiga bao...kushindwa kurudia tendoo...uume legelege..niafute kupitia https://jamii.app/JFUserGuide
 
He is my first true love

kwani first love ni nini??first love ni kupenda kwa mara ya kwanza au kududuana mara ya kwanza??hata kama huyo jamaa ndio alikuwa wa kwanza kwako kukududua kwani hukuwahi kumpenda mtu kabisa zamani???inawezekana jamaa kwako wewe ndio ukawa wa kwanza kukupenda kweli...his first love japo alishawadudua kibao huko nyuma...halafu ujue mtu anapotaka kujiua kwa mapenzi asilimia kubwa ishu si kuwa alimpenda...ila anajiua kwa sababu ya aibu na fedheha anayoona inamkabili,ni kuhusu aibu na fedheha tu wala si mapenzi...ndio utasikia mtu analalama nitaiweka wapi mimi sura yangu kesho anaji kill kwa kujiua!!!hivyo jamaa yako si kwamba alimpenda sana huyo x wake.
 
Pole waswahili wanasema mavi. ya kale ayanuki so acha kufikilia habari za x. Go on and enjoy ur marriage.
 
Back
Top Bottom