Tittle yako inasema yu happily married...then ukaja kutuambia...you love yo hubby and he loves you too and you have a kid...ukasema tena you have been on love for two yrs....Sasa unahisi you not loved kisa tu umesikia past love story yake...unachoshikilia bango ni kwamba we only love once..
Nikuulize kwani wewe huyo hubby wako ndo mwanaume wa kwanza kufall in love with..kama sio kwa nn wewe husihisi kuwa naye anaumia kwa vile yeye sio wa kwanza kwako ila wewe ndo uajiona kuw unajua sana kuumia na past love affairs za wenzako..
Mdada jaribu kukua basi...acha hzo bhana we vipi???
Mtu anaehusika na furaha yako ni wew mwenyew usipende kuweka mambo ya nyuma katka maisha yako ya sasa ivo unajinyima furaha tu ayo ni mambo ya zaman unaanza kulia sahiz jaman ata kama alimpenda vp ex wake bt kasha move on now anakupenda wew ndo maana kakuoa so be happy mpende mumeo jenga ndoa yako achana na hayo mambo ya zaman
Umesharudi tz?
Hala JF,
Natumai wazima wote, ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi ni hivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja, sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage.
Sasa ikatokea nikasikia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake, Iam crying all the time feeling so lonely feeeling Iam with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahidi kumove on. Please nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
Punguza presha mke wa mtu.
Kama kuna kitu nimejifunza kwenye maisha yangu ni kua feelings za love ni kitu ambacho kinabadilika wakati wowote ule, unaweza mpenda mtu sana kuliko unavyofikiri ila chochote kikatokea ikauma muda ukapita feelings zikabadilika kabisa moja kwa moja.
Wangapi tulikua na first love ikaja second ila leo hii wote hao ni history. We unam~condemn jamaa kwa kua alipenda sana zamani? Hehehe, kwani nani hajawahi penda akaja oa kwingine akapenda zaidi? We kula bata na mume wako achana na mawazo ya ajabu hayo utaishi bila amani bure kumbe jamaa katulia. Usimuhisi mtu unless kakupa sababu, hii uliyokuja nayo wewe sio sababu ni visingizio tu.
Maybe you should learn to trust your husband a little bit more, after all he is your husband not just another boyfriend, trust should be there coz mshavuka stage ya kuchezacheza, you married the guy you must have had your reasons.
Kwani wewe alikukuta ukiwa bikraHala JF,
Natumai wazima wote, ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi ni hivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja, sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage.
Sasa ikatokea nikasikia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake, Iam crying all the time feeling so lonely feeeling Iam with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahidi kumove on. Please nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
Hizo ni hisia zako dada ashaamua kukuoa wewe kwa hiyo jitahidi kumpenda zaidi na zaidi mfanyie atakacho kaa karibu naye ili asahau kabisa ACHANA na maneno ya watu mtangulize Mungu katika kila kitu wewe ndo stelingi wake sasa hivi.So stop crying ukianza angalia mambo ya past tena Utabaki kulia Dada.Hala JF,
Natumai wazima wote, ningependa mnisaidie na hisia zangu ambazo mimi mwenyewe sizielewi ni hivi nimeolewa na nina miaka miwili na nusu kwenye ndoa na mtoto mmoja, sema la kweli I really really love my husband and he loves me too we have been in love for 2yrs before marriage.
Sasa ikatokea nikasikia kuhusu his past love story ambayo inanifanya nihisi bado anamuwaza ex wake, Iam crying all the time feeling so lonely feeeling Iam with wrong person and listening to sad love songs and cry because i heard that he wanted to kill himself sababu ya ex wake but akajitahidi kumove on. Please nisaidieni i love him but am unsure of his feelings or he is still with his ex pain.
absolutely [emoji115]. but cha msng let the past go.Nahisi not loved sababu his love story imeniathiri sana hadi nahisi labda ameeowa sababu tu wakati umefika but his heart is not with me
Kiswahili unakielewa vizuri??Am feeeling hurt coz i wonder if am in his heart and he over with his ex coz they no love except for the fisrt love
Labda akisikia ex-wake hudhania X (porn)[emoji12]Sasa we ya ex wake yanakuumiza nini au hujui maana ya neno ex?
Jiamini dada. Naona hilo ndo tatizo lako. Kwanini unajiwazia mabaya na kujihukumu mwenyewe. Those are the past. Huenda na wewe kuna uliowaoenda kabla yake. Ina maana naye hayuko moyoni kwako?