Acha mambo ya kishirikina, huo ni ushirikina, MUNGU hajawahi ruhusu ramli na uganga wa kienyeji, hayo ni mambo ya shetwaniKivipi kiongozi?
Unajua nilikuwa nayachukulia matukio katika maisha yangu poa kumbe kuna elimu ambayo nilitakiwa niipate ili niishi kwenye kusudio langu
Bado nazidi kua njia panda. Sielewi chochote mkuuKivipi kiongozi?
Unajua nilikuwa nayachukulia matukio katika maisha yangu poa kumbe kuna elimu ambayo nilitakiwa niipate ili niishi kwenye kusudio langu
Duuuh hii ni kweli au future past tense?Mama nilikuwa kila nikimfuata nimwambie kitu walinzi na wapambe wakawa wananizuia,nikimfuata mara mbili ya tatu nikafanikiwa kuonana naye baada ya hapo wagombea walikuja kuchaguliwa Dar.Mama walitaka kumpiga ambush sema mda wake ulikuwa bado.
NB:WATU WALINIKABA HADI MIMI KIROHO NISIMWAMBIE KITU MAMA,KWELI BONGO NYOSO
You can only believe me Rebeca, I like your smile thoughI don't know what to believe hapa.. 😕 😔
Malengo yangu sio kusimamia kampuni ya mtu ila ni kumiliki ya kwangu na In Shaa Allah uwezekano upo coz maandalizi nilishayafanya umri wa kutimiza hili jambo ni 45 years.Kwakuwa nilitokea njia ngumu yaani uzao wa kwanza na mimi ndio nifungue njia In Shaa Allah ntalifanikisha hili.Lakini lazima nifanye kazi ya LLAH ILAHA ILA LLAH MUHAMMAD RASUL LLAH.Mimi naona haya mambo yanawatokea watu ambao hawako bizy sana yaan hawana kazi za kuwaza kwahyo muda mwingi wanautumia kuwaza vitu vya namna hiyo nataka nikwambie ndugu kama ungekuwa unamiliki kampuni au unaongoza taasis ya kukufanya kuwa bizy huwez kuwa illusion kias hicho kwahyo nakusihi jishugulishe na kazi kuwa bizy kiasi cha kutosha achana na story za abunuasi
This time nimekuja kutoa elimu na kusaidia watu coz bila kufanya hivi uhai wangu hapa duniani hautakuwa na maana.Kwa wale ambao wanafatilia uzi huu wanisaidie kusambaza elimu kwa wengine.Aliye elewa, ani eleweshe plz.
Kiongozi ntakuwa natoa elimu na msaada so nisaidie kusambaza kwa watuNakubali mkuu
Elimu ipi kaka?Kiongozi ntakuwa natoa elimu na msaada so nisaidie kusambaza kwa watu
Kuomba mungu ili kupata ufumbuzi wa matatizo yao katika maisha,watu wengi wanaongozwa na hisia badala ya uhalisia.Mfano kwenye maisha hauwezi kutoboa kama haujashinda vita ya kiroho,yaani utakuwa unajituma sana lakini matokeo hayaeleweki.Elimu ipi kaka?
labda title, ila kwingine, kifupi hata sijui kwa kweli.Aliye elewa, ani eleweshe plz.
Kwanza mwenye huwezi kujijua utakuwa unahisi tu ila mda ambao mungu amepanga ufunguke kwenye nuru basi utampata wa kukuongoza kwani mungu atamtiisha na atakusaidia.Habari maharage ya ukweni
Nina maswali hapa.
1. Unajua elimu ya upande wa nuru..?
Kama ndio, Ni elimu Gani?, na ni yapi masharti yake.
2. Je tiba asili za kutibu kwa kutumia njia za jadi na majini wa asili Zina usahihi.?
3. Una ruhusa ya kuyaeleza haya unayoeleza ?