AXIOM APEX VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 10,536
- 17,004
I like you Chica Gee vipi na wewe umeoteshwa na wachawi?Okay 😎
I like you Chica Gee vipi na wewe umeoteshwa na wachawi?Okay 😎
Bila kusikia neno kutoka kwa MamaSamia2025 hii itakua ni uongoElimu ya wazungu isikudanganye sana hata mimi mwenyewe nimesoma kuanzia vidudu CCM MWINYIJUMA MWANANYAMALA MPAKA CHUO
Fatilia huu uzi ntaelezea na kwakuwa kuna watu wengi humu wenye elimu wanaweza kuchangia ukaelewa.Tangu nikiwa mdogo mpaka namaliza chuo na kuanza maisha sijawahi kueleweka isipokua na wachache wenye ELIMUUlijuaje ni kuzimu? Nani alikuambia? Haya mambo unaweza kuona ni kawaida ila kuna tatzo. Jiulize kwa nini yanakutokea hayo? Kwa nini unapona? Je mi muda wote yanakutokea?
Mama nilikuwa kila nikimfuata nimwambie kitu walinzi na wapambe wakawa wananizuia,nikimfuata mara mbili ya tatu nikafanikiwa kuonana naye baada ya hapo wagombea walikuja kuchaguliwa Dar.Mama walitaka kumpiga ambush sema mda wake ulikuwa bado.Bila kusikia neno kutoka kwa MamaSamia2025 hii itakua ni uongo
Unaposema ELIMU unamaanisha elimu gani? Hebu twende taratibu...Fatilia huu uzi ntaelezea na kwakuwa kuna watu wengi humu wenye elimu wanaweza kuchangia ukaelewa.Tangu nikiwa mdogo mpaka namaliza chuo na kuanza maisha sijawahi kueleweka isipokua na wachache wenye ELIMU
Anayenipa maono bado hajanifunulia,lakini kuna mtu yuko upinzani sijui itakuwa liniMkuu 2030 rais nani?
Kuna kusoma na kuelimika kaka. Ni vitu viwili tofauti. Ila tusiende huko tubaki kwenye hizi illusion unapata....Elimu ya wazungu isikudanganye sana hata mimi mwenyewe nimesoma kuanzia vidudu CCM MWINYIJUMA MWANANYAMALA MPAKA CHUO
Kama kuna sehemu wanapima watu IQ fanya mpango mimi na wewe twende tukapime ukinizidi nakupa nyumba yangu mojaKuna kusoma na kuelimika kaka. Ni vitu viwili tofauti. Ila tusiende huko tubaki kwenye hizi illusion unapata....
Umeongea vizuri ila hapa ulipoweka mguu umetukosea sana!!Unajua kuna vitu ukiambiwa huwezi kuelewa na hali kama hii au uwezo kama huu ni wachache sana ambao wanao ndio maana ukizungumza unaonekana umelewa
Nyumba iko wapi?Kama kuna sehemu wanapima watu IQ fanya mpango mimi na wewe twende tukapime ukinizidi nakupa nyumba yangu moja
Katika maisha yako ushawahi kuongea na mtu ambaye hamkuonana physically na akakupa jibu la swala lako ambalo unalifatilia ambapo ulishaamkabidhi document kuhusu swala lako? Kama umewahi basi hiyo ndio ELIMUUnaposema ELIMU unamaanisha elimu gani? Hebu twende taratibu...
Si tunafanya hvyo kwa simu kila siku?Katika maisha yako ushawahi kuongea na mtu ambaye hamkuonana physically na akakupa jibu la swala lako ambalo unalifatilia ambapo ulishaamkabidhi document kuhusu swala lako? Kama umewahi basi hiyo ndio ELIMU
Sawa ushawahi kuona alama za mtihani wako kabla NECTA hawajasahihisha?Si tunafanya hvyo kwa simu kila siku?
Hapa teknologia yeyote haitumiki namaanisha nguvu za kirohoSi tunafanya hvyo kwa simu kila siku?
Mkuu labda kuna kitu unajaribu kunielezea ila unakosa namna vyema ya kuweka kwenye lugha rahisi.Sawa ushawahi kuona alama za mtihani wako kabla NECTA hawajasahihisha?
Nguvu za kiroho hapana mimi sina. Nina akili za kawaida tu. Sina maajabu ya kiroho sina ulinzi wa aina yoyote iwe msikitini wala kanisani, wala mganga.Hapa teknologia yeyote haitumiki namaanisha nguvu za kiroho
Kivipi kiongozi?Mleta mada unaandika vibaya sana.