maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,493
- 3,373
- Thread starter
- #61
Swali lako la pili ukiona unashindwa na majini ya asili wewe sio chosen one,kuna watu wanafanya mambo kwa matamanio ya nafsi zao kwakuona au kutafuta njia rahisi ya kupata pesa.Kwanza kama mungu amekukadiria na kukupa karama unaweza kutibu watu bila ya kuwa na elimu kubwa kwani Mungu kuna kiungo katika mwili wako anakipa nguvu ya kuharibu uchawi.Kuna wengine nguvu ipo kwenye kidole na mwingine katikati ya kiganja cha mkono.Mtu wa aina hii anaweza kutibu au kuharibu uchawi kwa kusoma surat FATHA NA AYAT KURSIY PEKEE bila kusoma dua ndefu mpaka mgonjwa anachoka kusomewa.Habari maharage ya ukweni
Nina maswali hapa.
1. Unajua elimu ya upande wa nuru..?
Kama ndio, Ni elimu Gani?, na ni yapi masharti yake.
2. Je tiba asili za kutibu kwa kutumia njia za jadi na majini wa asili Zina usahihi.?
3. Una ruhusa ya kuyaeleza haya unayoeleza ?
Wengi hurudi kusomea baada ya kugundulika kipaji alichonacho na Wengi wao elimu ya dini hawakuipa kipaumbele yaani waliiacha nyuma lakini mwisho wa siku wanalazimika kuirudia kwani mda wa kuishi au kufanya kile kitu amemkadiria kufanya duniani umefika.Binafsi niliipa kipaumbele elimu dunia nikiamini ndio njia yangu kwani ntatafuta kazi ya kuajiriwa then ntaendesha maisha basi.Elimu yangu ya dini ni ndogo sana lakini aliyegundua kipaji changu kazi yake ni kufundisha vijana ambao baadae wanatawanywa kusimamia misikiti na kufanya shughuli za dini na anasimamia misikiti yenye vyuo mikoa mbali mbali.Hapa chini nanukuu maneno yake
"MJOMBA WEWE UNAROGWA SANA KWASABABU KUNA VITU MUNGU AMEKUPA ILA UNASHINDWA KUVI CONTROL SASA WATU WABAYA WANAVIONA NA UNAWASUMBUA"
Yaani naambiwa maneno haya hapo wameshakuja vibibi 3 kunichukua nywele baada ya kibibi ambacho ni jirani yangu kushindwa kunichukua peke yake