Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,158
- Thread starter
- #21
Teh nilienda kwa babu...ndo niko makuyuni narudi arusha
hehehe babu tapeli shaurilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh nilienda kwa babu...ndo niko makuyuni narudi arusha
nipo mpenzi.
Mmwaah, nilikumiss sana dia, hasa huo mkono uliouweka kwenye pachipachi zako,
afu leo nimekuja na katalogi la mawani, special for you!
Kwanza ulikuwa wapi maana smile kasema ameenda msumbiji....bado mimi nina safari ya kwenda ikwiriri
karibu.
Umekuja na maparachichi?
kwa hiyo ulitumia dawa gani?
nilikuwa kijijini kwa babu anakusalimia
hapana nimekuja na machungwa na matango kipenzi sikujua kuwa unapenda maparachichi
Njoo kwangu kongosho ntakupa hadi matikitingoja nije nichukue matango
yatanigaa kwa kusafisha figo usiki huu
karibu
Dah we bado una babu???
Hongera sana
ngoja nije nichukue matango
yatanigaa kwa kusafisha figo usiki huu
Karibu tena sema unataka nini nikununulie ili ujue nilikumiso!! nitakununulia bahari ya hindi sawa?
MAPROSOO.
kweli wewe maprosoo mimi nataka nyota na mwezi
Mi hivyo vi2 vidogo sana kwangu!! sasa kabla ya kukupatia hivyo 2ngeonana kwanza 2pate moja moto moja baridi
NB:Usisahau cash.
MAPROSOO.
Kabakabana, Karibu tena mwanawane.