Alpha na Omega ya historia ya Israeli ya kale

Namaanisha nini?
Ni kweli Historia ya Wayahudi inakuwa traced kuanzia Adam hadi yakobo katika bibilia. Na hapo walipo sasa ni kweli palinunuliwa na Babu yao kwa mujibu wa kifungu cha bibilia., Na hata safari yao kutoka Misri walikuwa wanakwenda hapo walipo sasa. hata baada ya yesu kupigwa kwa yerusalem na wao kusambaratika na kukimbilia sehemu mbalimbali ulaya na afrika na baadae baadhi yao wakajikusanya na kurudi hao wachache tu maana wengi karibu3/4 wamesambaa dunia nzima.

Mimi naanini Hapo walipo ni sahihi na ni sehemu yao wanapaswa kuwa. Ila hao waliopo kuna watu wanawanyenyekea kama wana upendeleo flani wa kidini. Sioni kama ni sahihi. Ikija suala la Mungu kila mmoja anawajibika kufuata utaratibu wake sio Muisrael wala Msukuma. They are all equal before God.Kwa kusema hivyo nikimaanisha hao waliopo ni taifa tu kama Tanzania na wanapaswa kufuata utaratibu wa Mungu na kuacha mambo yao kama kuwauwa waparestine, etc

Walirudi vipi,kwa mbinu zipi,kwa nini walikataa walipopewa ardhi na UN kati ya Uganda na Kenya au ethiopia wakaamua kwenda eneo lenye jangwa,madimbwi yaliyojaa mbu. etc hapo sioni Dini ni mikakati yao ya kisiasa ila Ndio hao hao wala sio kweli ni watoto wa hesau.

Mkuu uko sawa kabisa.
Wale pale ni pao hata ufanyaje na Wayahudi hawa ni watu wa kawaida kama walivyo watu wa mataifa mengine.
Hakuna haja ya (special treatment) kama ambavyo American Evangelicals wanataka kuiaminisha dunia.
Hapo nyumba nakumbuka kabla ya U.N kutaka kuwapa maeneo ni serikali ya Uingereza ilitaka iwape Uganda kwasababu lilikuwa ni koloni lake wao wakakataa.
Tena ukisoma sana utakuja kwamba walipewa hadi kisiwa cha MADAGASCAR wakakataa.

Muhimu ni kukumbuka kwamba uwepo wa Taifa la ISRAEL ni Strategy kubwa ambayo mtu ukiangali vizuri utaelewa kabisa. Kwanza it is an ATHEISTIC and IMPERIALISTIC nation serving the interests of the global elites in the middle east. Kipindi Zionism inazaliwa Orthodox Jews walipinga sana na hadi sasa wanapinga.


Kuwafukuza wayahudi kama baadhi ya wachangiaji wanavyosema si sahihi hata kidogo.
Ila TWO STATE SOLUTION ndiyo Mwarobaini. Ukiwarudisha Ulaya hakuna nchi itakayowapokea.
Na ikumbukwe leo ukitaka kuwafukuza Wayahudi pale Mashariki ya kati basi utakuja kukuta kwamba dunia nzima kutakuwa na Migration. Uelewa butu na chuki zisituzuie kuona uhalisia.


Ukifukuza Wayahudi Mashariki ya kati kwa minajili ya kusema siyo pao basi ni sawa sawa unasema,
  1. Washirazi wafukuzwe Zanzibari ile ni sehemu ya Weusi tu.
  2. Wazungu wafukuzwe South Africa ile ni sehemu ya Weusi tu.
Kifupi ni mambo yasiyowezekana kabisa na ni wendawazimu tu ndiyo huweza kushangilia mambo yasiyotekelezeka kama hayo.
Israel inaua Wapalestina kwasababu ni Marekani na Mataifa ya magharibi yananufaika. Pindi hayo Mataifa yanacha kuisaidia Isreal basi lazima amani irudi pale Mashariki ya kati.
Lakini hizi blah blah za kusema eti wataifuta kwenye ramani ya dunia ni maneno ambayo huwa siyaafiki hata kidogo.
Hakuna mwanadamu mwenye dhamana ya kutoa uhai wa wanadamu wengine kwasababu zake zisizo za msingi.
 
Mkuu uko sawa kabisa.
Wale pale ni pao hata ufanyaje na Wayahudi hawa ni watu wa kawaida kama walivyo watu wa mataifa mengine.
Hakuna haja ya (special treatment) kama ambavyo American Evangelicals wanataka kuiaminisha dunia.
Hapo nyumba nakumbuka kabla ya U.N kutaka kuwapa maeneo ni serikali ya Uingereza ilitaka iwape Uganda kwasababu lilikuwa ni koloni lake wao wakakataa.
Tena ukisoma sana utakuja kwamba walipewa hadi kisiwa cha MADAGASCAR wakakataa.

Muhimu ni kukumbuka kwamba uwepo wa Taifa la ISRAEL ni Strategy kubwa ambayo mtu ukiangali vizuri utaelewa kabisa. Kwanza it is an ATHEISTIC and IMPERIALISTIC nation serving the interests of the global elites in the middle east. Kipindi Zionism inazaliwa Orthodox Jews walipinga sana na hadi sasa wanapinga.


Kuwafukuza wayahudi kama baadhi ya wachangiaji wanavyosema si sahihi hata kidogo.
Ila TWO STATE SOLUTION ndiyo Mwarobaini. Ukiwarudisha Ulaya hakuna nchi itakayowapokea.
Na ikumbukwe leo ukitaka kuwafukuza Wayahudi pale Mashariki ya kati basi utakuja kukuta kwamba dunia nzima kutakuwa na Migration. Uelewa butu na chuki zisituzuie kuona uhalisia.


Ukifukuza Wayahudi Mashariki ya kati kwa minajili ya kusema siyo pao basi ni sawa sawa unasema,
  1. Washirazi wafukuzwe Zanzibari ile ni sehemu ya Weusi tu.
  2. Wazungu wafukuzwe South Africa ile ni sehemu ya Weusi tu.
Kifupi ni mambo yasiyowezekana kabisa na ni wendawazimu tu ndiyo huweza kushangilia mambo yasiyotekelezeka kama hayo.
Israel inaua Wapalestina kwasababu ni Marekani na Mataifa ya magharibi yananufaika. Pindi hayo Mataifa yanacha kuisaidia Isreal basi lazima amani irudi pale Mashariki ya kati.
Lakini hizi blah blah za kusema eti wataifuta kwenye ramani ya dunia ni maneno ambayo huwa siyaafiki hata kidogo.
Hakuna mwanadamu mwenye dhamana ya kutoa uhai wa wanadamu wengine kwasababu zake zisizo za msingi.
Utakuja kugundua watu wengi hasa sisi waafrika ni watu wa kupelekeshwa na kufuatilia mambo juujuu tu.
Leo utakuta watu wanadnganyana makanisani eti wale jamaa wanaspecial prevellage. Wanashindwakujua kumbe uingereza na UN wangewaweka wakakaa hapo uganda. Sijui wangeenda uganda?
Nenda Israel kama kutalii kuona uhalisia wa yale yaliyoandikwa na sio Kuwanyenyekea wale ni kama sisi tu. Akigoma kufuata taratibu za Mungu anahukumiwa kama kawaida.

Wanashindwa kujua hapa Duniani wale jamaa ndio nchi inayopewa msaada mkubwa wa fedha kuliko nchi zote duniani. Kunakipindi 3/4 ya misaada ya marekani duniani ilienda israel.

Ukisema kila mtu arudi kwake ni balaa mkuu. Mfano Tanzania tu wote tutatakiwa kuondoka wabaki wasandawe na watindika ambao wako maporini. Maana Historia inaniambia sisi wote hapa ni wakuja isipokuwa wao.
 
ila kushabihiana si lazima pawe na record ya kulinganisha mkuu,sasa DNA ya yakobo waliipata vipi labda?.
I mean kuna madai pia wapalestina wana Dna zinazoonyesha ni wazawa wa pale,nina maana kuwa,,wazungu ni uzao wa japhet,
watu wa mashariki ya kati ni uzao wa shem,
ibrahim,isaka,yakobo wote ni uzao wa shem,

sasa wapalestina wana hizo DNA kuzidi hata hao waisrael wa leo.
Na sababu ni kuwa waisrael wa leo wamechanganya mbegu na wazungu,yaani uzao wa japhet,wakati wapalestina hawakuchanya .

Nina maana kuwa yakobo na abrahamu wana DNA sawa kwakuwa asili yao wote ni shem,na hivyo yakobo kuitwa kwake israel hakukubadili muundo wake wa DNA.

Sasa hawa wayahudi wa leo hawawezi fananisha DNA na yakobo kwani wamechanganya sana na uzao wa japhet.

Labda kama kuna mwenye maelezo zaidi atatwambia hapa
Kwani Yakobo aliitwa Israel baada ya kupimwa DNA na malaika? Mbona mnajipa tabu kuchakachua ukweli kiboya boya?
 
hamna logic hapo,walioishi hapo ni babu wa mababu wao miaka karibu 3000 nyuma,huwezi kurudi kudai ardhi baada ya miaka yote hiyo,
Nilidhan utasema hawakuwahi kuishi pale kabisa hata hao mababu wa mababu! Basi kuanzia leo nimeelewa waisrael wana haki ya kukaa pale. Over
 
Kwani Yakobo aliitwa Israel baada ya kupimwa DNA na malaika? Mbona mnajipa tabu kuchakachua ukweli kiboya boya?
jina la mtu aliwezi kudetermine DNA Setup zake,bali wazazi walokuzaa,na kwa jacob,babake isaac mwana wa abraham.
Hakuna kitu kinaitwa DNA za kiisrael
 
Sasa kwa nini palestina wanawachukua waisrael namna hiyo
Maana katika historia tunaona wapalestina wanaamini nchi ilikua yao yote kabla ya kugawana mwaka 1948
Na inaonyesha wapalestina ndio walioianza vita na waisrael mwaka 1921 baada ya kuona jamaa wanahamia katika ardhi yao kutoka ulaya
Na kufika mwaka 1929 waisrael wapatao 67 yasemekana waliuwawa na hiki ndio chanzo cha waisraeli kuanza kujitetea baada ya kuunda vikundi vya ulinzi
Na inasemekana pia wakatti ardhi inagawanywa na umoja wa mataifa ili kupatia israel eneo lake waarabu wapalestina walikua 1, 200, 000 huku waisrael wakati huo wakiwa laki 6 tu
Na inasemekana wapalestina walikataa ugawanyaji huo wa ardhi kwa kua waliona israel wayahudi walikua wachache kwa hiyo walistahili ardhi ndogo
 
Sasa kwa nini palestina wanawachukua waisrael namna hiyo
Maana katika historia tunaona wapalestina wanaamini nchi ilikua yao yote kabla ya kugawana mwaka 1948
Na inaonyesha wapalestina ndio walioianza vita na waisrael mwaka 1921 baada ya kuona jamaa wanahamia katika ardhi yao kutoka ulaya
Na kufika mwaka 1929 waisrael wapatao 67 yasemekana waliuwawa na hiki ndio chanzo cha waisraeli kuanza kujitetea baada ya kuunda vikundi vya ulinzi
Na inasemekana pia wakatti ardhi inagawanywa na umoja wa mataifa ili kupatia israel eneo lake waarabu wapalestina walikua 1, 200, 000 huku waisrael wakati huo wakiwa laki 6 tu
Na inasemekana wapalestina walikataa ugawanyaji huo wa ardhi kwa kua waliona israel wayahudi walikua wachache kwa hiyo walistahili ardhi ndogo

Ugomvi wa Wapalestina na Wayahudi haujaanza leo.
Una miaka mingi hata kabla ya kuja kwa Ukristo na Uislamu hapa duniani.
Bahati mbaya ni kwamba Ardhi ya Israel ambayo ilikuwa ni nchi ya Kanani imegombaniwa na mataifa mengi sana duniani wote wakiwa na madai sawa sawa na Wapalestina na Wayahudi.

Kwa mara ya kwanza ugomvi juu ya ile Ardhi ulianza baada ya Wayahudi kurudi kutoka utumwani Misri.
Waliuana sana na wenyeji wa pale waliokaa kwa zaidi ya miaka mia nne.
Wayahudi walivifutilia vizazi vile mbali, kwa hiyo hata leo hii wanavyowafanyia Wapalestina usishangae, walifanya hivyo mwanzo na wanataka kufanya hivyo tena.


Mara ya pili ni pale ufalme wa Israel uligawanyika na kuwa Yuda na Israeli.
Yuda ilivamiwa na Wakaldayo wakiongozwa na mfalme wa Kiarabu wa Babeli Nebukadreza.
Huku ufalme wa Israel wakivamiwa na ufalme wa Ashuru.
Wayahudi wengi walitolewa pale na kupelekwa utumwani huko Babeli.

Baada ya kuanguka kwa ufalme wa Babeli baada ya kuvamiwa na muunganiko wa falme ya Umedi na Uajemi( Persian Empire) wakiongozwa na mfalme Koreshi wa Kwanza.
Ikumbukwe kipindi hiki Wayahudi waliishi maisha mazuri japo walikuwa uhamishoni, na sababu kubwa ni kwamba Koreshi (Cyrus the Great) alikuwa anaheshimu dini zote za watu aliowatawala.
Wayahudi waliruhusiwa kurudi na baada ya kurudi wakakutana na watu wanakaa pale mtanange ukaendelea.

Mara ya tatu ni pale ufalme wa Makedonia ulipovamia ufalme wa Umedi na Uajemi na kutawala makoloni yake yote. Mfalme Alexander alifika hadi Jerusalem akapewa vitabu vya agano la kale na kwa bahati mbaya alikutana na Makuhani wa Kiyahudi ambao walimpokea vizuri na Alexander hakuvamiaYerusalemu na hivyo Wayahudi wakapona.
Mwanahistoria mashughuli wa karne ya Kwanza anayeitwa Josephus anasema kitu ambacho wanahistoria wengi wa sasa hawapendi kukiandika katika historia.

Alexander alipofika Yerusalemu hakutaka kuwaua Wayahudi japo waliogopa kumsaidia kupigana na Wamedi waliokuwa wanawatawala. Kuhani mkuu wa Kipindi hicho Jaddua alisema Wayahudi hawawezi kupigana na Waajemi kwasababu wamekula kiapo kwa mfalme Dario.
Alexander hakuwafukuza kabisa tofauti na Wafalme wengine na kuhani mkuu Jaddua alimpeleka kwenye Hekalu la Mfalme Suleimani na kumuonesha kitabu kilichoandikwa na nabii Danieli.

Alexander alikisoma kitabu cha Nabii Danieli na kugundua kwamba kinamhusu yeye. Josephus anasema kwamba Alexander alipata ujasiri wa kupigana na Waajemi baada ya kusoma unabii kwamba atashinda vita. Hivyo basi akatoa sadaka kwa Mungu wa Wayahudi A.K.A JEHOVAH na kuwanusuru Wayahudi na kuwaachia mji wao. Hii historia huwezi kukuta kwenye vitabu vya Wanahistoria wengi hasa ambao wanapinga uwepo wa Mungu.

Mara ya nne ni baada ya Alexander kufa na ufalme wake kusambaratika na Warumi wakatawala hayo maeneo kuanzia Misri, Shamu, Iraq na Israeli.
Na hapa haswa ndipo chanzo cha mgogoro tunaouona hii leo unaendelea duniani na kutuhusu wote.
Kipindi hiki dola la Mrumi linatawala eneo kubwa la dunia na kwa bahati mbaya kabisa Ukristo ukazaliwa kuanzia karne ya Kwanza na Uislamu Karne ya nne.

Binafsi naweza kusema Ukristo na Uislamu vimechangia sana kugawa dunia kuhusiana na huu mgogoro.
Kwanza Warumi na dini yao ya Ukristo waliamini kwamba Yerusalemu inawahusu sana kuliko hata Wayahudi kwasababu Yesu alileta Agano Jipya lililovunja Agano la kale na kulifanya kanisa kuwa ndiyo wamiliki wa Yerusalemu.

Wakristo kutoka Ulaya chini ya kanisa Katoloki walivamia Yerusalemu na kuua Wayahudi na Waislamu kwasababu hakumwamini Yesu. Wayahudi na Waarabu walikimbia yale maeneo.
Kipindi hiki kanisa KATOLIKI lilitaka VATICAN ya sasa iwepo pale Yerusalemu na Waislamu wakagoma ndiyo mambo yakaharibika kabisa.
Wakati wa vita za dini (Crusades) Wayahudi wengi walikimbilia Ulaya na sehemu nyingi za dunia na ndiyo hata sasa wapo.

Mara ya tano ni kipindi Mturuki ametawala mashariki ya kati chini ya dola la Kiislamu.
Wayahudi waliishi vizuri japo hawakuwepo wengi sana.
Matatizo yalianza kipindi cha vita ya Kwanza ya dunia ambapo Muingereza aliwaambia Wayahudi wawasaidie kumpiga Mturuki na Mjerumani halafu watapewa nchi huko Palestina.
Palestina yenyewe imekaliwa na Waarabu kwa karne nyingi bila kuwepo kwa taifa la Israeli; Vita ya pili imetokea Marekani na Uroho wa wake wa kutawala dunia akakubali kwamba Israeli iundwe kwa nguvu.

Raisi Harry Truman amekubali huu mkakati mwaka 1948 na ndiyo wakaanza kuwafukuza Wapalestina na kupigana na mataifa ya Kiislamu na Kiarabu. Kibaya zaidi ni kwamba dunia ilihisi Wayahudi wanataka tu eneo la kukaa ili wasiteswe.
Ukweli ni kwamba Wayahudi hawataki nchi mbili ndani ya Palestina, bali wanataka Palestina yote na maeneo ya nchi nyingine za Kiarabu yawe yao. Na kwa upande mwingine Palestina na mataifa ya Kiarabu hayataki tu Palestina iwe huru; yanataka hadi Yerusalemu iwe chini ya Waarabu na hasa dini ya kiislamu.

Mzungu na baadhi ya mataifa makubwa yananufaika sana na huu mgogoro ndiyo maana hayataki uishe.
Dini ya Kikristo na Uislamu nazo zinachochea huu ugomvi kwa kiasi kikubwa,
Lakini tatizo hili halijaanza leo wa juzi, lina muda mrefu sana na ukiangalia kwa juu juu kwa mitazamo ya dini kama Uislamu au Ukristo, unaweza jikuta huwapendi Wayahudi kisa wewe ni Muislamu au huwapendi Waarabu kisa wewe ni Mristo.

CC: MSEZA MKULU , werrason , big gift
 
watu wengi tumeingia kwenye huu mtego wa kuwachukia au kuwapenda wayahudi kwa misingi ya kidini. kwa mtazamo wangu huu mgogoro unachochewa kwa manufaa ya wachache. yawezekana hata ile conspiracy kuwa kuna kiongozi wa kidini anatamani pale alipozaliwa yesu ndio pawe headquarter yake na jaribio hili limefeli miaka mingi sijui miaka ijayo. pia pamoja na mamia ya wayahudi kupelekwa babeli na kukaa huko miaka zaidi ya sabini hata waliobaki hapo yuda walipanga safari na kurudi tena egpt. Hapo wayahudi hawakuwahi kusettle. tatizo linakuja wanaporudi kudai eneo kwa misingi ambayo waliopo hawaiamini. ila ukweli utabaki palrpale hawa wayahudi wamekuja kibabe na kwa utashi na uwezo wao hakuna uhusiano wowote na vitabu vya dini
Ugomvi wa Wapalestina na Wayahudi haujaanza leo.
Una miaka mingi hata kabla ya kuja kwa Ukristo na Uislamu hapa duniani.
Bahati mbaya ni kwamba Ardhi ya Israel ambayo ilikuwa ni nchi ya Kanani imegombaniwa na mataifa mengi sana duniani wote wakiwa na madai sawa sawa na Wapalestina na Wayahudi.

Kwa mara ya kwanza ugomvi juu ya ile Ardhi ulianza baada ya Wayahudi kurudi kutoka utumwani Misri.
Waliuana sana na wenyeji wa pale waliokaa kwa zaidi ya miaka mia nne.
Wayahudi walivifutilia vizazi vile mbali, kwa hiyo hata leo hii wanavyowafanyia Wapalestina usishangae, walifanya hivyo mwanzo na wanataka kufanya hivyo tena.


Mara ya pili ni pale ufalme wa Israel uligawanyika na kuwa Yuda na Israeli.
Yuda ilivamiwa na Wakaldayo wakiongozwa na mfalme wa Kiarabu wa Babeli Nebukadreza.
Huku ufalme wa Israel wakivamiwa na ufalme wa Ashuru.
Wayahudi wengi walitolewa pale na kupelekwa utumwani huko Babeli.

Baada ya kuanguka kwa ufalme wa Babeli baada ya kuvamiwa na muunganiko wa falme ya Umedi na Uajemi( Persian Empire) wakiongozwa na mfalme Koreshi wa Kwanza.
Ikumbukwe kipindi hiki Wayahudi waliishi maisha mazuri japo walikuwa uhamishoni, na sababu kubwa ni kwamba Koreshi (Cyrus the Great) alikuwa anaheshimu dini zote za watu aliowatawala.
Wayahudi waliruhusiwa kurudi na baada ya kurudi wakakutana na watu wanakaa pale mtanange ukaendelea.

Mara ya tatu ni pale ufalme wa Makedonia ulipovamia ufalme wa Umedi na Uajemi na kutawala makoloni yake yote. Mfalme Alexander alifika hadi Jerusalem akapewa vitabu vya agano la kale na kwa bahati mbaya alikutana na Makuhani wa Kiyahudi ambao walimpokea vizuri na Alexander hakuvamiaYerusalemu na hivyo Wayahudi wakapona.
Mwanahistoria mashughuli wa karne ya Kwanza anayeitwa Josephus anasema kitu ambacho wanahistoria wengi wa sasa hawapendi kukiandika katika historia.

Alexander alipofika Yerusalemu hakutaka kuwaua Wayahudi japo waliogopa kumsaidia kupigana na Wamedi waliokuwa wanawatawala. Kuhani mkuu wa Kipindi hicho Jaddua alisema Wayahudi hawawezi kupigana na Waajemi kwasababu wamekula kiapo kwa mfalme Dario.
Alexander hakuwafukuza kabisa tofauti na Wafalme wengine na kuhani mkuu Jaddua alimpeleka kwenye Hekalu la Mfalme Suleimani na kumuonesha kitabu kilichoandikwa na nabii Danieli.

Alexander alikisoma kitabu cha Nabii Danieli na kugundua kwamba kinamhusu yeye. Josephus anasema kwamba Alexander alipata ujasiri wa kupigana na Waajemi baada ya kusoma unabii kwamba atashinda vita. Hivyo basi akatoa sadaka kwa Mungu wa Wayahudi A.K.A JEHOVAH na kuwanusuru Wayahudi na kuwaachia mji wao. Hii historia huwezi kukuta kwenye vitabu vya Wanahistoria wengi hasa ambao wanapinga uwepo wa Mungu.

Mara ya nne ni baada ya Alexander kufa na ufalme wake kusambaratika na Warumi wakatawala hayo maeneo kuanzia Misri, Shamu, Iraq na Israeli.
Na hapa haswa ndipo chanzo cha mgogoro tunaouona hii leo unaendelea duniani na kutuhusu wote.
Kipindi hiki dola la Mrumi linatawala eneo kubwa la dunia na kwa bahati mbaya kabisa Ukristo ukazaliwa kuanzia karne ya Kwanza na Uislamu Karne ya nne.

Binafsi naweza kusema Ukristo na Uislamu vimechangia sana kugawa dunia kuhusiana na huu mgogoro.
Kwanza Warumi na dini yao ya Ukristo waliamini kwamba Yerusalemu inawahusu sana kuliko hata Wayahudi kwasababu Yesu alileta Agano Jipya lililovunja Agano la kale na kulifanya kanisa kuwa ndiyo wamiliki wa Yerusalemu.

Wakristo kutoka Ulaya chini ya kanisa Katoloki walivamia Yerusalemu na kuua Wayahudi na Waislamu kwasababu hakumwamini Yesu. Wayahudi na Waarabu walikimbia yale maeneo.
Kipindi hiki kanisa KATOLIKI lilitaka VATICAN ya sasa iwepo pale Yerusalemu na Waislamu wakagoma ndiyo mambo yakaharibika kabisa.
Wakati wa vita za dini (Crusades) Wayahudi wengi walikimbilia Ulaya na sehemu nyingi za dunia na ndiyo hata sasa wapo.

Mara ya tano ni kipindi Mturuki ametawala mashariki ya kati chini ya dola la Kiislamu.
Wayahudi waliishi vizuri japo hawakuwepo wengi sana.
Matatizo yalianza kipindi cha vita ya Kwanza ya dunia ambapo Muingereza aliwaambia Wayahudi wawasaidie kumpiga Mturuki na Mjerumani halafu watapewa nchi huko Palestina.
Palestina yenyewe imekaliwa na Waarabu kwa karne nyingi bila kuwepo kwa taifa la Israeli; Vita ya pili imetokea Marekani na Uroho wa wake wa kutawala dunia akakubali kwamba Israeli iundwe kwa nguvu.

Raisi Harry Truman amekubali huu mkakati mwaka 1948 na ndiyo wakaanza kuwafukuza Wapalestina na kupigana na mataifa ya Kiislamu na Kiarabu. Kibaya zaidi ni kwamba dunia ilihisi Wayahudi wanataka tu eneo la kukaa ili wasiteswe.
Ukweli ni kwamba Wayahudi hawataki nchi mbili ndani ya Palestina, bali wanataka Palestina yote na maeneo ya nchi nyingine za Kiarabu yawe yao. Na kwa upande mwingine Palestina na mataifa ya Kiarabu hayataki tu Palestina iwe huru; yanataka hadi Yerusalemu iwe chini ya Waarabu na hasa dini ya kiislamu.

Mzungu na baadhi ya mataifa makubwa yananufaika sana na huu mgogoro ndiyo maana hayataki uishe.
Dini ya Kikristo na Uislamu nazo zinachochea huu ugomvi kwa kiasi kikubwa,
Lakini tatizo hili halijaanza leo wa juzi, lina muda mrefu sana na ukiangalia kwa juu juu kwa mitazamo ya dini kama Uislamu au Ukristo, unaweza jikuta huwapendi Wayahudi kisa wewe ni Muislamu au huwapendi Waarabu kisa wewe ni Mristo.

CC: MSEZA MKULU , werrason , big gift
 
mkuu uko vizuri, naona Umeanzia kwa Mzee TERA kabisa Uri ya Kaldayo. Huku ni Iraq. Na hapa palikuwa ni miaka au karne chache baada ya dunia kuumbwa. Intersting
nitajaribu kuchangia kwa ushahidi wa kibiblia na hidtory kidogo.
Hata Musa alikuwa Muebrania lakini alioa Mwanamke Mweusi(Mwafrica) na hii inatuambia kunauwezekano mkubwa katika hawa lazima na watu weusi waingie

Mkuun imeandikwa wapi kwenye biblia kuwa musa alifanya hilo jambo?
 
watu wengi tumeingia kwenye huu mtego wa kuwachukia au kuwapenda wayahudi kwa misingi ya kidini. kwa mtazamo wangu huu mgogoro unachochewa kwa manufaa ya wachache. yawezekana hata ile conspiracy kuwa kuna kiongozi wa kidini anatamani pale alipozaliwa yesu ndio pawe headquarter yake na jaribio hili limefeli miaka mingi sijui miaka ijayo. pia pamoja na mamia ya wayahudi kupelekwa babeli na kukaa huko miaka zaidi ya sabini hata waliobaki hapo yuda walipanga safari na kurudi tena egpt. Hapo wayahudi hawakuwahi kusettle. tatizo linakuja wanaporudi kudai eneo kwa misingi ambayo waliopo hawaiamini. ila ukweli utabaki palrpale hawa wayahudi wamekuja kibabe na kwa utashi na uwezo wao hakuna uhusiano wowote na vitabu vya dini

Uko sawa kabisa kaka mkubwa,
Kwa upande wa pili mbali na historia ya dini ugomvi huu umekaa kimkakati na kimaslahi.
Mataifa makubwa yanauza silaha na kuchimba mafuta kwa mabilioni ya pesa; haya pekee ni maslahi tosha na makubwa kuzidi hata dini na historia.
Japo, mgogoro wa Mashariki ya kati umevaa sura kuu tatu:

  1. Sura ya kwanza ni ya kidini- Hapa Waislamu wote na Wakristo wote lazima watahusika tu.
  2. Sura ya pili ni ya kihistoria- Hapa Waarabu wote duniani na Wayahudi sehemu zote watahusika tu.
  3. Sura ya tatu ni ya kiuchumi- Hapa mataifa ya Mlengo wa kulia yakiongozwa na Marekani na mataifa ya mlengo wa kushoto china ya Urusi na Uchina yatahusika tu.
Mwisho wa siku hakuna nchi ya dunia itakayokosa kuvaa japo hata sura moja katika hili,
Huu mtego aliyeuweka ni mtu mwenye akili kubwa sana kwasababu amechanganya imani na uchumi; vitu hivi ndivyo sabuni ya roho kwa mataifa ya Ulimwengu wa sasa.
 
Mkuun imeandikwa wapi kwenye biblia kuwa musa alifanya hilo jambo?

Kitabu cha Hesabu 12:1 kinasema;
"Kisha Miriamu na Haruni wakamnenea Musa kwa sababu ya mwanamke Mkushi aliyekuwa amemwoa; maana, alikuwa amemwoa mwanamke Mkushi"


In the Book of Numbers 12: 1 the Bible speaks;
"And Miriam and Aaron spoke against Moses because of the Ethiopian woman whom he had married; for he had married an Ethiopian woman"

 
Mkuun imeandikwa wapi kwenye biblia kuwa musa alifanya hilo jambo?
pitia mstari wa malcom hapo hesabu 12
rudi ktk historia ujue mkushi ni mtun mweusi na kush empire ilikuwa ethiopia.
ndio maana nabii myahudi yeremia 13:33 anamnukuu Mungu wake akiuliza swali , jee mkushi anaweza kubadili rangi yake? new translation mkushi ameitwa muethiopia .
hapo ndio ushangae kwa nini hawa wazayuni wa leo wanawatesa watu weusi wakati hata mzee Baba mkwe wa Musa Yethro alikuwa mtu mweusi na ndie aliyemfundisha musa human resource management skills na Mungu akamwambia Musa afuate huo ushauri.Kutoka18. kuna uwezekano mkubwa huyu kuwa mweusi ili mtoto wake awe mweusi. pia hata wajukuu wake watoto wa musa kuna uwezekano walikuwepo weusi.
 
Kitabu cha Hesabu 12:1 kinasema;
"Kisha Miriamu na Haruni wakamnenea Musa kwa sababu ya mwanamke Mkushi aliyekuwa amemwoa; maana, alikuwa amemwoa mwanamke Mkushi"


In the Book of Numbers 12: 1 the Bible speaks;
"And Miriam and Aaron spoke against Moses because of the Ethiopian woman whom he had married; for he had married an Ethiopian woman"
Basi mkuu naona historia ya ethiopia na wayahudi imeanza kitambo sana hata kabla ya mfalme solomon kumbandua malkia wa sheba na hatimaye akazaliwa menelik 1.
 
pitia mstari wa malcom hapo hesabu 12
rudi ktk historia ujue mkushi ni mtun mweusi na kush empire ilikuwa ethiopia.
ndio maana nabii myahudi yeremia 13:33 anamnukuu Mungu wake akiuliza swali , jee mkushi anaweza kubadili rangi yake? new translation mkushi ameitwa muethiopia .
hapo ndio ushangae kwa nini hawa wazayuni wa leo wanawatesa watu weusi wakati hata mzee Baba mkwe wa Musa Yethro alikuwa mtu mweusi na ndie aliyemfundisha musa human resource management skills na Mungu akamwambia Musa afuate huo ushauri.Kutoka18. kuna uwezekano mkubwa huyu kuwa mweusi ili mtoto wake awe mweusi. pia hata wajukuu wake watoto wa musa kuna uwezekano walikuwepo weusi.
Mkuu nimekupata, naona hawa wayahudi wa ethiopia wameanza mda sana hata kabla ya king selemani
 
Back
Top Bottom