Jinsi uislamu ulivyobadili historia ya Israeli kuwa Palestina

gstar

JF-Expert Member
Jun 19, 2011
759
1,250
Mtume Muhammad (SAW) alitokewa na njozi alipokuwa pangoni mnamo karne ya 7 A.D. Njozi hiyo ilimtaka kwamba aanzishe dini mpya ya kiislamu. Ikumbukwe kwamba kwa wakati huo dini ya kikristo ilikuwa imesha shamiri mahali kwingi ulimwenguni ikiwemo Asia na Ulaya Mashariki.

Kwakuwa dini ya Kikristo na Kiyahudi zilikuwa zimesha shamiri, ilibidi itumike mbinu ya ziada ili kuweza kuwabadilisha wale wakristo na wayahudi kuugeukia uislamu. Kwa kipindi hicho mataifa mengi yanayoitwa ya kiislamu leo hii yalikuwa ni ya kikristo, mfano Misri, Algeria na Uturuki.

Uislamu uliingia kwenye nchi Takatifu ya Israel na kuteka na kutawala kwa sheria ya dini. Waandishi wa Kurani walitumia mitume na manabii wale wale waliokuwa wa kiyahudi na kubadili historia yake na kusema kuwa walikuwa ni waislamu wakati hapo kabla dini hiyo haikuwahi kuwepo. Walianzisha sheria ngumu kwa Wayahudi wazawa zilizo walazimisha ama wahame nchi yao au waugeukie uislamu.

Kwa sheria ya kiislamu, endapo wangeamua kuugeukia uislamu wasingekuwa na chaguo jingine la kurudi nyuma kwa maana sheria ingewataka kuuwawa. Chini ya utawala wa kiislamu, ilishuhudia nchi ya Ugiriki ya kale ikibadilishwa jina na kuitwa Uturuki na mji wa Costantinople kuitwa Istanbul.

Hekalu la Suleman.
Baada ya kuvunjwa kwa hekalu hilo na wavamizi wa Kirumi, waarabu walilijenga upya na kisha kuligeuza kuwa msikiti, ndio msikiti wa Al Aqsa ambao ni eneo takatifu la kiislamu kwa sasa. Wakidanganya watu kwamba eneo hilo lilikuwa ni milki ya kiislamu, haikuwa hivyo bali milki ya Wayahudi.

Kupitia vita ya Mslalaba (Krusade) ambapo wakristo walijaribu kukomboa mji wa Yerusalemu kutoka kwenye utawala wa kiislamu, ilisababisha uvujaji wa damu mkubwa na watu wengi kupoteza maisha. Waisraeli wengi walikimbia nchi yao kwani kamwe hawakuwa tayari kuiacha imani yao ya Kiyahudi na kujiunga na Uislamu, ndipo likazaliwa taifa la Palestina ambalo lilitengenezwa ili kuua historia ya Kiyahudi.

Historia ya kweli ya Kiyahudi inapatikana kwenye vitabu vya Torati na Biblia na vitabu vyote vya kale ambavyo haviku chakachuliwa, kamwe huwezi kuipata historia hiyo kwenye vitabu vya kiislamu. Mwaka 1994 kulitokea mauaji kwenye hekalu alilozikwa Ibrahimu ambapo myahudi mmoja aliwafyatulia risasi waislamu waliokuwa wakisali hapo kwani waligeuza hekalu hilo kuwa msikiti na kuwazuia wayahudi kufanya ibada zao, jambo ambalo wayahudi walipinga mpaka leo.

Tangu kuanzishwa kwa taifa la Israeli mwaka 1948 kumekuwa na vita visivyoisha. Baada ya nchi hiyo kugawanywa na kupatikana nchi mbili bado raia wa Palestina wanakataa kukubali, wameanzisha vikundi vya kigaidi kwa lengo la kukomboa ardhi yao na hapo mamlaka ya Israeli wanaendelea kujilinda kwa mbinu mbalimbali za kivita kila iitwapo leo.
 
Mtume Muhammad (SAW) alitokewa na njozi alipokuwa pangoni mnamo karne ya 7 A.D. Njozi hiyo ilimtaka kwamba aanzishe dini mpya ya kiislamu. Ikumbukwe kwamba kwa wakati huo dini ya kikristo ilikuwa imesha shamiri mahali kwingi ulimwenguni ikiwemo Asia na Ulaya Mashariki.

Kwakuwa dini ya Kikristo na Kiyahudi zilikuwa zimesha shamiri, ilibidi itumike mbinu ya ziada ili kuweza kuwabadilisha wale wakristo na wayahudi kuugeukia uislamu. Kwa kipindi hicho mataifa mengi yanayoitwa ya kiislamu leo hii yalikuwa ni ya kikristo, mfano Misri, Algeria na Uturuki.

Uislamu uliingia kwenye nchi Takatifu ya Israel na kuteka na kutawala kwa sheria ya dini. Waandishi wa Kurani walitumia mitume na manabii wale wale waliokuwa wa kiyahudi na kubadili historia yake na kusema kuwa walikuwa ni waislamu wakati hapo kabla dini hiyo haikuwahi kuwepo. Walianzisha sheria ngumu kwa Wayahudi wazawa zilizo walazimisha ama wahame nchi yao au waugeukie uislamu.

Kwa sheria ya kiislamu, endapo wangeamua kuugeukia uislamu wasingekuwa na chaguo jingine la kurudi nyuma kwa maana sheria ingewataka kuuwawa. Chini ya utawala wa kiislamu, ilishuhudia nchi ya Ugiriki ya kale ikibadilishwa jina na kuitwa Uturuki na mji wa Costantinople kuitwa Istanbul.

Hekalu la Suleman.
Baada ya kuvunjwa kwa hekalu hilo na wavamizi wa Kirumi, waarabu walilijenga upya na kisha kuligeuza kuwa msikiti, ndio msikiti wa Al Aqsa ambao ni eneo takatifu la kiislamu kwa sasa. Wakidanganya watu kwamba eneo hilo lilikuwa ni milki ya kiislamu, haikuwa hivyo bali milki ya Wayahudi.

Kupitia vita ya Mslalaba (Krusade) ambapo wakristo walijaribu kukomboa mji wa Yerusalemu kutoka kwenye utawala wa kiislamu, ilisababisha uvujaji wa damu mkubwa na watu wengi kupoteza maisha. Waisraeli wengi walikimbia nchi yao kwani kamwe hawakuwa tayari kuiacha imani yao ya Kiyahudi na kujiunga na Uislamu, ndipo likazaliwa taifa la Palestina ambalo lilitengenezwa ili kuua historia ya Kiyahudi.

Historia ya kweli ya Kiyahudi inapatikana kwenye vitabu vya Torati na Biblia na vitabu vyote vya kale ambavyo haviku chakachuliwa, kamwe huwezi kuipata historia hiyo kwenye vitabu vya kiislamu. Mwaka 1994 kulitokea mauaji kwenye hekalu alilozikwa Ibrahimu ambapo myahudi mmoja aliwafyatulia risasi waislamu waliokuwa wakisali hapo kwani waligeuza hekalu hilo kuwa msikiti na kuwazuia wayahudi kufanya ibada zao, jambo ambalo wayahudi walipinga mpaka leo.

Tangu kuanzishwa kwa taifa la Israeli mwaka 1948 kumekuwa na vita visivyoisha. Baada ya nchi hiyo kugawanywa na kupatikana nchi mbili bado raia wa Palestina wanakataa kukubali, wameanzisha vikundi vya kigaidi kwa lengo la kukomboa ardhi yao na hapo mamlaka ya Israeli wanaendelea kujilinda kwa mbinu mbalimbali za kivita kila iitwapo leo.
JESUS AND ISRAEL FIRST FOREVER

IN JESUS AND ISRAEL WE MUST TRUST AND WORSHIP

GOD BLESS AND PROTECT ISRAEL
 
Acha Uwongo Wako Eti Unasema Bila Aibu "uislamu Uliingia Katika Taifa Takatifu La Israel" Kipindi Hicho Hakukuwa Na Hilo Taifa Ila Kulikuwa Kuna Wayahud Waliokuwa Hawana Makazi Walikuwa Wanazagaa Ulaya Na Maeneo Ya Jiran.Taifa Kama Israel Lenye Mipaka Kwenye Ramani Lililoko Karbu Na Palestina Limeanzishwa 1948. Kuzagaa Kwa Wana Wa Israel Wayahud Ulaya Ndo Kulisababisha Lile Tukio Maarufu Katka Vita Vya Pili Vya Dunia Kuuwawa Wayahud Milion 6 Ulaya. Mtume Muhammad Alisambaza Sana Uislamu Kwa Waarabu Waliokuwa Wanaabudu Masanamu Na Sio Wakristo Hata Vita Alivyopigana Ilikuwa Ni Dhidi Ya Waarabu Wenzake Makuraishi Hata Hvo Mataifa Ya Wakristo Nadhan Mengi Yalihamasika Kuingia Kwenye Uislamu Baadae Sana Baada Ya Kifo Cha Mtume Mataifa Kama Uturuki.Mnang'ang'ana Na Taifa Ambalo Haliujui Ukristo Wazayuni Wanamtukana Yesu Nyinyi Bado Mnawaganda.Shituka Ukristo Sio Dini Ni Mfumo Siku Zote Mzungu Hasapoti Jambo Lililosahihi.Hao Wazungu Waliokuletea Dini Yesu Hawajui,wayahud Wa Yesu Wao Wametulia
 
. Njozi hiyo ilimtaka kwamba aanzishe dini mpya ya kiislamu.
Wewe ungebakia kutafsiri Ilani ya vyama vya Siasa,haya mambo yapo nje ya uwezo wako Glenn

Hosea 9:5

Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa idi, na katika siku ya karamu ya Bwana?
 
Mtume Muhammad (SAW) alitokewa na njozi alipokuwa pangoni mnamo karne ya 7 A.D. Njozi hiyo ilimtaka kwamba aanzishe dini mpya ya kiislamu. Ikumbukwe kwamba kwa wakati huo dini ya kikristo ilikuwa imesha shamiri mahali kwingi ulimwenguni ikiwemo Asia na Ulaya Mashariki.

Kwakuwa dini ya Kikristo na Kiyahudi zilikuwa zimesha shamiri, ilibidi itumike mbinu ya ziada ili kuweza kuwabadilisha wale wakristo na wayahudi kuugeukia uislamu. Kwa kipindi hicho mataifa mengi yanayoitwa ya kiislamu leo hii yalikuwa ni ya kikristo, mfano Misri, Algeria na Uturuki.

Uislamu uliingia kwenye nchi Takatifu ya Israel na kuteka na kutawala kwa sheria ya dini. Waandishi wa Kurani walitumia mitume na manabii wale wale waliokuwa wa kiyahudi na kubadili historia yake na kusema kuwa walikuwa ni waislamu wakati hapo kabla dini hiyo haikuwahi kuwepo. Walianzisha sheria ngumu kwa Wayahudi wazawa zilizo walazimisha ama wahame nchi yao au waugeukie uislamu.

Kwa sheria ya kiislamu, endapo wangeamua kuugeukia uislamu wasingekuwa na chaguo jingine la kurudi nyuma kwa maana sheria ingewataka kuuwawa. Chini ya utawala wa kiislamu, ilishuhudia nchi ya Ugiriki ya kale ikibadilishwa jina na kuitwa Uturuki na mji wa Costantinople kuitwa Istanbul.

Hekalu la Suleman.
Baada ya kuvunjwa kwa hekalu hilo na wavamizi wa Kirumi, waarabu walilijenga upya na kisha kuligeuza kuwa msikiti, ndio msikiti wa Al Aqsa ambao ni eneo takatifu la kiislamu kwa sasa. Wakidanganya watu kwamba eneo hilo lilikuwa ni milki ya kiislamu, haikuwa hivyo bali milki ya Wayahudi.

Kupitia vita ya Mslalaba (Krusade) ambapo wakristo walijaribu kukomboa mji wa Yerusalemu kutoka kwenye utawala wa kiislamu, ilisababisha uvujaji wa damu mkubwa na watu wengi kupoteza maisha. Waisraeli wengi walikimbia nchi yao kwani kamwe hawakuwa tayari kuiacha imani yao ya Kiyahudi na kujiunga na Uislamu, ndipo likazaliwa taifa la Palestina ambalo lilitengenezwa ili kuua historia ya Kiyahudi.

Historia ya kweli ya Kiyahudi inapatikana kwenye vitabu vya Torati na Biblia na vitabu vyote vya kale ambavyo haviku chakachuliwa, kamwe huwezi kuipata historia hiyo kwenye vitabu vya kiislamu. Mwaka 1994 kulitokea mauaji kwenye hekalu alilozikwa Ibrahimu ambapo myahudi mmoja aliwafyatulia risasi waislamu waliokuwa wakisali hapo kwani waligeuza hekalu hilo kuwa msikiti na kuwazuia wayahudi kufanya ibada zao, jambo ambalo wayahudi walipinga mpaka leo.

Tangu kuanzishwa kwa taifa la Israeli mwaka 1948 kumekuwa na vita visivyoisha. Baada ya nchi hiyo kugawanywa na kupatikana nchi mbili bado raia wa Palestina wanakataa kukubali, wameanzisha vikundi vya kigaidi kwa lengo la kukomboa ardhi yao na hapo mamlaka ya Israeli wanaendelea kujilinda kwa mbinu mbalimbali za kivita kila iitwapo leo.

Huu ndio ukweli,huwezi pata historia ya israel na wayahudi kwa kurwani au vitabu vya wafuasi wa mudy.
 
Acha Uwongo Wako Eti Unasema Bila Aibu "uislamu Uliingia Katika Taifa Takatifu La Israel" Kipindi Hicho Hakukuwa Na Hilo Taifa Ila Kulikuwa Kuna Wayahud Waliokuwa Hawana Makazi Walikuwa Wanazagaa Ulaya Na Maeneo Ya Jiran.Taifa Kama Israel Lenye Mipaka Kwenye Ramani Lililoko Karbu Na Palestina Limeanzishwa 1948. Kuzagaa Kwa Wana Wa Israel Wayahud Ulaya Ndo Kulisababisha Lile Tukio Maarufu Katka Vita Vya Pili Vya Dunia Kuuwawa Wayahud Milion 6 Ulaya. Mtume Muhammad Alisambaza Sana Uislamu Kwa Waarabu Waliokuwa Wanaabudu Masanamu Na Sio Wakristo Hata Vita Alivyopigana Ilikuwa Ni Dhidi Ya Waarabu Wenzake Makuraishi Hata Hvo Mataifa Ya Wakristo Nadhan Mengi Yalihamasika Kuingia Kwenye Uislamu Baadae Sana Baada Ya Kifo Cha Mtume Mataifa Kama Uturuki.Mnang'ang'ana Na Taifa Ambalo Haliujui Ukristo Wazayuni Wanamtukana Yesu Nyinyi Bado Mnawaganda.Shituka Ukristo Sio Dini Ni Mfumo Siku Zote Mzungu Hasapoti Jambo Lililosahihi.Hao Wazungu Waliokuletea Dini Yesu Hawajui,wayahud Wa Yesu Wao Wametulia

Soma histria vizuri punguza mihemuko,
 
Mtoa mada mbona mnakuwa kama hamna akili siku nyingi sana Qur'an imewauliza swali mpa leo hamna jibu, unafahamu sababu gani?

Qur'an imewauliza wakristo na wayahudi maswali mawili tu na hakuna. Myahudi au Mkristo kaweza kujibu.

Swali la kwanza Qur'an inawauliza kama nyie mnasema vipenzi vya Mungu, ombeni kifo, mbona mnaogopa kifo?

Swali la pili Mnasema Ibrahim ni mkristo/ myahudi, je nyie ndio mnamfahamu Ibrahim kuliko Mungu. Qur'an inasema hakuwa mkristo wala myahudi, alikuwa Hanifa Muslim.

Hili swali kutoka kwangu wapi dalili zako mitume wa Mungu walikuwa dini zao Wayahudi au Wakristo, ukinipa mimi naingia Uyahudi na Ukristo leo hii

Hayo mengine we kakae vijiweni udanganye wenzako sio sisi hapa
 
Back
Top Bottom