jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,634
Walienda kuigawa palestina kwa sababu ndio ilikua sehem yao kabla hawajatawanyika....na wasingeweza kuwafukuza wapalestina kwani nao wengi wao walizaliwa pale baada ya mababu zao kuhamia wasingekua na pa kwendaHawa waizrael wa 1948 waliingia palestina iliyokua inakaliwa nA waarabu na wakaigawa palestina ili taifa jipya la israel liundwe
Sasa ina maana hakukua na mipaka iliokua inatenganisha israel na palestina? Kabla hawa jamaa hawajaletwa