Alpha na Omega ya historia ya Israeli ya kale

Kwanza kabisa bwana Eden Kimario asili ya Waebrania wote ni nchi ya Iraki ambayo kipindi hicho iliitwa ufalme wa Uru. Huu ufalme ulikuwa chini ya Wakaldayo na Abrahamu alikuwa Mkaldayo.
Ushahidi wa hili ulithibitishwa na mwanahistoria wa Kiingereza Professor J.E Taylor ambaye aliuchimba huu mji mnamo mwaka 1919.


Tena wewe unavyosema kwamba Wayahudi siyo uzao wa Abrahamu napatwa na ukakasi hasa pale unaposhindwa kufuatilia mambo kwa undani na kuzama juu juu tu.
Neno WAYAHUDI au JEWS linatokana na neno JUDEANS ambao yalikuwa makabila ya YUDA na BENJAMINI yaliyounda ufalme ya YUDA mwaka 931 K.K baada ya Mfalme JEDIDIAH kufariki.

Neno WAYAHUDI lilikuwa linatumiwa sana na WARUMI ambapo walilitumia kuwatenganisha wazao wa Ufalme wa YUDA waliloridishwa kutoka utumwa wa Waajemi. Hili lilitumika ili kuwatenganisha na kabila Wasamaria ambao walichanganyika pamoja na watu wenye asili ya ufalme wa Ashuru (Assyrians). Wayahudi walijitenga pamoja na Wasamaria kwasababu walikuwa wanaabudu dini za kipagani na huku wakimuamini YAHWEH kama ilivyoandikwa kwenye Torati. Na Wayahudi waliamini ni wao pekee ndiyo wana haki ya kutoa sadaka kwa JEHOVAH na siyo watu wengine; hivyo waliwachukia sana Wasamaria.

Ukisoma Torati yote hakuna sehemu ambapo neno WAYAHUDI limetajwa, ila ni Waebrania, Wana wa Israel na WANA WA YUDA na siyo WAYAHUDI.

Kitu cha muhimu kukumbuka ni kwamba Ufalme wa Israel uliundwa na makabila kumi na mawili ambao ulikuwa ni uzao wa Yakobo ambaye YAHWEH alimpa jina ISRAEL. Katika watoto wa Yakobo hakuna kabila la YUSUFU ila watoto wake wawili ambao ni EPHRAIM na MANASSEH.
Sasa ikumbukwe kwamba YUSUFu alipouzwa Misri alipewa mke na Farao. Mke wake alikuwa anaitwa ASENATHI ambaye alikuwa ni mtu wa MISRI. Ufalme wa Misri ulikuwa na wa watu WEUSI hivyo ASENATHI alikuwa ni mtu MWEUSI. Hivyo taifa la ISRAEL lilikuwa na mchanganyiko wa damu nyingi.

Lakini wewe umeona Wayahudi kuchanganyika na Wazungu wa Ulaya Mashariki ni tatizo sana hadi utake kuamini falsafa za kupuuzi zianzoendeshwa hapa duniani. Halafu unaongopa ulivyosema taifa la sasa la Israel linatengenezwa na ASHEKINAZI Jews pekee, hili siyo kweli hata kidogo.
Kuna Wayahudi ASHEKINAZI hawa walitokea Ulaya Mashariki kwenye Ufalme wa KHAZAR; kuna Wayahudi SEPHARDIM hawa walibaki Palestina baada ya Wayahudi kufukuzwa na Masultani wa Kiarabu; kuna Wayahudi FALASHA ambao walikuwa wanaishi kwenye utawala wa SHEBA, ABYSSINIA au ETHIOPIA.

Hawa wote rangi hata maumbile ya mwili zimetofautiana lakini baada ya kupimwa DNA wamekutwa wana undugu mkubwa kuliko unavyotaka wewe kutuaminisha. Mbali kabisa WAYAHUDI wako dunia nzima mfano mkubwa wa makabila ya KIYAHUDI duniani ni:

  1. IGBO huko Nigeria.
  2. WAHINDI WEKUNDU wa Colorado huko Marekani.
  3. WAHINDI WA KERALA, MUMBAI, KARACHI huko INDIA. (Kati ya hawa kuna wafanyabiashara wengi wa mfalme JEDEDIAH)
  4. BAADHI YA NEGROES wa Marekani ni WAYAHUDI walioishi katika ufalme wa MALI.
  5. WAAJEMI WENGI WA IRAN ni WAYAHUDI kutoka PARTHIAN EMPIRE.
Na haya yote yamefanyiwa sana uchunguzi na wanasayansi wa mataifa mbalimbali.
Sasa kuchanganyika kwa Wayahudi na Wazungu kuwaje tatizo kwako leo?
Wewe mama yako akiwa ni Mchagga baba yako akawa Mkinga wewe utaitwa MCHAGGA?


Najau WAZAYUNI wanaharibu dunia lakini tusitumie hii fimbo kuwachukia hata WAYAHIDI wasio na hatia bila sababu. Huwezi kumkatalia mtu urithi wake hata kidogo WAYAHUDI na WAPALESTINA ni ndugu kuliko wewe unavyodhani.
Hili huwezi badilisha hata kidogo na Ukweli utabaki kuwa hivyo.


Hapo kwenye wapalestina na waisrael kuwa ndugu ebu fafanua kidogo.
 
6697142b5bc5420b501b369313374e0d.jpg


Izrael ilianzishwa na waizraeli waliotoka nchini misri chini ya uongozi wa musa na yoshua ambae alivamia kanaani mnamo mwaka wa 1200 kk.

Muungano wa vikundi na makabila mbalimbali yasemekana ndio chanzo cha kuundwa kwa taifa moja teule chini ya sauli na baadae daudi na Solomoni mwanae Daudi.

Baada ya kifo cha solomoni mfalme mtafaruku uliibuka kiasi kwamba izrael ilipasuka vipande viwili yaani ufalme wa kazkazini ulioendelea kujiita izraeli. Na ufalme wa Yuda ambao mji mkuu wake ukikua Yerusalemu.

Kutokana na kujitenga huku falme hizi zilikosa nguvu ya kushinda vita. Na hivyo kujikuta zikiwa chini ya falme mbalimbali za babiloni uajemi na ugiriki ya kale na hii ilikua ni kuanzia mwaka 587 kk.

Lakini kuliibuka kikundi kilichojiita wamakabayo kilichoanzisha harakati za kurudisha uhuru na waliweza kuwafukuza wagiriki waliokua wakiwatawala kwa kipindi hicho na kuanzisha ufalme na kuanzisha ufalme wa kiyahudi kati ya mwaka 140 kk.

Pamoja na hilo ufalme huo uliwekwa chini ya dola la kirumi mwaka 63kk. Na hatimae kua jimbo la kiroma mwaka 70 bk.

Maangamizi ya yerusalemu mwaka 70bk yanahesabiwa kama mwisho wa Israeli ya kale
Nikukumbushe tu wakati wa ujio wa yesu izraeli na palestina zilikua chini ya dola la kirumi ambao walitawala maeneo yote ya bahari ya mediterenian.

Nimalizie tu kwa kusema izraeli ya sasa sio ile ya taifa teule la mungu. Bali ni uzao wa ashkenazi ambae ni kizazi cha uzao wa Esau. Kama unaelewa zaidi kuhusu Israel ya kale karibu uongezee ili wengine na mimi tuelewe zaidi.
interesting lakn kuna vitu umeruka.
Ulipoanzia sio mwanzo wa israel.
Inaanza Ibrahimu anaponunua shamba hebron kaanani mbele ya mashahidi kibao na kupimiwa hadi mipaka kwa gharama ya SHEKHELI MIA NNE. na hapo ndipo aliozikwa mkewe sara mama ya Isaka Bibi wa yakobo (ISRAEL) na Huyu ndiye aliyekuwa mrithi wa hilo eneo. Nitakuja tena
 
Swali hapa ni kua waizraeli hawa wa 1948 ndio kizazi kile cha yakobo?
uzao wa Hesau unareference gani?
Alafu uzao wa Hesau utauitaje waisrael. Vugu vugu la 1948 unajua lilipoanzia na ni wakina nani walilianza?
wale waanzilishi kabisa. Unajua nini kilitokea 70AD. Unajua Mateka waliochukuliwa na nero walipelekwa wapi.
 
Kwanza kabisa bwana Eden Kimario asili ya Waebrania wote ni nchi ya Iraki ambayo kipindi hicho iliitwa ufalme wa Uru. Huu ufalme ulikuwa chini ya Wakaldayo na Abrahamu alikuwa Mkaldayo.
Ushahidi wa hili ulithibitishwa na mwanahistoria wa Kiingereza Professor J.E Taylor ambaye aliuchimba huu mji mnamo mwaka 1919.


Tena wewe unavyosema kwamba Wayahudi siyo uzao wa Abrahamu napatwa na ukakasi hasa pale unaposhindwa kufuatilia mambo kwa undani na kuzama juu juu tu.
Neno WAYAHUDI au JEWS linatokana na neno JUDEANS ambao yalikuwa makabila ya YUDA na BENJAMINI yaliyounda ufalme ya YUDA mwaka 931 K.K baada ya Mfalme JEDIDIAH kufariki.

Neno WAYAHUDI lilikuwa linatumiwa sana na WARUMI ambapo walilitumia kuwatenganisha wazao wa Ufalme wa YUDA waliloridishwa kutoka utumwa wa Waajemi. Hili lilitumika ili kuwatenganisha na kabila Wasamaria ambao walichanganyika pamoja na watu wenye asili ya ufalme wa Ashuru (Assyrians). Wayahudi walijitenga pamoja na Wasamaria kwasababu walikuwa wanaabudu dini za kipagani na huku wakimuamini YAHWEH kama ilivyoandikwa kwenye Torati. Na Wayahudi waliamini ni wao pekee ndiyo wana haki ya kutoa sadaka kwa JEHOVAH na siyo watu wengine; hivyo waliwachukia sana Wasamaria.

Ukisoma Torati yote hakuna sehemu ambapo neno WAYAHUDI limetajwa, ila ni Waebrania, Wana wa Israel na WANA WA YUDA na siyo WAYAHUDI.

Kitu cha muhimu kukumbuka ni kwamba Ufalme wa Israel uliundwa na makabila kumi na mawili ambao ulikuwa ni uzao wa Yakobo ambaye YAHWEH alimpa jina ISRAEL. Katika watoto wa Yakobo hakuna kabila la YUSUFU ila watoto wake wawili ambao ni EPHRAIM na MANASSEH.
Sasa ikumbukwe kwamba YUSUFu alipouzwa Misri alipewa mke na Farao. Mke wake alikuwa anaitwa ASENATHI ambaye alikuwa ni mtu wa MISRI. Ufalme wa Misri ulikuwa na wa watu WEUSI hivyo ASENATHI alikuwa ni mtu MWEUSI. Hivyo taifa la ISRAEL lilikuwa na mchanganyiko wa damu nyingi.

Lakini wewe umeona Wayahudi kuchanganyika na Wazungu wa Ulaya Mashariki ni tatizo sana hadi utake kuamini falsafa za kupuuzi zianzoendeshwa hapa duniani. Halafu unaongopa ulivyosema taifa la sasa la Israel linatengenezwa na ASHEKINAZI Jews pekee, hili siyo kweli hata kidogo.
Kuna Wayahudi ASHEKINAZI hawa walitokea Ulaya Mashariki kwenye Ufalme wa KHAZAR; kuna Wayahudi SEPHARDIM hawa walibaki Palestina baada ya Wayahudi kufukuzwa na Masultani wa Kiarabu; kuna Wayahudi FALASHA ambao walikuwa wanaishi kwenye utawala wa SHEBA, ABYSSINIA au ETHIOPIA.

Hawa wote rangi hata maumbile ya mwili zimetofautiana lakini baada ya kupimwa DNA wamekutwa wana undugu mkubwa kuliko unavyotaka wewe kutuaminisha. Mbali kabisa WAYAHUDI wako dunia nzima mfano mkubwa wa makabila ya KIYAHUDI duniani ni:

  1. IGBO huko Nigeria.
  2. WAHINDI WEKUNDU wa Colorado huko Marekani.
  3. WAHINDI WA KERALA, MUMBAI, KARACHI huko INDIA. (Kati ya hawa kuna wafanyabiashara wengi wa mfalme JEDEDIAH)
  4. BAADHI YA NEGROES wa Marekani ni WAYAHUDI walioishi katika ufalme wa MALI.
  5. WAAJEMI WENGI WA IRAN ni WAYAHUDI kutoka PARTHIAN EMPIRE.
Na haya yote yamefanyiwa sana uchunguzi na wanasayansi wa mataifa mbalimbali.
Sasa kuchanganyika kwa Wayahudi na Wazungu kuwaje tatizo kwako leo?
Wewe mama yako akiwa ni Mchagga baba yako akawa Mkinga wewe utaitwa MCHAGGA?


Najau WAZAYUNI wanaharibu dunia lakini tusitumie hii fimbo kuwachukia hata WAYAHIDI wasio na hatia bila sababu. Huwezi kumkatalia mtu urithi wake hata kidogo WAYAHUDI na WAPALESTINA ni ndugu kuliko wewe unavyodhani.
Hili huwezi badilisha hata kidogo na Ukweli utabaki kuwa hivyo.


mkuu uko vizuri, naona Umeanzia kwa Mzee TERA kabisa Uri ya Kaldayo. Huku ni Iraq. Na hapa palikuwa ni miaka au karne chache baada ya dunia kuumbwa. Intersting
nitajaribu kuchangia kwa ushahidi wa kibiblia na hidtory kidogo.
Hata Musa alikuwa Muebrania lakini alioa Mwanamke Mweusi(Mwafrica) na hii inatuambia kunauwezekano mkubwa katika hawa lazima na watu weusi waingie
 
6697142b5bc5420b501b369313374e0d.jpg


Izrael ilianzishwa na waizraeli waliotoka nchini misri chini ya uongozi wa musa na yoshua ambae alivamia kanaani mnamo mwaka wa 1200 kk.

Muungano wa vikundi na makabila mbalimbali yasemekana ndio chanzo cha kuundwa kwa taifa moja teule chini ya sauli na baadae daudi na Solomoni mwanae Daudi.

Baada ya kifo cha solomoni mfalme mtafaruku uliibuka kiasi kwamba izrael ilipasuka vipande viwili yaani ufalme wa kazkazini ulioendelea kujiita izraeli. Na ufalme wa Yuda ambao mji mkuu wake ukikua Yerusalemu.

Kutokana na kujitenga huku falme hizi zilikosa nguvu ya kushinda vita. Na hivyo kujikuta zikiwa chini ya falme mbalimbali za babiloni uajemi na ugiriki ya kale na hii ilikua ni kuanzia mwaka 587 kk.

Lakini kuliibuka kikundi kilichojiita wamakabayo kilichoanzisha harakati za kurudisha uhuru na waliweza kuwafukuza wagiriki waliokua wakiwatawala kwa kipindi hicho na kuanzisha ufalme na kuanzisha ufalme wa kiyahudi kati ya mwaka 140 kk.

Pamoja na hilo ufalme huo uliwekwa chini ya dola la kirumi mwaka 63kk. Na hatimae kua jimbo la kiroma mwaka 70 bk.

Maangamizi ya yerusalemu mwaka 70bk yanahesabiwa kama mwisho wa Israeli ya kale
Nikukumbushe tu wakati wa ujio wa yesu izraeli na palestina zilikua chini ya dola la kirumi ambao walitawala maeneo yote ya bahari ya mediterenian.

Nimalizie tu kwa kusema izraeli ya sasa sio ile ya taifa teule la mungu. Bali ni uzao wa ashkenazi ambae ni kizazi cha uzao wa Esau. Kama unaelewa zaidi kuhusu Israel ya kale karibu uongezee ili wengine na mimi tuelewe zaidi.
Kasome pia history ya black death, Tukio lilioua wazungu kibao kutokana na ugonjwa lakini wayahudi waliokuwa huko hawakufa sana kwa sababu walipractice health principles zalizofundiswa mababu zao jangwani. Ikaonekana wao ndio wameweka sumu maji, hawa jamaa wamechukiwa kila waendapo. Utajiuliza walifikaje huko.
Pia kama ni mpenzi wa bibilia ukisoma kuanzia matendo hadi kitabu cha mwisho utagundua wayahudi walitapakaa sehemu nyingi wakiwapinga wayahudi wenzao waliokuwa wameamua kufuata utaratibu wa yesu. Kila kona kuanzia roma itali hadi ugiriki.
 
Asili ya wayahudi ni kati ya Tigris na Euphrates rivers ambayo inapatikana iraq. Maana, Ibrahim alitokea kwenye nchi ya UZ Iraq. Sasa ndugu tusome sana na tuone alivyokuja mpaka kufika Yudea na kuishi. Tusome jamani tuone asili ya wayahudi na nchi ya ahadi. Tusome kuhusu Babiloni, tujue ilipo.
 
mkuu uko vizuri, naona Umeanzia kwa Mzee TERA kabisa Uri ya Kaldayo. Huku ni Iraq. Na hapa palikuwa ni miaka au karne chache baada ya dunia kuumbwa. Intersting
nitajaribu kuchangia kwa ushahidi wa kibiblia na hidtory kidogo.
Hata Musa alikuwa Muebrania lakini alioa Mwanamke Mweusi(Mwafrica) na hii inatuambia kunauwezekano mkubwa katika hawa lazima na watu weusi waingie

Ukweli ni kwamba hata SHEBA, ABYSSINIA au ETHIOPIA imejengwa na WAEBRANIA.
Baada ya Malkia wa SHEBA kushika Mimba ya mfalme JEDEDIAH alimzaa mtoto wa kiume akamuita MENELIK; Maana yake ni "MTOTO WA MTU MWEREVU" au kiingereza ni "SON OF THE WISE"
Jedediah alipoona mtoto wake atakuwa mfalme wa SHEBA alituma WAEBRANIA 1000 wasomi na wenye utaalamu wa mambo mbalimbali ili waende wakamfundishe MENELIK na kumsaidia kutawala.
Sasa hata ukiangalia tamaduni za Ethiopia zimeingiliana sana na zile za Kiyahudi.


Mfalme Rehoboam alikuwa ni mtoto wa mfalme Jedidiah Muebrania na mama yake ni NAMAAH alikuwa ni mtu wa MWAMONI.
Waamoni ni WAARABU waliotawala Yordani ya sasa.
Sasa ukweli kama huu wenzetu huwa hawataki kuukubali, wao wamekazana Waashekinazi wamechanganyikana na Wazungu basi siyo Wayahudi.
Hizi chuki zinafikisha watu pabaya sasa.
 
6697142b5bc5420b501b369313374e0d.jpg


Izrael ilianzishwa na waizraeli waliotoka nchini misri chini ya uongozi wa musa na yoshua ambae alivamia kanaani mnamo mwaka wa 1200 kk.

Muungano wa vikundi na makabila mbalimbali yasemekana ndio chanzo cha kuundwa kwa taifa moja teule chini ya sauli na baadae daudi na Solomoni mwanae Daudi.

Baada ya kifo cha solomoni mfalme mtafaruku uliibuka kiasi kwamba izrael ilipasuka vipande viwili yaani ufalme wa kazkazini ulioendelea kujiita izraeli. Na ufalme wa Yuda ambao mji mkuu wake ukikua Yerusalemu.

Kutokana na kujitenga huku falme hizi zilikosa nguvu ya kushinda vita. Na hivyo kujikuta zikiwa chini ya falme mbalimbali za babiloni uajemi na ugiriki ya kale na hii ilikua ni kuanzia mwaka 587 kk.

Lakini kuliibuka kikundi kilichojiita wamakabayo kilichoanzisha harakati za kurudisha uhuru na waliweza kuwafukuza wagiriki waliokua wakiwatawala kwa kipindi hicho na kuanzisha ufalme na kuanzisha ufalme wa kiyahudi kati ya mwaka 140 kk.

Pamoja na hilo ufalme huo uliwekwa chini ya dola la kirumi mwaka 63kk. Na hatimae kua jimbo la kiroma mwaka 70 bk.

Maangamizi ya yerusalemu mwaka 70bk yanahesabiwa kama mwisho wa Israeli ya kale
Nikukumbushe tu wakati wa ujio wa yesu izraeli na palestina zilikua chini ya dola la kirumi ambao walitawala maeneo yote ya bahari ya mediterenian.

Nimalizie tu kwa kusema izraeli ya sasa sio ile ya taifa teule la mungu. Bali ni uzao wa ashkenazi ambae ni kizazi cha uzao wa Esau. Kama unaelewa zaidi kuhusu Israel ya kale karibu uongezee ili wengine na mimi tuelewe zaidi.

Mimi najua historia ya Israel na sio Izrael! Hivyo ni vutu tofauti wala havina uhusiano wowote!
 
Duuu !!! Tangu huu mwaka umeanza hakuna uzi ulionichanganya kama huu .
 
1af3959e5dfa4e48fc6dca6e2d87fd25.jpg
huyu jamaa anaitwa theodor herzi
Na inasemekana yeye ndio aliandika kitabu kuhusu kuanzishwa kwa dola la kiyahudi mwaka 1896
 
Inasemekana pia wayahudi hawa wa ulaya walikusanya pesa kote ulaya na kununua ardhi katika nchi ya palestina na kuanzisha vijiji vya kiyahudi swali hapa ni kua
Hawa wayahudi walikimbilia ulaya kutoka israeli ya kale au walifikaje ulaya na walitoka wapi hadi kukimbilia ulaya?
 
Na naomba kujua pia palestina ya sasa ndio nchi ya wafilisti wa zamani wanaotajwa katika bible? Mnieleweshe hapo
 
6697142b5bc5420b501b369313374e0d.jpg


Izrael ilianzishwa na waizraeli waliotoka nchini misri chini ya uongozi wa musa na yoshua ambae alivamia kanaani mnamo mwaka wa 1200 kk.

Muungano wa vikundi na makabila mbalimbali yasemekana ndio chanzo cha kuundwa kwa taifa moja teule chini ya sauli na baadae daudi na Solomoni mwanae Daudi.

Baada ya kifo cha solomoni mfalme mtafaruku uliibuka kiasi kwamba izrael ilipasuka vipande viwili yaani ufalme wa kazkazini ulioendelea kujiita izraeli. Na ufalme wa Yuda ambao mji mkuu wake ukikua Yerusalemu.

Kutokana na kujitenga huku falme hizi zilikosa nguvu ya kushinda vita. Na hivyo kujikuta zikiwa chini ya falme mbalimbali za babiloni uajemi na ugiriki ya kale na hii ilikua ni kuanzia mwaka 587 kk.

Lakini kuliibuka kikundi kilichojiita wamakabayo kilichoanzisha harakati za kurudisha uhuru na waliweza kuwafukuza wagiriki waliokua wakiwatawala kwa kipindi hicho na kuanzisha ufalme na kuanzisha ufalme wa kiyahudi kati ya mwaka 140 kk.

Pamoja na hilo ufalme huo uliwekwa chini ya dola la kirumi mwaka 63kk. Na hatimae kua jimbo la kiroma mwaka 70 bk.

Maangamizi ya yerusalemu mwaka 70bk yanahesabiwa kama mwisho wa Israeli ya kale
Nikukumbushe tu wakati wa ujio wa yesu izraeli na palestina zilikua chini ya dola la kirumi ambao walitawala maeneo yote ya bahari ya mediterenian.

Nimalizie tu kwa kusema izraeli ya sasa sio ile ya taifa teule la mungu. Bali ni uzao wa ashkenazi ambae ni kizazi cha uzao wa Esau. Kama unaelewa zaidi kuhusu Israel ya kale karibu uongezee ili wengine na mimi tuelewe zaidi.


Mkuu Kimario hapa unazungumzia Israel kama nchi au Mu-Israel kama mwananchi wa taifa la Isarel?

Maana kama ni Israel as state tunaangalia Geographical location yake so kama Israel ya zamn na ya sasa ungetueleza ile ya zaman ilikua maeneo ya Iraq ila ya sasa imesogea apo Palestina.

Bt Israel kama wananchi wake kuna vitu unapaswa kuangalia ili ukete FACTS zenye ushawishi na si simulizi uchwara kama hii.

Kati ya vitu ambavyo ungeainisha
1. Lugha asilia ingawa watu wanaweza izungumza lakn tunajua English niya malkia. Hivyo tueleze lugha.

2. Makabila, tueleze palkua na makabira haya sahv makabira yale wapo Rwanda na c Israel ya sasa.

3. Tamaduni.Kwamba waisrael wa mwanzo walikuwa na tamaduni hiz ila hawa wana tamadun hz. Hapa ni pamoja na sherehe nk.


Haya ni baadhi ya mambo unayoweza tumia kutetea mada yako hiyo na c kama ulivoeleza.
 
1af3959e5dfa4e48fc6dca6e2d87fd25.jpg
huyu jamaa anaitwa theodor herzi
Na inasemekana yeye ndio aliandika kitabu kuhusu kuanzishwa kwa dola la kiyahudi mwaka 1896
Judah Alkalai NA
Yehuda Bibas movement ilianza na hawa kabla ya huyu jamaa yeye alisoma habari na motivations za hao babu zake wayahudi mmoja aliishi hispania na kufukuzwa akakimbilia afrika kazkazini.
Ila hii ya leo Ilizanza kwa vuguvugu la vijana wazayuni waliokuwa wanakaa kijijini kabisa Poland enzi hizo iko Russia. Kiongozi wao akiwa ni David Ben gulion. walijiorganize hadi 1906 wakahamia palestina enzi hizo kulikuwa na wayahudi 55000 na kati ya hao 40000 bado walikuwa na uraia wa Urusi.
Lakini wao wanaamini uraia au uisrael wao hauhesabiwi kwa mipaka ya ardhi bali ni kwa Moyo. hATA AWE WAPI YEYE NI MUISRAEL. ANGALIZO SIONI UHUSIANO WA WAISRAEL HAWA NA MAMBO YA KIDINI.
KUKUKUMBUSHA KAMA WALIKUWEPO PIA BAADA YA 70AD. ISLAMIC CALPHATE CHINI YA CALIPH UMAR WALIITEKA NA WAYAHUDI WOTE WAKAWA KOLONI LA HUYO JAMAA, NA VIPINDI VYOTE VYA CLUSADE WAYAHUDI WALIKUWEPO NA WAKRISTO WACHACHE PIA.
 
6697142b5bc5420b501b369313374e0d.jpg


Izrael ilianzishwa na waizraeli waliotoka nchini misri chini ya uongozi wa musa na yoshua ambae alivamia kanaani mnamo mwaka wa 1200 kk.

Muungano wa vikundi na makabila mbalimbali yasemekana ndio chanzo cha kuundwa kwa taifa moja teule chini ya sauli na baadae daudi na Solomoni mwanae Daudi.

Baada ya kifo cha solomoni mfalme mtafaruku uliibuka kiasi kwamba izrael ilipasuka vipande viwili yaani ufalme wa kazkazini ulioendelea kujiita izraeli. Na ufalme wa Yuda ambao mji mkuu wake ukikua Yerusalemu.

Kutokana na kujitenga huku falme hizi zilikosa nguvu ya kushinda vita. Na hivyo kujikuta zikiwa chini ya falme mbalimbali za babiloni uajemi na ugiriki ya kale na hii ilikua ni kuanzia mwaka 587 kk.

Lakini kuliibuka kikundi kilichojiita wamakabayo kilichoanzisha harakati za kurudisha uhuru na waliweza kuwafukuza wagiriki waliokua wakiwatawala kwa kipindi hicho na kuanzisha ufalme na kuanzisha ufalme wa kiyahudi kati ya mwaka 140 kk.

Pamoja na hilo ufalme huo uliwekwa chini ya dola la kirumi mwaka 63kk. Na hatimae kua jimbo la kiroma mwaka 70 bk.

Maangamizi ya yerusalemu mwaka 70bk yanahesabiwa kama mwisho wa Israeli ya kale
Nikukumbushe tu wakati wa ujio wa yesu izraeli na palestina zilikua chini ya dola la kirumi ambao walitawala maeneo yote ya bahari ya mediterenian.

Nimalizie tu kwa kusema izraeli ya sasa sio ile ya taifa teule la mungu. Bali ni uzao wa ashkenazi ambae ni kizazi cha uzao wa Esau. Kama unaelewa zaidi kuhusu Israel ya kale karibu uongezee ili wengine na mimi tuelewe zaidi.
Nilijua unapoint lakini baadae nikagundua lengo lako kuu n kuwafutia uteule waliopewa waisrael!! Binadam wana mambo!! Alichotoa Mungu hakinyang'anyiki
 
Back
Top Bottom