Artificial Horizon
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 246
- 586
Sahivi anatuhimiza tulime nyanya na pilipili
Kweli maisha ni fumbo.
Kweli maisha ni fumbo.
ALIAMINI MAGUFULI HATA KUFA ATAISHI MILELEVideo inajielezaView attachment 1737768
Hayo maneno yataendelea kumhukumu maisha yake yote.Video inajielezaView attachment 1737768
Mme anza - anaambiwa mme aanze.Mme anza sasa
Mwacheni alime nyanya sasa; anajinasibu kuwa alisomea sheria basi aitumie elimu yake hiyo kwenye kilimo na kuuza nyanya!!!Huyo ni mmoja wa viongozi ambao hua simuelewi ana asili ya kujipendekeza pendekeza hivi
Wastaafu aliowatulana ndio wameshika hatamu ......najua sababu ya........siku atarudishwa najua ameshaenda kuomba msamaha.....ipo siku utasikia karudishwaaa......Mwacheni alime nyanya sasa; anajinasibu kuwa alisomea sheria basi aitumie elimu yake hiyo kwenye kilimo na kuuza nyanya!!!
Mbona mnafukua makaburi wazee...
Kijana ana maisha yake saivi.. he is now a role model to many..
Ok!Leo siku ya wazee. Tunakumbuka lugha zilizotweza wazee.
BASI HATA kingwangalla atarudi!!!Wastaafu aliowatulana ndio wameshika hatamu ......najua sababu ya........siku atarudishwa najua ameshaenda kuomba msamaha.....ipo siku utasikia karudishwaaa......
Sio ajabu anaweza kurudiii ametuliaaaBASI HATA kingwangalla atarudi!!!
kiburi kilimjaa kikajaa hadi kwenye nywele zote za mwili wake. dogo ana kiburi aisee, kumbe kina JK ndio walimtoa kupitia ukuu wa wilaya lakini alikuja kuwadis kama hajawahi kuwaona.
Kingwangallah hawezi kurudi alikwishachambia mgomba amebaki na kinyesi!! Huu ni wakati wa mashifta wakina BASHE.Sio ajabu anaweza kurudiii ametuliaaa