Ally Happi unakumbuka maneno yako haya kuhusu wazee wastaafu?

ALIAMINI MAGUFULI HATA KUFA ATAISHI MILELE
27770d06f549f928938a51139e94b74e.jpg
 
Mwacheni alime nyanya sasa; anajinasibu kuwa alisomea sheria basi aitumie elimu yake hiyo kwenye kilimo na kuuza nyanya!!!
Wastaafu aliowatulana ndio wameshika hatamu ......najua sababu ya........siku atarudishwa najua ameshaenda kuomba msamaha.....ipo siku utasikia karudishwaaa......
 
Mbona mnafukua makaburi wazee...

Kijana ana maisha yake saivi.. he is now a role model to many..
 
Sasa hivi kitakuwa kimejikunyata sehemu huku kinajuta kwa kushindwa kuchunga ulimi wake.
Waswahili wana msemo wao unasema "Mungu Kibidu"
 
Karma never err. .hapo kwenye popote watakapojitokeza tutawatwanga ndipo laana ilipoanzia.
 
Back
Top Bottom