Sioni tatizo.Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Unaweza kukuta humo ndani kuna Bob MarlleyHaijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Hizi ni akili zilizojaa pale ufipa. Huyo anayejiita mmawia ni mpiga debe wa ufipa.Kwa akili hizi, Kupiga hatua nikazi sana
Mbona anachofanya ndio sahihi? Zingatia huo mzigo ni wake na anausimamia mwenyewe na jioni anaangalia ankara zilivyokaa kwenye akaunti yake mwenyewe..... Kitu murua kabisa!.Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Huyu anafanya kazi kwenye shamba lake, unataka iweje wewe?, huna maana yoyote ndg yangu, sijakuelewa, maana hata mimi naweza kufanya hivoHaijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Wewe mstafu acha matusi ushakua mkubwaAfadhali yeye anabeba gunia kulko wewe unabandiliwa
Nyerere alenda Shamba kwa Kutaka SIO HAPI baada ya KUBWAGA kiherehere cha kunipendekeza kwa JINI Mwendazake KIMEMPONZAInaonesha una uelewa mdogo sana kwenye kutafuta maisha. Mwalimu Nyerere pamoja na kuwa rais wa nchi bado alienda shambani.
Kuwa kiongozi hakumfanyi mtu kubweteka na kuacha kufanya shughuli binafsi za kumuingizia kipato! Hata kama shughuli hizo zinatumia nguvu nyingi!
Hapo hakuna tatizo kabisa. Hata kama anaweza kuchoma mkaa yeye achome tu kuliko kuwa kama wengine wanaolalamikia serikali baada ya kustaafu au kushushwa vyeo!
alafu caption ya video imeandikwa HAPI AWA HUSTLER DUNIA HIIππππHaijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Kibri chote mfukoni.Hapi huyu huyu aliyewakejeli WASTAAFU kina KINANA na MAKAMBA?Kweli Wahenga walinena MDOMO ULIKIPONZA KICHWA bado MAKONDA aliyempiga Mzee WARIOBAView attachment 2427747View attachment 2427749
Najivunia kijana mchapa kazi.Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Acha kumuonea wivu mwenzako wewe kamanda uchwara.Haijalshi kama alikuwa anatafuta kiki au ni kweli.
Tazameni video clip jinsi aliyekuwa rc na aliyejiita kiboko ya wapinga Magufuli anavyo piga gunia kibabe.
Amakweli hujafa hujaumbika.View attachment 2427744
Sababu hua wana mikataba,So ukimfukuza kocha kabla ya mkataba wake kuisha ni lazima umlipe.Mbona ulaya makocha wanalipwa baada ya kufukuzwa.
Inaonesha una uelewa mdogo sana kwenye kutafuta maisha. Mwalimu Nyerere pamoja na kuwa rais wa nchi bado alienda shambani.
Kuwa kiongozi hakumfanyi mtu kubweteka na kuacha kufanya shughuli binafsi za kumuingizia kipato! Hata kama shughuli hizo zinatumia nguvu nyingi!
Hapo hakuna tatizo kabisa. Hata kama anaweza kuchoma mkaa yeye achome tu kuliko kuwa kama wengine wanaolalamikia serikali baada ya kustaafu au kushushwa vyeo!