Allowance Haitoshi!

Allowance Haitoshi!

Lekanjobe Kubinika

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2006
Posts
3,019
Reaction score
580
Source: Yahoo friends

Sleeping Alawansi iongezwe? Au tutajikatia wenyewe. Duh hii kiboko

No.1 Naibu Spika naye kauchapa
No.2 Nambari wani naye yuko bize



No.3, Tyson naye anajitetea

No.4 Mzee wa Kiraracha


No.5.Viti maalum,mmoja kautandika na mwingine ananyonya kidole



 
duh! Hii kweli kiboko,yani hawana hata habari ya kinachoendelea.
 
Ikiwa hata naibu spika anauchapa wakati wa mjadala, sikilizia atakachokisema baada ya katibu wake kumshitua pale mbele! "Katibu, Mwongozo kinachofuata?" kumbe ameulizwa Mwongozo kwa nini Tyson kafyatuka hovyo dhidi ya wapinzani bungeni, hoja iliyotolewa kutoka Ubungo!
 
Tanzania, Tanzania, nakupenda kwa moyo woteeee.,
Nchi yangu Tanzania, jina lako ni zuri (TAMU???) sanaaaaaa.,
Nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni kheri mama weeeee,
Tanzania Tanzania, nakupenda kwa moyo woteeeeeeeeee.
 
Wanamshanga tundu lissu na wenzie,maswali meengi mpaka muda wa mjadala bungeni unaongezwap
 
Nakumbuka wimbo wa sogdog, usingizi.
 
Na hii ndio aina ya viongozi tulio nao wamelala mpaka kifikra
 
Back
Top Bottom