Married to their Nuns!!
Washinjiadhe?
Mie raha yangu ipo kwenye hilo tabasamu lako tamu... lol. Kuna kibaridi hapa na amini usiamini nina kahawa hapa... Fanya hima msiri wa Kaizer uje upate kahawa. Ila hara hara naomba usimrushe roho mdogo wangu wala mimi hapa, naona kisha anza kuwa na wasi wasi hapo juu... Uwe unatoa taarifa mkipeana siri... lol
Shkamoo Anti. Hivi mi nina status gani?Mie mzima kaka, Asante... Nafurahi kukuona hapa... Karibu sana.
Aaah! Majukumu haya! On sasa nimeshachelewa kahawa. Usiwe na wasi wasi kuhusu mdogo wako Kaizer mie siri natunza vizuri. Kuhusu hilo tabasamu, yaani we acha tu, wakati mwingine huwa nimenuna lakini lenyewe lipo tu!
Na sie tutaliona lini tabasamu lako AshaDii? Maana kila leo umelificha kwa kivazi cha usoni.
Shkamoo Anti. Hivi mi nina status gani?
Nimesema nipo singlish Uncle kaguna...
:confused2:
Nitamwelewesha baadae, tukienda kumtembelea Babu Asprin.Khaa! Mwali wangu hio chai umempa anko wako na mm nataka! lol, wewe upo Mwali status yako ipo unique. Singlish, fanya tu hima mueleweshe ankal wako.
Hivi Elizabeth Dominic tulivoachana jana pale st joseph ulielekea wapi tena? Nina ujumbe wako.
Nikumbushe vigezo tena¬!!!
when it comes to forums chitchat is a cut above the rest,hapa hakuna cha privacy wala anonymity,we tell it as it is.This goes against some basic tenets of JF, namely anonymity and privacy.
Divorced...
engaged!
when it comes to forums chitchat is a cut above the rest,hapa hakuna cha privacy wala anonymity,we tell it as it is.
Nimekutafutia avatar nyingine asali ya ODM. take it for free....Wee ni forthplets??
kiume na bachela aliyekubuhu....