ALL JF Members: WRITE DOWN HERE YOUR MARITAL STATUS.

ALL JF Members: WRITE DOWN HERE YOUR MARITAL STATUS.

Ha ha ha ha, yangu iko clear kabisa
Hii jaza nyuma ya dodoso

Nakuambia Kaizer hii kazi ni ngumu mno! Jinsi fomu za sensa zilivyoandaliwa kuna viboksi 4 tu vya kujaza status yaani unajaza kimojawapo sasa tunapokea marital status ambazo hatujawahi kuzisikia. Hebu fikiria hii ya Kongosho "Triplets" hata sijui naiweka wapi? Fomu ingekuwa ina kiboksi cha "other" labda tungejaza hapo lakini looh! zoezi gumu.
 
I miss you too Mwali
Vipi, twins wako hawajambo? Including yule niliyekukabidhi majuzi?
Na usiendelee kutafuta hadi twende fishing kwanza, sawa??

Mwali: Singlish (Not single as such but single-single...)
That said, I am NOT looking for partner kwa sasa. :hand:
Kongosho, I miss you so much my dear, Nakusalim!
 
I think that best describes alot of individuals whether they r single in a rshp or married

and if u explain everything about negativity you have, then know this you will be as u postulated.
 
Wanajf leo tutambuane nani yupo single, married, widow, etc
kama ulipigwa kibuti hapa uwe huru pia kutiririka na hii ina umuhimu mkubwa sana na itawasaidia wote wanaotafuta wapenzi kila siku hapa.

"UKWELI HUMWEKA MTU HURU KABISA."

Naanza mimi:
Bampami-Male-Single

Tiririka na wewe sasa...
An oldman maried to one wife with many kids. Mbarikiwe na Bwana.
 
Sema "NIMENYANG'ANYWA MKE" chezea Katavi weye!?? katoka lyamba lya mfipa yule, kule lilikoungua shoka mpini ukabaki, Mamdenyi nae aje hapa na status yake!

Ha ha ha haaah!! Baba V unamrudishia mwenzako machungu...
 
Last edited by a moderator:
Mie raha yangu ipo kwenye hilo tabasamu lako tamu... lol. Kuna kibaridi hapa na amini usiamini nina kahawa hapa... Fanya hima msiri wa Kaizer uje upate kahawa. Ila hara hara naomba usimrushe roho mdogo wangu wala mimi hapa, naona kisha anza kuwa na wasi wasi hapo juu... Uwe unatoa taarifa mkipeana siri... lol

My wife wangu AshaDii akisema itakuwa sio siri tena. mwaJ eti utatoa siri yetu?
 
Last edited by a moderator:
Hivi Preta yupo? au................nasubiri neno lake maana kila mmoja analake kwa wakati huu!!
 
Last edited by a moderator:
wanajf leo tutambuane nani yupo single, married, widow, etc
kama ulipigwa kibuti hapa uwe huru pia kutiririka na hii ina umuhimu mkubwa sana na itawasaidia wote wanaotafuta wapenzi kila siku hapa.

"ukweli humweka mtu huru kabisa."

naanza mimi:
Bampami-male-single

tiririka na wewe sasa...


ukishatambua watu, utapata fadia gani?
 
Ndenga- Single and crazily searching!!!:eek2:
 
Back
Top Bottom