when it comes to forums chitchat is a cut above the rest,hapa hakuna cha privacy wala anonymity,we tell it as it is.
Umenichekesha.................nakukaribisha.............ila viswahili vingi sitaki, straight to the point, nafikiri tumeelewana
Hapana nilikuwa namkumbusha tu, na kuwataarifu wengine; maana wanaweza kuhisi yuko available. LOL
I knew it.kongosho - Triplets
Na hawa status yao ikoje?Hivi na mie nikoje??
Ujue sijui status yangu??
Poleeee sana,ila na mi niko karibu kukuunga mkono maanake naona wangu ana dalili zote zakunipiga kibuti.Babarita-kibuti
Na hawa status yao ikoje?
![]()
Afu leo ndio nimejua kumbe wewe siyo bikira...... Naenda kusema kwa mama...Poleeee sana,ila na mi niko karibu kukuunga mkono maanake naona wangu ana dalili zote zakunipiga kibuti.