All good men are married, so sad

salaam.

Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa inasikitisha sana.

Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? Hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?

Wakuu, sio kwamba wanaume waoaji hawapo, wapo tena wengi sana tatizo ni je huyo anaekuja moyo umempenda? mtu wa kuishi nae lazima moyo umpende.

Je ina maana wakaka ambao hamjaoa ni kweli kwamba hamna sifa kama za hawa married men? kweli hampo?
Nimekuja hapa kusema la moyoni na si kwamba huku ninapoishi hakuna wanaume, wanaume wapo ila wengi wao wameoa, amHbao hawajaoa unakuta moyo haujampenda.

Umri umeenda ninahitaji kuwa na familiya ambayo nitakuwa huru nayo bila lawama. Niwe wazi kuna mtu yupo tiyari kwenda kwetu hata leo tatizo ni mme wa mtu. ana kila sifa ya mwanaume ninaemtaka lakini tatizo ndo hilo. Sijaingia mahusiano nae kwa sababu zifuatazo:,

1: Nitamwambia nini mama?
2: Namuogopa Mungu,
3: Familiya yake wakijua nitafanyaje mimi?
4: Nitakosa raha ya kuwa nae huru, nitakosa raha ya kuwa karibu na ukweni ( mbaya sana)
5: Nitalaumiwa na jamii etc

Hivyo basi nikaona siwezi hiki kiwanja chenye mgogoro, I deserve to have my own family:

Wewe mwanaume,
1) umri 37-45
2) mkristo mcha Mungu ukiwa RC itapendeza
3) Mchapa kazi haswaaa, mtafutaji kama mimi ( staki mwanaume anaelialia yeye kila siku hana hela lawama haziishi huyu hapana)
4) Anajipenda na anapenda kuishi maisha safi
5) mrefu
6)caring person, etc

Kama una hizo sifa njoo pm.
hakuna mtu asiependa vitu vizuri, hakuna asiependa mafanikio, ndo maana nimekuja hapa maybe nikakutana na mtu ambae tunaendana.

Kuhusu mimi,
1: age 35 ndo maana natafuta mzee mwenzangu.
2) sina mtoto, sijawahi kuolewa ila mwanaume huyo akiwa na mtoto mmoja na hana mgogoro na mzazi mwenzie mtamlea coz I like kids.
3) Elimu chuo kikuu
4) Kazi ninayo
5) kinywaji situmii
6) Rangi , rangi safi ya kati situmii mikorogo
7) Dini RC
8) mchapa kazi haswaa with brain.

Mume wangu nimechoka kukusubiri, nimekufuata huku nisije angukie mikononi mwa mme wa mtu. tho ana kila kitu ninachokitaka lakini nikikumbuka mme wa mtu sumu nalia, usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.

GOD BE WITH YOU.
Kama bado hujampata basi tuwasiliane pm. Nina sifa nyingi unazo zitaka. Muhimu tu uwe mzuri wa sura, umbo na tabia.
Maana huyo ndiye mke nimtakaye katika maisha yangu yaliyobakia hapa duniani.
 
salaam.

Ama kweli wanaume smart wanao jitambua wanaojua thamani ya mwanamke, wote wameoa inasikitisha sana.

Hivi inawezekana vipi kila mwanaume anae onesha interest kwangu nikamuelewa nikija kumcheki kidoleni nakutana na pete? Hivi ni mimi tu au na wanawake wengine wanakutana na changamoto hii?

Wakuu, sio kwamba wanaume waoaji hawapo, wapo tena wengi sana tatizo ni je huyo anaekuja moyo umempenda? mtu wa kuishi nae lazima moyo umpende.

Je ina maana wakaka ambao hamjaoa ni kweli kwamba hamna sifa kama za hawa married men? kweli hampo?
Nimekuja hapa kusema la moyoni na si kwamba huku ninapoishi hakuna wanaume, wanaume wapo ila wengi wao wameoa, amHbao hawajaoa unakuta moyo haujampenda.

Umri umeenda ninahitaji kuwa na familiya ambayo nitakuwa huru nayo bila lawama. Niwe wazi kuna mtu yupo tiyari kwenda kwetu hata leo tatizo ni mme wa mtu. ana kila sifa ya mwanaume ninaemtaka lakini tatizo ndo hilo. Sijaingia mahusiano nae kwa sababu zifuatazo:,

1: Nitamwambia nini mama?
2: Namuogopa Mungu,
3: Familiya yake wakijua nitafanyaje mimi?
4: Nitakosa raha ya kuwa nae huru, nitakosa raha ya kuwa karibu na ukweni ( mbaya sana)
5: Nitalaumiwa na jamii etc

Hivyo basi nikaona siwezi hiki kiwanja chenye mgogoro, I deserve to have my own family:

Wewe mwanaume,
1) umri 37-45
2) mkristo mcha Mungu ukiwa RC itapendeza
3) Mchapa kazi haswaaa, mtafutaji kama mimi ( staki mwanaume anaelialia yeye kila siku hana hela lawama haziishi huyu hapana)
4) Anajipenda na anapenda kuishi maisha safi
5) mrefu
6)caring person, etc

Kama una hizo sifa njoo pm.
hakuna mtu asiependa vitu vizuri, hakuna asiependa mafanikio, ndo maana nimekuja hapa maybe nikakutana na mtu ambae tunaendana.

Kuhusu mimi,
1: age 35 ndo maana natafuta mzee mwenzangu.
2) sina mtoto, sijawahi kuolewa ila mwanaume huyo akiwa na mtoto mmoja na hana mgogoro na mzazi mwenzie mtamlea coz I like kids.
3) Elimu chuo kikuu
4) Kazi ninayo
5) kinywaji situmii
6) Rangi , rangi safi ya kati situmii mikorogo
7) Dini RC
8) mchapa kazi haswaa with brain.

Mume wangu nimechoka kukusubiri, nimekufuata huku nisije angukie mikononi mwa mme wa mtu. tho ana kila kitu ninachokitaka lakini nikikumbuka mme wa mtu sumu nalia, usichelewe plz nina muda mchache wa kufanya maamuzi.

GOD BE WITH YOU.
Nini kilikupata mpaka ukafika 35?

Ulikosa mtu kipindi chote?

Maringo?

Au?
 
Age range uliyoweka Sherina sio ajabu kusema unaowapata wameshaoa
vijana ambao hatujaoa tupo under 30's
 
Age range uliyoweka Sherina sio ajabu kusema unaowapata wameshaoa
vijana ambao hatujaoa tupo under 30's
uko sahihi wengi wameshaoa. mimi sina shida na hilo nilitaka atakaepatikana mfano awe na taraka, au awe na mtoto analea ila haishi na mke ndani.au kabisa hajawahi kuoa wapo tho niwachache. na wengi najua ni viwanja vyenye mgogoro.
nilikuwa najaribu coz najua ni ngumu.

hata sisi wanawake wenye age yangu wengi nao wana migogoro, japo mimi ndo nilikuwa nimebaki sina mgogoro wowote ndoto yangu naona ikizima gafla . mbaya Zaidi siku nikifanya maamuzi ndo siku nitakutana na mwanaume mwenye uhitaji wakati huo mimi nitakuwa na kiwnja chenye mgogoro I mean mtoto. nahisi roho itauma ila hakuna namna.

hakuna kitu nachukia kama single mother. tuseme nimemkubalia huyo ambae niliongelea hapo juu atanifanyia yoote ila siwezi kuwa nae huru coz ndoa yake nayo ni muhimu. ila no way out. Mungu ataonesha njia soon.
 
Mungu akupatie hitaji la moyo wako .
Haijalishi miaka imeenda Yupo Mungu anayejibu kwa wakati .
 
Masharti ya mwenye shida mshirika wake ni Mungu, hapa ndio wanawake wenye jeuri ya kuchagua wao huwa sielewi mnaolewa nyie au mnaoa nyie, jipendekeze kwa yule ambae unajiona fala kwake. Sioni dalili ukiolewa na ukadumu hata 3yrs kwa hio mentality kama ni halisia, unaabudu vigezo vya kishetani wakati unaomba na kuhitaji baraka na hitaji la kimungu, na hata huyo mume utaishi kwa wewe kuwa juu yake na kubishana nae sana kwenye mambo mengi, unaamini nguzo za elimu, brain, kazi yako, kipato chako na unajihisi wewe ni mzuri, na nahisi unaamini trending yako ya digital forums. Sioni utii na unyenyekevu na hivyo mume wa mtu anakufaa zaidi.,
Finally, utapata mwenye 30-32 in 2023. Goodluck to you.

Salamu toka Nzilankende
 
Mwanaume anayejitambua hawezi kuoa type hii ya mwanamke! Unatanguliza mbele umahiri wako badala ya unyenyekevu, ukidumu na mtazamo huu jiandae kuwa na single parent family!
 
45 Reactions
Reply
Back
Top Bottom