Mkandarasi Mkuu
Member
- Jan 22, 2021
- 12
- 13
Hapo kwenye sifa za huyo mwanaume tu ndio mnapokosea wadada, mnapenda waume za watu kuliko waume zenu mnaostahili, tatizo wamawake wengi siku hz wanafikiria kupata wanaume waliofanikiwa and stable financially pasipokujua most of them wako occupied. Mimi ushauri wangu jaribu kuondoa hiyo pointi ya AWE NA UWEZO WA KIFEDHA ama ile pointi ya AWE AMEFANIKIWA. Mtafute kikaragosi wako ambae ni kapuku tu awe msomi asiwe msomi, mpe changamoto, mmotivate, mpe akili (wanawake wanajua kushauri) shirikianeni kufanikiwa, sikudanganyi utafurahi na maisha, hautategemea kutafuta those financially stable, CREATE YOUR'S waoaji ni wengi sana