habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Aiseeee nilowahi kukutana nae Mara moja tu,
Wacha niishie kusema Mungu mlaze pahala pema amen
Wacha niishie kusema Mungu mlaze pahala pema amen
Hakumzidi Mzee Makamba kwa umaarufu aiseeeeeBaada ya Makonda Huyu Kandoro ndio RC
Maarufu zaid katika Miaka ya karibuni
Allah amsamehe Makosa yake Na AMPE Kauli thaabet huko aliko
Mhhh, dah. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Namkumbuka akiwa RC Mwanza. Alikuwa Mzee wa busara sana na alipenda sana maendeleo na aliyashawishi kwa hoja bila kutumia mabavu.Mkuu wa mkoa mstaafu Mzee Abbas kandoro amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar alikolazwa kwa matibabu.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Alale kwa amani.. Amemaliza safari yake hapa dunianiMkuu wa mkoa mstaafu Mzee Abbas kandoro amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar alikolazwa kwa matibabu.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
LegacyMmh huyo alilisaidia kuasisiwa kwa neno
"Maji ya kandoro"
Hongera zake atakumbukwa kwa hilo apart from Siasa zake
Mkuu wa mkoa mstaafu Mzee Abbas kandoro amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar alikolazwa kwa matibabu.
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un