Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Kwa kweli mke wangu nampenda sana na ndiye hasa alinifanya nisahau machungu ya huyo wa uropa. Sijisikii raha hata kidogo kuumiza moyo wake kwani naye ananipenda kwa dhati na kuniheshimu sana na sikosi chochote kwake.
ewaaa..nimefurahi kuckia hayo! sasa ucmpe nafac tena huyo hta ya dk 2...tunza familia yako.