Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
ana kesi ya kujibu na yeye......
ila mimi kwa kweli ntalia sana na mwanamke anayejua kabisa huyu ni mume wa mtu na bado anakosa heshima kiasi hicho. wengine huwa wandanganywa 'sijaoa'........huyo anagalau ana cha kujitetea. shemeji yangu aliwahi kumdanganya binti hajaoa, sisy alipogundua mumewe ana cheat alimpigia yule binti na binti akajieleza na that was it.....
yaani hawa viumbe jamani, wakati mwingine unajiuliza aliolea nini kama bado alikuwa hajamliza mambo yake, sasa na wewe dada unadanganywa mtu hajaoa hata anapoishi hujui/hujauliza?....po mwaka mzima mnaishilia hotel huhoji anaishije?