Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Semilong, sidahni kama nitamfundisha adabu kwa kujitesa mimi na familia yangu. Bora yesheee!
dah...kumbe hukumfeel ki hivyo...unahitaji twisheni ya infidelity aisee
Semilong, sidahni kama nitamfundisha adabu kwa kujitesa mimi na familia yangu. Bora yesheee!
balozi
wewe mmege tu alafu umuweke pembeni ndio atajifunza
...[/COLOR][/B]
Thanks FP, in fact nilimueleza hayo hayo unayosema na kumsihi asinipigie simu. Anadai hawezi kunisumbua wakati niko na familia lakini mimi nimemueleza hawezi kujua wakati gani niko na familia. Muda mfupi uliopita kanipigia simu sikupokea, matokeo yake kanitumia sms tukutane "pale pa jana" nikupe zawadi zako. Sijajibu sms yake na nimefunga simu. Naanza kuhisi usumbufu fulani.
...unamchuuza! anaweza kuonja halafu akanogewa. Kunogewa noma na inavyosemekana amenona ndio kabisaaa...!
hivi B nani ana hisani Infidelity??? ni hilo tu kwa leo
Mjomba usijichanganye,usikubali kutegwa na mchele,utakuwa hauna tofauti na kuku,sasa alikuwa anadengua nini,mwambie kama anataka mapenzi,akulipe,kwasababu huyo anataka kujistarehesha na mwili wako,na kama tunavyojua starehe hulipiwa,mwambie muingie mkataba wa malipo!!
Nilimfeel sana lakini niliye naye sasa namfeel zaidi. Hizo tuition za infidelity nimehudhuria nyingi tu lakini naona mara nyingi mwisho wake sio mwema. Ninayo mifano hai. Ukishapoteza imani ndani ya familia inachukua muda mrefu sana kuirudisha, na sina uhakika kama inarudi 100% Wenye uzoefu watueleze.dah...kumbe hukumfeel ki hivyo...unahitaji twisheni ya infidelity aisee
Hilo ni kweli kabisa Mbu. huwezi jua ana mbinu gani.... kuonja hakufai kabisaaaaaaaaaaaaa, na usithubutu Ambassador unaweza hamia huko. achana naye
Huenda ni the other way around. Kwamba yeye akionjeshwa ndo achonge mzinga....!!...uzoefu unanikumbusha 'akishaonja tu lazima atauchonga mzinga!'
Ofcourse nina line mbili na hiyo moja nimeifreeze kwa muda. Sina uhakika kama atarudi kajuu au la, ila nilipooongea nae tulipokutana alinileza kwamba amerudi moja kwa moja.Balozi, kama una line mbili ile moja anayoifahamu tulia nayo kwanza mpaka atakapoondoka na kurudi huko majuu.
Vile vile usijaribu kuthubutu kujibu simu au sms zake utanasa mtegoni. Jaribu kumshirikisha mama watoto na yeye ndiyo ajibu hizo simu uangalie jee ataendelea.
Huyo anaitwa STALKER na ukifanya mchezo atakupigia simu au kukutumia sms mpaka usiku wa manane.
balozi, hilo kwako ni jaribu, mshirikishe mkeo na umtangilize Mungu pia.Ofcourse nina line mbili na hiyo moja nimeifreeze kwa muda. Sina uhakika kama atarudi kajuu au la, ila nilipooongea nae tulipokutana alinileza kwamba amerudi moja kwa moja.
Issue ya kumshirikisha mama watoto nilikuwa sijaifikiria na sijui ataipokeaje. Kama atareact vigorously kwa mshukiwa au ataichukulia kistarabu. Will think it over.
...DON'T DARE!...
hili ni jambo dogo sana, tena lililo ndani ya uwezo wako. Kumshirikisha mkeo ndio chanzo cha maswali mengi, likiwemo "why are you telling me this? why now?"
Rmbr;..."You are always a genius until you open your mouth."
Huna haja ya kuzima simu kwa sababu ya huyo dada, unless uniambie simu yako siyo muhimu sana kuwa online...... utakosa ma-deal ya maana sababu ya kumkimbia huyo bibie. just tell her peace of your mind. na kama mimi ndo ningekuwa mkeo ningependelea uniambie ukweli kuhusu huyo bibie ili nione nikusaidiaje, hiyo inasaidia hata unapopata smses za midnight hu-feel guilty kihivyo ingawa inakuuma kuwa ni usumbufu. kuna kipindi husband aliwahi kukutwa na mdada wa kumsumbua kama huyo wako. unajua mtu kama humpendi anakuwa kero fulani, hata hutaki kabisa kusikia chochote toka kwake. aliniambia na kazi yangu kubwa ilikuwa ni kumfariji anapopata sms za kumuumiza kutoka kwake, ilimsaidia sana..... usiniulize waliishiana vipi, nimeona tu yale malalamiko siyapati tena na amani imerudi
Walaa takrabu zinaa illa dhalula?
balozi atajuta kujipendekeza kufungua huo mdomo.....................DON'T DARE!...
hili ni jambo dogo sana, tena lililo ndani ya uwezo wako. Kumshirikisha mkeo ndio chanzo cha maswali mengi, likiwemo "why are you telling me this? why now?"
Rmbr;..."You are always a genius until you open your mouth."
Sikusudii lolote.Unakusudia nini?