Aliyewahi kuutesa moyo wangu ananitaka

Fikiria mkeo&familia yako halafu jiulize mchezo wa siku moja au kadhaa na huyo binti itakuongezea nini maishani mwako..Kama ni mdhaifu utaingia kwenye 18 zake.. Yani mie mtu aliyenitesa simpi nafasi tena nikiwa committed asahau ilhali sitaruhusu mazingira ya kumpa nafasi!

Kumbuka "woman's heart is a deep sea of secrets" nimeona hii signature kwa mwanaJF mmoja!..mie ni mwanamke na naelewa tulivyo!!

...jamaniiiii, wengine hutafuta nafasi japo ya kuungama nyie, mbona mnakuwa wakali tuu?...'mtapata dhambi!'
 
duuuh, wewe mshabiki kweli aisee...ha ha ha ahaaa!
Mheshimiwa bado anakumbukia jamani, Nyamayao mpe nafasi bana 'ajielezee'...


Ambassador, pamoja na kwamba 'kanona' usikutoke udenda bana, bomu la kutega hilo!

shemeji Mbu mi si mshabiki, lakini huyu ex wa Nyamayao amezidi, akimuona tu anaweweseka, siku kuna kipindi karibu ajitose mbele ya mwenye mali lol!!!!?
 
duuuh, wewe mshabiki kweli aisee...ha ha ha ahaaa!
Mheshimiwa bado anakumbukia jamani, Nyamayao mpe nafasi bana 'ajielezee'...


Ambassador, pamoja na kwamba 'kanona' usikutoke udenda bana, bomu la kutega hilo!



haitawezekana kabisa...yaani ndio imetoka hiyo, sasa hivi ndio anatambua kuwa angenioa angekuwa mbali kimaisha, cjui tungekuwa wapi yaani cdhani nitapata mwanamke aliekuwa ananipa akili ya maisha kama wewe, mie namuona kama anachanganyikiwa vile!
 
Belly mi hata kama sijawa committed simtaki kabisa......aliye damage moyo wangu to the extent that vipande vimekuwa vigumu kuunga, asidiriki hata kuniaota

,...hehehehe...duuuh, sasa hii kufuru! njozi nyingine tamu jamani.
Huoni bibie pamoja na kukaa kote ughaibuni breki ya kwanza kwa mheshimiwa balozi?
 
Amejuaje namba yako???mie nahisi unatuzuga hapa...tayari uko naye unatafuta sababu za kuhalalisha uhusiano wako..pole guilty conscience inakusumbua...
 
shemeji Mbu mi si mshabiki, lakini huyu ex wa Nyamayao amezidi, akimuona tu anaweweseka, siku kuna kipindi karibu ajitose mbele ya mwenye mali lol!!!!?

kafika kwenye meza niliyokaa na watoto, kambeba kadume kangu eti " msalimie uncle"...nilipiga picha lile tukio kwa mfano angetokea mtu wa karibu na mr akafikisha hizo habari yaani cjui ingekuwaje, cjui jamani mie.
 
haitawezekana kabisa...yaani ndio imetoka hiyo, sasa hivi ndio anatambua kuwa angenioa angekuwa mbali kimaisha, cjui tungekuwa wapi yaani cdhani nitapata mwanamke aliekuwa ananipa akili ya maisha kama wewe, mie namuona kama anachanganyikiwa vile!

Mapenzi mchezo? si wewe huyo unamchanganya mtoto wa mwenzio!
Keshakwambia shetani tu alimpitia, msikiize bana... 'watu hawakatai wito, wanakataa waliloitiwa'.
humsomi Mheshimiwa balozi yaliyomkumba na sasa keshatupa msimamo wake hapa?
 
Mapenzi mchezo? si wewe huyo unamchanganya mtoto wa mwenzio!
Keshakwambia shetani tu alimpitia, msikiize bana... 'watu hawakatai wito, wanakataa waliloitiwa'.
humsomi Mheshimiwa balozi yaliyomkumba na sasa keshatupa msimamo wake hapa?

Mbu....hilo halipo kabisa kabisa, kwanza nitakaaje nae hata dk 10 mahali? cpati jibu.
 
,...hehehehe...duuuh, sasa hii kufuru! njozi nyingine tamu jamani.
Huoni bibie pamoja na kukaa kote ughaibuni breki ya kwanza kwa mheshimiwa balozi?

hana lolote huyo, anataka kumharibbia balozi kisha akae pemebeni amcheke.......mijitu ya hivyo hatari sana
 
Huyu dada ni 'nyoka' achana naye kabisa...kemea shetani ndugu yangu! Shetani haji kama unavyofikiri. Anakuja kama huyo dada! Akili kumkichwa!:A S-heart-2:
 
Mbu....hilo halipo kabisa kabisa, kwanza nitakaaje nae hata dk 10 mahali? cpati jibu.

...enheee, now we are talking. Ngoja tumuulize mbinu Mh.Balozi ...aliwezaje wezaje kutumia masaa matatu na huyo mdada bila 'interruption!?'
 
Aziniye na mwanamke hana akili kabis; anafanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
 
Huyu dada ni 'nyoka' achana naye kabisa...kemea shetani ndugu yangu! Shetani haji kama unavyofikiri. Anakuja kama huyo dada! Akili kumkichwa!:A S-heart-2:


aaahh bana, acha kumtisha mwenzako bana. Anasema anamjua tangia 'primary', sasa wewe unaleta mambo ya kutishiana shetani, aaaarrggghhh
Hatujajua upande wa pili wa shillingi kwa nini mdada alisepa hapo awali...

Msome tena Mheshimiwa balozi alivyokua excited;
  • mdada karudi 'fresh!'
  • mdada alikoipata cellular number yake,
  • mdada alivyozidi 'kunona'
  • mdada haoni wala hasikii!
 
Huyo mdada hana nia nzuri nawe, na anachokitaka ni kuvunja ndoa yako tu.
kwa ushauri tu ni kwamba usimu-intertain kabisaaaaa, mwambie ukweli kuwa ulimpenda sana na sasa humpendi kabisa na una mke, na huwezi kuanzisha uhusiano na mtu ambaye humpendi. kwa vile ana namba yako ni wazi atakusumbua sana, jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako usiwe unajibu sms zake wala usimpigie simu, kwa ninavyofahamu one way communication huwa hai-last longer.
wadada wengine bwana, hivi unajipelekaje sehemu kuwa n.k?
 
Huyo mdada hana nia nzuri nawe, na anachokitaka ni kuvunja ndoa yako tu.
kwa ushauri tu ni kwamba usimu-intertain kabisaaaaa, mwambie ukweli kuwa ulimpenda sana na sasa humpendi kabisa na una mke, na huwezi kuanzisha uhusiano na mtu ambaye humpendi. kwa vile ana namba yako ni wazi atakusumbua sana, jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako usiwe unajibu sms zake wala usimpigie simu, kwa ninavyofahamu one way communication huwa hai-last longer.
wadada wengine bwana, hivi unajipelekaje sehemu kuwa n.k?

na mtu kashamwambia ana familia lakini bado tu anataka kujichomeka, wakionjwa na kuachwa wanalalama mwanaume kamtenda kumbe mengine wanajitakia.
 
Wewe una msimamo gani? na huyu mke ulioko naye ulimwoa kwa vile huyo mmbeba box alikuacha au na yeye ulimpenda kama ulivyompenda ze europa woman?
Kwa kweli mke wangu nampenda sana na ndiye hasa alinifanya nisahau machungu ya huyo wa uropa. Sijisikii raha hata kidogo kuumiza moyo wake kwani naye ananipenda kwa dhati na kuniheshimu sana na sikosi chochote kwake.
 
Back
Top Bottom