Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
Fikiria mkeo&familia yako halafu jiulize mchezo wa siku moja au kadhaa na huyo binti itakuongezea nini maishani mwako..Kama ni mdhaifu utaingia kwenye 18 zake.. Yani mie mtu aliyenitesa simpi nafasi tena nikiwa committed asahau ilhali sitaruhusu mazingira ya kumpa nafasi!
Kumbuka "woman's heart is a deep sea of secrets" nimeona hii signature kwa mwanaJF mmoja!..mie ni mwanamke na naelewa tulivyo!!
...jamaniiiii, wengine hutafuta nafasi japo ya kuungama nyie, mbona mnakuwa wakali tuu?...'mtapata dhambi!'