Aliyewaambukiza 200 VVU afungwa miaka 25

Aliyewaambukiza 200 VVU afungwa miaka 25

RUCCI

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
1,702
Reaction score
1,716
attachment.php



Daktari aliyewaambukiza wagonjwa 200 virusi vya ukimwi nchini Cambodia amehukumiwa jela.

Daktari huyo bandia alipatikana na hatia ya kuwaambukiza takriban watu 200 virusi vya ugonjwa wa Ukimwi amehukumiwa kifungo cha miaka 25 jela kwa makosa yake.

Baadhi ya wahasiriwa wa makosa hayo wamekwisha fariki dunia.

Yem Chrin alikuwa akitumia sindano zilizokuwa zimekwisha tumika kuwatibu wenyeji wa kijiji cha Roka bila ya kujua alickuwa akisambaza Virusi vya Ukimwi.

Awali Chrin alikuwa ameshtakiwa kwa mauaji lakini upande wa mashtaka ukabadilisha shtaka na kuwa kuua bila ya kukusudia.

Kesi hiyo imefichua uhaba wa madaktari na ugumu ulioko kwa raia kupata huduma za afya katika maeneo mengi ya vijijini nchini Cambodia.

Utafiti umebaini kuwa zahanati nyingi katika maeneo ya vijijini huendeshwa na madakatari bandia ambao hawajahitimu kuwatibu wagonjwa.

Chanzo: BBC
 

Attachments

  • 151203110650_yem_chrin_640x360_reuters.jpg
    151203110650_yem_chrin_640x360_reuters.jpg
    27.2 KB · Views: 2,011
Angemtafuta lawyer Deception au advocate Eiyer wangeweza prove kuwa
1. Hakuna kirusi kiitwacho HIV
2. Na pia hata huyo HIV fake hawezi sababisha UKIMWI.

So hao waliofariki kati ya hao 200 ilikuwa ni lishe mbaya tu na magonjwa ya siku zote kama pneumonia etc
 
Last edited by a moderator:
Angemtafuta lawyer Deception au advocate Eiyer wangeweza prove kuwa
1. Hakuna kirusi kiitwacho HIV
2. Na pia hata huyo HIV fake hawezi sababisha UKIMWI.

So hao waliofariki kati ya hao 200 ilikuwa ni lishe mbaya tu na magonjwa ya siku zote kama pneumonia etc
Kwa hiyo tatizo ni mleta Uzi au matinki na ukweli wa maada yenyewe? Mkuu tunaelimishana. Je haiwezekani kuambukizwa virusi kwa njia ya sindano?
 
Last edited by a moderator:
Angemtafuta lawyer Deception au advocate Eiyer wangeweza prove kuwa
1. Hakuna kirusi kiitwacho HIV
2. Na pia hata huyo HIV fake hawezi sababisha UKIMWI.

So hao waliofariki kati ya hao 200 ilikuwa ni lishe mbaya tu na magonjwa ya siku zote kama pneumonia etc
How-To-Get-Away-With-Murder-Fanfiction.jpg
 
Angemtafuta lawyer Deception au advocate Eiyer wangeweza prove kuwa
1. Hakuna kirusi kiitwacho HIV
2. Na pia hata huyo HIV fake hawezi sababisha UKIMWI.

So hao waliofariki kati ya hao 200 ilikuwa ni lishe mbaya tu na magonjwa ya siku zote kama pneumonia etc

Deception
Anasema mpaka vipimo ni fake
 
Last edited by a moderator:
Pia Dawa ni feki. !!! nataman kuonana nawewe live. jf na pm hazitoshi Deception

Yaap,uko sahihi kabisa mkuu.

Tatizo kubwa ninaloliona kwa wengi ni kwamba ufahamu wao kuhusu HIV/AIDS umejikita kwenye IMANI zaidi ya KUJUA.HIV/AIDS ni dini kwao kama zilivyo dini nyingine tu.Watu wamekumbatia doctrines/mafundisho ya haya hata bila kuhoji mikanganyiko inayojitokeza kila wakati.

Akili za watu ziko controlled bila ya wenyewe kujijua,akili kama hizi ni vigumu sana kujiuliza mambo mepesi sana yenye mkanganyiko yanayojitokeza kila siku,watu hawa hawawezi kuhoji mikanganyiko inayojitokeza na badala yake wanapoona mikanganyiko hiyo wao husema ni "mipango ya mungu" au "aah ni bahati tu".Akili hizi ni matokeo ya kitengo cha MIND CONTROL kinachomilikiwa na wao waliotudanganya.

Kama watu hawa wenye akili ndogo wanashindwa kujihoji mikanganyiko rahisi sana inayojikeza mitaani,kamwe hawawezi kuelewa unapowaambia kwamba habari kama hizi ni fabricated/zimetengenezwa kama zilivyotengenezwa movie za EBOLA,SWINE FLU na BIRDS FLU na kurushwa kwenye MIND CONTROLLING MEDIA zao kama vile BBC,CNN,FOX NEWS,ABC,SKY NEWS nk ili kukomaza doctrines zao kwenye vichwa vya watu waliowalenga na kuwafanya wawe mazumbukuku zaidi.

Kama watu wakiweza kujitambua kwamba wao ni mazumbukuku basi uzumbukuku wao utakuwa ndio umeishia hapo,lakini kama hawatajimbua kama hao ni mazumbukuku basi elimu yeyote nitakayoitoa kwao ili kuwaondoa kwenye janga hili la uzumbukuku hawataiona kama ina maana yoyote.

Watu wengi hawajui kwamba hata zile habari tunazoziona kwenye TV kutoka BBC,CNN nk ambazo zinarushwa live kuna baadhi ya habari hizo zimetengenezwa kabla kama movie ndipo zikarushwa kwenye TV.

Mfano: WTC/9/11:Watu waliona ndege zinagonga majengo ya WTC live kwenye TV,lakini ukweli ni kwamba hakuna ndege yoyote iliyogonga WTC.Sasa elimu kama hii ni nzito kuingia kwenye vichwa vya watu ambao tayari wako brainwashed,inahitaji vichwa smart sana ili kuelewa.Kwa uzoefu wangu humu JF,kuna watu wachache sana wenye uwezo wa kuelewa hiki ninachosema.Sasa kuna mambo lukuki yako fabricated kama hivi lakini upeo wa walio wengi hauwezi kufika huko kote kutokana na kazi iliyofanywa na kitengo hiki cha MIND CONTROL kwenye bongo zao.

Watu hawajitambui kama kuna watu wengine wanafikiria kwa niaba yao.Hawajui kama kile wanachokisimamia kwa nguvu zote hakitoki kwenye fikra zao bali za wengine,ndio maana hawawezi kujibu maswali mepesi sana pale wanapoulizwa maswali madogo sana.

Watu inabidi wafahamu kwamba, mtu yeyote hawezi kuwakomboa watu wote kutoka kwenye uzumbukuku,wapo watakaobaki kwenye uzumbukuku wao bila hata kujijua kama wao ni mazumbukuku.
 
Kwa hiyo tatizo ni mleta Uzi au matinki na ukweli wa maada yenyewe? Mkuu tunaelimishana. Je haiwezekani kuambukizwa virusi kwa njia ya sindano?

1.Kwa hiyo tatizo ni mleta Uzi au matinki na ukweli wa maada yenyewe?

Tatizo ni mantiki na ukweli wa habari/mada yenyewe.

2.Je haiwezekani kuambukizwa virusi kwa njia ya sindano?

Kutokana na kilichomo kwenye habari hii,ulitakiwa uulize hivi;

Je,haiwezekani kuambukizwa HIV/VVU(sio virusi tu bali ni VVU) kwa njia ya sindano?

Jibu lake sahihi ni kwamba haiwezekani kamwe.Yaani kuuliza hivi ni sawasawa na kuuliza,je,haiwezekani kujumlisha sifuri na sifuri na kupata sifuri mbili?HIV/VVU ni kitu hewa/hakipo hakuna daktari aliyewahi kuona HIV/VVU,ukitaka kujua hili waulize mwenyewe,don't take my words,uliza mwenyewe utajua tu kama nadanganya au la.Yaani HIV/VVU ni sawasawa na story za mtu fulani kugeuka chatu,huwezi kumpata mtu yeyote aliyewahi kumuona huyo chatu mtu,ni hekaya tu.Mtu yeyote anayeogopa VVU ni sawa na mtu huyo kuogopa na kukikimbia kivuli chake mwenyewe.

HIV/AIDS iko katika misingi ya kiimani zaidi ya kisayansi/kujua.Hivyo ni sawa kusema kwamba HIV/AIDS ni dini kama zilivyo dini nyingine, kwa kuwa tuna dini kutokana na imani lakini hatuwezi kujibu maswali mengi yanayohusu dini zaidi ya kufanya interpretation tu.
 
Angemtafuta lawyer Deception au advocate Eiyer wangeweza prove kuwa
1. Hakuna kirusi kiitwacho HIV
2. Na pia hata huyo HIV fake hawezi sababisha UKIMWI.

So hao waliofariki kati ya hao 200 ilikuwa ni lishe mbaya tu na magonjwa ya siku zote kama pneumonia etc

Hizi habari unavyozisoma wewe na kuzifasiri na ninavyozisoma mimi na kuzifasiri ni tofauti sana

Wewe unaangalia walioandika habari hii ili ukielewe mimi naangalia zaidi ya hapo,huwezi kunielewa kwa sasa.....

Kuna muda utakuja kunielewa....!!
 
Back
Top Bottom