Aliyetoroka karantini akamatwa Iringa

Aliyetoroka karantini akamatwa Iringa

Duu
Huyu aliyetoroka karantini alikuwa mgonjwa wa ngapi?
Wengine tulielezwa walikotoka, mbona huyu hatukuelezwa kuwa ni mtanzania aliyetoka Norway?
Yaani baada ya kutoroka karantini ndo tunaambiwa.
Na baada ya Mmalawi kutoroka Tunduma akiwa karantini ndo tukajua.
Hao waliotoroka wameambukiza wangapi huko njiani?
Aisee Dunia kwisha habari yake.
"Kisha nikaona Theluthi tatu ya Dunia ikiangamia ".
UFUNUO WA YOHANA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu aliyetoroka karantini alikuwa mgonjwa wa ngapi?
Wengine tulielezwa walikotoka, mbona huyu hatukuelezwa kuwa ni mtanzania aliyetoka Norway?
Yaani baada ya kutoroka karantini ndo tunaambiwa.
Na baada ya Mmalawi kutoroka Tunduma akiwa karantini ndo tukajua.
Hao waliotoroka wameambukiza wangapi huko njiani?
Aisee Dunia kwisha habari yake.
"Kisha nikaona Theluthi tatu ya Dunia ikiangamia ".
UFUNUO WA YOHANA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mikononi mwake Mungu tuko salama! Do not be a prophet of doom!!
 
Sio mgonjwa huyo , sema huyo ni mmoja wapo Kati ya walioingia nchini wakakutana na utaratibu Wa quarantine ya siku 14, sasa kabla ya siku kuisha akaamua kusepa .
Sema kaleta Sana taharuki Kama amaambukizi atakua kasha ambukiza wengi , huyo anafaa kushutakiwa kifungo cha muda mrefu kwa kosa LA kutaka kuua watu kwa makusudi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah kuna mTZ nae kakinukisha china kagomea canteen,kavunja camera za usalama Ila washamdaka





oraaa jombii kaa kwa kutulia
 
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela amesema alipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Dniale Chongolo na akamjulisha kuhusu mtu aliyetoroka karantini

Mtu huyo baada ya kutoroka Dar alionekana yuko Iringa, uongozi wa wilaya walishirikiana na jeshi la polishi kujua anapokaa mtu huyo na wamempeleka kantini

Mtu huyo inasemekana alitoka Norway, na ana siku nne tangu aingie hapa Tanzania. Alikaa karantini siku tatu na kuamua kutoroka

Nyumba aliyokaa pia iko chini ya karantini na mganga mkuu wa wilaya atawapima wote wanaoishi katika nyumba hiyo

Kasesela amesema kuna mwingine wiki iliyopita alitoroka karantini ya Tunduma na hadi sasa hawajui yuko wapi, lakini mtu huyo alikuwa mmalawi


Sent using Jamii Forums mobile app
Tegeta UNUNIO KUNA BODA ANATAFUTWA NA KUNA MTU MITAA YA UNUNIO NASIKIA YUKO KARANTINE MAMLAKA ZIFUATILIE
 
Mkuu wa wilaya ya Iringa Richard Kasesela amesema alipigiwa simu na mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Dniale Chongolo na akamjulisha kuhusu mtu aliyetoroka karantini

Mtu huyo baada ya kutoroka Dar alionekana yuko Iringa, uongozi wa wilaya walishirikiana na jeshi la polishi kujua anapokaa mtu huyo na wamempeleka kantini

Mtu huyo inasemekana alitoka Norway, na ana siku nne tangu aingie hapa Tanzania. Alikaa karantini siku tatu na kuamua kutoroka

Nyumba aliyokaa pia iko chini ya karantini na mganga mkuu wa wilaya atawapima wote wanaoishi katika nyumba hiyo

Kasesela amesema kuna mwingine wiki iliyopita alitoroka karantini ya Tunduma na hadi sasa hawajui yuko wapi, lakini mtu huyo alikuwa mmalawi


Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ccm hawaoni aibu kuendelea kuruhusu ndege za kutoka Ulaya kutua hapa nchini
 
Karantini watu wanaweza kaa makwao pia sio lazima wafikie hotelini.
Wenawe usitoe mitazamo yako ukaifanya ndo sheria wakati ni issue za serious hizo... yaani tukuachie ukakae kwako utaweza kujidhibiti usikutane na watu ndani ya siku hizo zote!? Acha ushamba bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wa wilaya huyu hana jazba na anaongea kama kiongozi haswa what a leader
Ila hapo ilikuwa huyo alietoroka quarantine angeachwa hapo na waliokuwemo kwenye hiyo nyumba hakuna kutoka kwa siku 14 kwa ulinzi mkali na kuangaliwa hali zao zinavyoendelea
Ni rai tu jamani


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Wenawe usitoe mitazamo yako ukaifanya ndo sheria wakati ni issue za serious hizo... yaani tukuachie ukakae kwako utaweza kujidhibiti usikutane na watu ndani ya siku hizo zote!? Acha ushamba bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kukaa katantini maana yake unatakiwa ujitenge kabisa kukutana na watu; sio kama ile ya wasafi mmoja angekuwa na maambukizi pale wote wangepata.

Unapokaa karantini nyumbani unaweza pewa chumba kama ni selfcontained ideal utoki humo vinginevyo kama kuna ulazima wa kutoka unakuwa na ratiba yako; lakini chakula na mahitaji mengine unaletewa nje ya mlango, ukimaliza sahani unaacha nje ya mlango.

Ni hivi kuna taratibu zake na video luluki zipo kutoka kwa nchi zilizoathirika jinsi ya kuishi na watu wanaotakiwa kukaa quarantine majumbani.

Muhimu ni muhisika kuzingatia usafi anapoenda chooni kama cha kushare, kuvaa mask na kusafisha sehemu anazogusa kwa sanitizer.
 
Wangekuwa wanajulikana wala asingefika huko iringa angeishia Ubungo, si unaona tabia ya kuficha ficha, halafu watu wengine matahira kweli huko kwao alikoenda kama ni mgonjwa anataka kumaliza kizazi chake wangemtandika vibao vya haja ili akili ikae sawa ,atakuwa anamagendo yake Sasa anaona kama anachelewa pumbafu zake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahili Bora tuwataje tu majina, kumbe makonda alikuwa sahihi, mbowe asingetajwa angeendelea na maandamano yake
 
Kukaa katantini maana yake unatakiwa ujitenge kabisa kukutana na watu; sio kama ile ya wasafi mmoja angekuwa na maambukizi pale wote wangepata.

Unapokaa karantini nyumbani unaweza pewa chumba kama ni selfcontained ideal utoki humo vinginevyo kama kuna ulazima wa kutoka unakuwa na ratiba yako; lakini chakula na mahitaji mengine unaletewa nje ya mlango, ukimaliza sahani unaacha nje ya mlango.

Ni hivi kuna taratibu zake na video luluki zipo kutoka kwa nchi zilizoathirika jinsi ya kuishi na watu wanaotakiwa kukaa quarantine majumbani.

Muhimu ni muhisika kuzingatia usafi anapoenda chooni kama cha kushare, kuvaa mask na kusafisha sehemu anazogusa kwa sanitizer.
Kwamtiti ulioko kwa mwigulu nchemba utamuweka quarantine kwake utamuweza?
 
Huyu aliyetoroka tunamlaum lakini hatujui kwa nini katoroka.. Mimi nahisi hakuwa na fedha za kutosha na hotelini unajihudumia kila kitu!. Ukikaa hotelini siku 14 bili utakayopewa hapo unaweza ukadondosha machozi. Mm nadhani serikali badala ya kuwaweka hotelini ingewatafutia sehemu ya gyarama ndogo in case ikitokea kuna raia wasio weza kumudu gharama za hotel


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo Kila aliyepo karantin ni mgonjwa bwashehe
Huyu aliyetoroka karantini alikuwa mgonjwa wa ngapi?
Wengine tulielezwa walikotoka, mbona huyu hatukuelezwa kuwa ni mtanzania aliyetoka Norway?
Yaani baada ya kutoroka karantini ndo tunaambiwa.
Na baada ya Mmalawi kutoroka Tunduma akiwa karantini ndo tukajua.
Hao waliotoroka wameambukiza wangapi huko njiani?
Aisee Dunia kwisha habari yake.
"Kisha nikaona Theluthi tatu ya Dunia ikiangamia ".
UFUNUO WA YOHANA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom