Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,199
- 10,837
Mtwivila sehemu gani? LukosiDaaah! Mtwivila nmepanga ghetto hapo
Npo MUCE pale
Wakati anatoroka walinzi walikuwa wapi? Wakamatwe washitakiwe kwa uzembe Tena walipe faini ya 5m kila mmoja au wakaendeleze bustani ya bamia SegereaAkikaidi tena ni shaba tu
Ilitakiwa akiingia ana viboko 72, akitoka viboko 72.
Huyo ni kichaa au jambazi alindwe kwa attention hiyo? Utaratibu wa kukaa karantini si unajulikana duniani kote...Mtu mzima unatoroka karantini kabisa!!! Sijui unamtetea nini... Au ndio weweWakati anatoroka walinzi walikuwa wapi? Wakamatwe washitakiwe kwa uzembe Tena walipe faini ya 5m kila mmoja au wakaendeleze bustani ya bamia segerea
Karantini watu wanaweza kaa makwao pia sio lazima wafikie hotelini.Kilatha, Kwani alikuwa hajui kama kuna karantini ya kulipia?
Hadi anapanga safari ya kuja alitakiwa ajiandae la sivyo abaki huko huko
Kiongozi akidrive atawapata wapi wa kuwapasia msala?Hiyo route dar to Iringa itakua kagusa wengi au alikua ana drive mwenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app