Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Tazameni hiyo screenshot vizuri ili kumtambua aliyetajwa kuwa ni tapeli na kujichomeka kwenye msafara wa gambo ni nani na alikuwa na lengo gani?. Na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa (mrisho gambo) amechukua hatua gani mara baada ya kugundua kuwa ni tapeli.