Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Kwani hawakujua protocol itakuaje na ina watu gani?
Sikushangai, kauli za JPM huwa mnazitafsiri kwa mitazamo yenu ambayo imekaa negative
Aliposema anataka matajiri waishi kama mashetani hii kauli ilikuwa ni fumbo, na aliwalenga watu fulani ambao walikuwa ni mchwa wa taifa wa kuiba kunyang'anya na kudhulumu rasilimali za nchi mfano mdogo kama unavyowaona Ndugu Rugemalila na mwenzake Singasinga... hii ndio mfano halisi au nia madhubuti ya mh JPM lakini ww umekalia kukariri tu na kuwehuka na mihemko ya kisiasa.
Swala la korosho lilikuwa linamuumiza sana Mh JPM kwa kuona wakulima wakinyonywa na watu baki baadhi yenu nyinyi wanasiasa na wao kubakia katika lindi la umaskini kila kukicha na ndomana akajaribu njia nyingine ya kufanya marketing ya hizo korosho. Mi nina imani pene nia pana njia hata kama changamoto zimejitokeza msimu ujao ataweka kilakitu sawa kupitia chamgamoto alizoziona kwa sasa na kila kitu kitakwenda sawa.
Hao wengine waliopotea kufa au kutekwa ni maswala ya kiusalama na kinidhamu, kwa mfano huwezi kumtukana Mh Rais kwa kumfananisha na Malaya halafu utegemee utazamwe tu kama alivyofanya mtu wenu Mdude... hakuna nchi ya kijamaa utaweza kufanya huo utumbo halafu mamlaka zikakutazama tu. Mtu anajitoa usiku na mchana kwasababu yenu halafu unamtukana na kumdhalilisha shame on him.
Kwa kifupi upinzani bado haujapevuka kuweza kuendesha hii nchi kabisa... hakuna watu makini wala wenye nia njema na hii nchi wote mmejaa tamaa na nia ya kuitafuna na ndomana mnaonekana hata kabla hamjapewa madaraka
Unaona sasa umeamini kwamba ww hauwezi kubishana kwa hoja...Ndiyo wale wale wa kuendelea kumfagilia huyu nduli ambaye ni janga kubwa la Taifa. Siku ukijaaliwa kutia akili kichwani labda utaelewa.
Mwambie huyoooooAcha upuuzi wako kuna chuki zaidi ya kuua Watanzania wasio na hatia na wengine kubambikiwa kesi kila kukicha? Taifa ndani ya utawala wa CCM kwa miaka 60 nini kilichojengeka cha kujivunia nchini? Tia akili kichwani. Huwezi ukatia hamasa wakati huyo mwendawazimu anaivuruga nchi kila kukicha.
Atapeleka Twiga chatoWe unafikiri mbowe akipewa nchi hii kitu gani cha maana atakachokifanya
Okay!!Ni peke yake. Kiitifaki Dc na Dc hawana walinzi.
I mean Rc na Dc.Okay!!
Chakula ya mzeeMbona bashite ana walinzi
Wewe unamjua ni kweli na kila mtu anamjua sasa Gambo kapaniki nini kwenda mitandaoniAnaitwa kasmiri, kama sijakosea