Aliyepo Mpanda Katavi naomba anijuze moja na mbili za mkoa huu

nelvine

JF-Expert Member
Nov 8, 2015
1,109
1,855
Eid Mubarak wanajamvi.

Katika utafutaji wa mkate wa kila siku nmejikuta nimeangukia katika mkoa huu wa katavi. Katavi ni pazuri kimazingira panavutia sana, japo mji huu hauna watu wengi, na hakuna mwingiliano mkubwa wa watu pia kibihashara naona ni mkoa ambao bado haujachangamka kabisa, still wapo local. Lengo kuu nahitaji kupata mwenyeji aliyepo hapa manispaa hili angalau nijifunze moja mbili katika mkoa huu.

Kama upo katavi mpanda tuonane.
 
Eid Mubarak wanajamvi.

Katika utafutaji wa mkate wa kila siku nmejikuta nimeangukia katika mkoa huu wa katavi. Katavi ni pazuri kimazingira panavutia sana, japo mji huu hauna watu wengi, na hakuna mwingiliano mkubwa wa watu pia kibihashara naona ni mkoa ambao bado haujachangamka kabisa, still wapo local.
Lengo kuu nahitaji kupata mwenyeji aliyepo hapa manispaa hili angalau nijifunze moja mbili katika mkoa huu.

Kama upo katavi mpanda tuonane.
Tukutane mtaa wa simba saa 5 usiku
 
Eid Mubarak wanajamvi.

Katika utafutaji wa mkate wa kila siku nmejikuta nimeangukia katika mkoa huu wa katavi. Katavi ni pazuri kimazingira panavutia sana, japo mji huu hauna watu wengi, na hakuna mwingiliano mkubwa wa watu pia kibihashara naona ni mkoa ambao bado haujachangamka kabisa, still wapo local.
Lengo kuu nahitaji kupata mwenyeji aliyepo hapa manispaa hili angalau nijifunze moja mbili katika mkoa huu.

Kama upo katavi mpanda tuonane.
Kama unalengo la kutafuta hela Mpanda utapata. Katavi inawatu wengi sana labda kama haujatembea. Jaribu kufika majimoto,usevya,kasekese karema nk. Karibu sana ndugu
 
Nipo hapa kashaulili...nimetembea sehemu nyingi sana...sio siri watu wa huku wamejaa husda na wivu uliochanganyika na roho mbaya...na hii nikutokana na kuwa na umasikini uliopitiliza..nimeishi geita.dodoma.arusha.mwanza .kagera.moshi na tabora...huku kwa wale wazee wa kujitupa huwezi kuishi bila pesa wafwaaa.
 
Nipo hapa kashaulili...nimetembea sehemu nyingi sana...sio siri watu wa huku wamejaa husda na wivu uliochanganyika na roho mbaya...na hii nikutokana na kuwa na umasikini uliopitiliza..nimeishi geita.dodoma.arusha.mwanza .kagera.moshi na tabora...huku kwa wale wazee wa kujitupa huwezi kuishi bila pesa wafwaaa.
Umenena kweli kabisaaa, uku ulozi upo nje nje
 
Back
Top Bottom