Aliyemuua bilionare Erasto

basi huyu kamuua jiran yake,..maake sg resort si iko hapo kona ya nairobi.

Ni kweli mkuu, ana ofisi yake ya corner nairobi inaitwa Shamon Logistics.
Inasemekana alitumwa na Chusa, maana kutoka kwa Chusa ndani ilikuwa ni kumpoteza Erasto.
 
Erasto ametangulia, sote tupo nyuma yake!. Uhai amepokonywa wakati ndio kwanza anaanza kuonja faida za uwekezaji wake. Tunashukuru umetuachia somo, hasa la ubunifu na ujasiri wa kuwekeza vitu vya quality. Itachukua miaka mingi kwa tuliobaki kufikia udhubutu wako. Kila nikiingia SG Resort najiona nipo darasani, kuwa Interial Design inawezekana Tanzania!! Nawajua wabunifu wa majengo, wahandisi na wawekezaji wengiiiiiii ambao bado wanaendelea kuhudhuria "darasa" hapo SG. Tangulia brother! Mungu aingoze familia katika mapito haya magumu!!
 
Haya sasa mchezo unaendelea... Chusa mtuhumiwa wa kwanza kaachiwa huru tayari.
 

Shabiki maandazi
 
tatizo kama unafanya vya haramu lazima mgeukane
jambazi hana rafiki
 
 
Sasa wakotoka mauaji yataendelea tena kwa lengo la kulipiza kisasi.Wahusika wa sheria wasiwe walegevu kiasi hicho mpaka wahalifu wanatamba mtaani.
 
Sasa wakotoka mauaji yataendelea tena kwa lengo la kulipiza kisasi.Wahusika wa sheria wasiwe walegevu kiasi hicho mpaka wahalifu wanatamba mtaani.


Yaani ndio mwendelezo wa mauaji unaaanza.
 
mmh! ni nani huyo? maana Arusha mtu akitaka kulipiza kisasi anakutoa uhai.

Si ameshamtaja hapo kuwa ni Sharifu.? Ugomvi ni kugombea wachimbaji wadogo wadogo wa madini ambao huwauzia madini wanayoyaiba kule chini shimoni na kuwauzia Erasto na Sharifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…